Sio kila mtu amewahi kupigwa. Kuna mambo hayaingii akilini yaani ukianza tu kuelezwa unajua huu ni utapeli tangu mwanzoHakunaga mjanja mjini hapa kila mtu aliyepo town alishawahi pigwa kwa wakati wake usisahau watu laki nne wanaofika kwenye mikesha ya mwamposa kila mwaka kuuziwa maji na mafuta hakunaga mjanja mjini kila mtu analiwa kwa wakati wake
Hakuna hiyo kitu ni utapeliiiiNimepata hilo tangazo kwa mtu tunayefahamiana kabisa yeye ana sema amepata pesa ndio mana nimekuja kuuliza
Basi jua hilo tu mjini hapa wanaopigwa ni wengi ndio hivyo asilimia kubwa kila mtu atapigwa kwa wakati wakeSio kila mtu amewahi kupigwa. Kuna mambo hayaingii akilini yaani ukianza tu kuelezwa unajua huu ni utapeli tangu mwanzo
Ulimuuliza na ndugu zake wote wameshapata?Nimepata hilo tangazo kwa mtu tunayefahamiana kabisa yeye ana sema amepata pesa ndio mana nimekuja kuuliza
Unatangaza kijanja siyo!? Huu ni UTAPELI na unajua vema kuwa ni utapeli ila umetafuta namna ya kuuleta hapa.Nimekutana na hii post kwa mtu wa karibu tunayefahamiana kupewa million Tano kwa kujisajiri kwenye hilo shirika
Post hii
"wengi walighairi ila ni ukweli nilipokea hizi hela kutoka USAID promotion ni halali wala sio mkopo.Unalipa ada kulingana na mchango utakaochagua iwapo uko na hela zinazolingana kuwezesha, nilipokea zangu pia tsh 5,464,000 baada ya kuchagua na kulipa ada tsh 98,999.Jiunge nao kupitia huu mchongo kisha tuma n
Tapeli hili senge,Nimekutana na hii post kwa mtu wa karibu tunayefahamiana kupewa million Tano kwa kujisajiri kwenye hilo shirika
Post hii
"wengi walighairi ila ni ukweli nilipokea hizi hela kutoka USAID promotion ni halali wala sio mkopo.Unalipa ada kulingana na mchango utakaochagua iwapo uko na hela zinazolingana kuwezesha, nilipokea zangu pia tsh 5,464,000 baada ya kuchagua na kulipa ada tsh 98,999.Jiunge nao kupitia huu mchongo kisha tuma n
Tia sasa hiyo 5M yote upate 250M utatupa mrejesho mkuuNimekutana na hii post kwa mtu wa karibu tunayefahamiana kupewa million Tano kwa kujisajiri kwenye hilo shirika
Post hii
"wengi walighairi ila ni ukweli nilipokea hizi hela kutoka USAID promotion ni halali wala sio mkopo.Unalipa ada kulingana na mchango utakaochagua iwapo uko na hela zinazolingana kuwezesha, nilipokea zangu pia tsh 5,464,000 baada ya kuchagua na kulipa ada tsh 98,999.Jiunge nao kupitia huu mchongo kisha tuma n
Achana nalo,kwni kufahamiana na mtu Ni Nini?Nimepata hilo tangazo kwa mtu tunayefahamiana kabisa yeye ana sema amepata pesa ndio mana nimekuja kuuliza
Jitahidi pia kuwafundisha watoto wako,maana mimi na wewe tumeshakua wapumbavu-------hakuna pesa ya Bure mtu/taasisi ikupe bila kufanya kazi yeyote ileNimekutana na hii post kwa mtu wa karibu tunayefahamiana kupewa million Tano kwa kujisajiri kwenye hilo shirika
Post hii
"wengi walighairi ila ni ukweli nilipokea hizi hela kutoka USAID promotion ni halali wala sio mkopo.Unalipa ada kulingana na mchango utakaochagua iwapo uko na hela zinazolingana kuwezesha, nilipokea zangu pia tsh 5,464,000 baada ya kuchagua na kulipa ada tsh 98,999.Jiunge nao kupitia huu mchongo kisha tuma n
Hukumbuki kama watu walitajirika kwa pesa za kuokota enzi za uhujumu uchumi wahindi walikuwa wanaficha ela mashambani zingine kwa wafanyakazi wa ndaniJitahidi pia kuwafundisha watoto wako,maana mimi na wewe tumeshakua wapumbavu-------hakuna pesa ya Bure mtu/taasisi ikupe bila kufanya kazi yeyote ile