Mwenzangu nimemuona....Shishi ndo anasema wenye mimba mzae salama, sie bado hakujakucha kwetu (sijui dongo la nani sasa)
Yaani Shishi anapenda dogodogo kuliko vikongwe wenzake.
Halafu yule si yupo sawa na Nuh tu jamani?
Kizazi hiki, sijui kina nini.
Na leo nasubiri movie ianze ya Michirizi na Susan
Anasema account yake ime-huckiwa sie yeye huyo....anadai baada ya kuachana na Shishi, Shishi akaenda kwa account yake (alikuwa anajua password zake) then akafuta picha zote za Nuh na yeye.
Na katika The Mboni Show akamalizia kwa kusema, yeye anajua anaufundi ambao akimpa mwanaume na akija kuachana nae lazima amkumbuke.Khaaa,hakyanani bado nimetoa macho..hivi dida nini lakini mbona anamaliza watoto wa wenzie...
Mtoto wa 93 na kiajuza kile,jamaniii mbona nimeumia kama mie ndio mama wa huyo kijana...
Wanatafuta kick....Make me Sing isi-hitEti Eid lissa naye ana flow na midundo ya movie kutompost bibie kwa sababu za kibiashara!!
mkuu vijana wengi siku hzi wanatoka kwa ajili ya matikiti sio masihara yanahitaji uangalifu mkubwa kwa kuwa ukicheza rafu umeliwa sasa mkuu fanya hivi nenda fb like page inayoitwa masai farming utapata tips zote kuhusu matikitimpendwa kilimo cha matikiti unakielewa tupeane uzoefu?? hasa kwenye namna ya kuyalima na madawa
Nuh ana account mpy kwa sasaAnasema account yake ime-huckiwa sie yeye huyo....anadai baada ya kuachana na Shishi, Shishi akaenda kwa account yake (alikuwa anajua password zake) then akafuta picha zote za Nuh na yeye.
Hivo anamlaumu zilipendwa wake kwa kumfanyia ndivyo-sivyo huko Insta..ila hana lolote anatafuta pa kufia tu.
Na mgongo wake ulivyokuwa mpana kama meza ya draft.
Wakati huku wengine wanasema hiyo ndo official account ya Nuhu.
Mjini patamu
nicheck whatsapp 0754604567Bado ipo bei ni tsh.105,000/=
Na wanavyojua kusimamia ukucha hatareeeeTeenagers 17 -19 na age ya 20-29 huwa wanasimamia show sana kwa sababu wanakuwa na ululu wa ndizi mwingi,akimkamata Demu aliyozoea kugongwa na mijitu ya >35 yenye colestol mwili mzima basi Demu lazima adate,ndio maana shishi yeye na vingorongoro tu.
We mwenyewe mmbea kama sisi, huku umekuja kufanya nini?Walipokutana walikutangazia?
Unataka wakutangazie kwamba wameachana ili iweje?
Hivi huna cha kufanya, kazi yako ni kufuatilia ya wengine?
Fimbo ya kuazima haimsitiri mtu jua. Acha UMBEA! Fanya yako!
Kwa info zaidi ndio hiyo kumbe.Nuh ana account mpy kwa sasa
Get well soon ulete ubuyu, dida bana eeh ila ndo hivo ndoa ya kumi yaja ha ha haUwiiiiiiiii jamani mbea mimi niliyetukuka niko gonjwa kitandani malaria imenitandika vibaya sana.
Ndio napitia huu ubuyu,hebu ngoja nikae vizuri tupeane ubuyu vizuri maana huyu Dida kazidi.
Sura yenyewe sio sura sio wazimu basi tafrani tupu,habari zake ninazo.
Niombeeni tu mbea mwenzenu nikae sawa.
warumi Evelyn Salt Ms.Lincoln GENTAMYCINE Bitoz brenda18
My hubby n.w
Sura imemjaa kama andazi lililozidishwa hamiraGet well soon ulete ubuyu, dida bana eeh ila ndo hivo ndoa ya kumi yaja ha ha ha
View attachment 323268
Mbea kama sisi...basi tu anajikuta kawa Joyce Kiria mamaaa ushauri.We kama sio mbea hapa umefata nini, celebrities forum pita hivi nenda jukwaani la dini
Hahahahahha uuuwiHii mimba ya huyo binti imezua mambo kwa kweli.
Mara ipo....mara inapotea...hujakaa sawa imerudi tena....umejisahau kidogo unasikia imetoweka tena!
Ni mimba ya kipekee sana hiyo.
Hahahahahha uuuwi
Pole mamiiUwiiiiiiiii jamani mbea mimi niliyetukuka niko gonjwa kitandani malaria imenitandika vibaya sana.
Ndio napitia huu ubuyu,hebu ngoja nikae vizuri tupeane ubuyu vizuri maana huyu Dida kazidi.
Sura yenyewe sio sura sio wazimu basi tafrani tupu,habari zake ninazo.
Niombeeni tu mbea mwenzenu nikae sawa.
warumi Evelyn Salt Ms.Lincoln GENTAMYCINE Bitoz brenda18
My hubby n.w
Sura imemjaa mfano wa kibaka alopigwa mawe ya uso kwa kutaka kupora simu.Sura imemjaa kama andazi lililozidishwa hamira