Kisambo
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 845
- 514
Mwenzangu nimemuona....Shishi ndo anasema wenye mimba mzae salama, sie bado hakujakucha kwetu (sijui dongo la nani sasa)
Yaani Shishi anapenda dogodogo kuliko vikongwe wenzake.
Halafu yule si yupo sawa na Nuh tu jamani?
Kizazi hiki, sijui kina nini.
Na leo nasubiri movie ianze ya Michirizi na Susan