Haha hizi fake id mitandaoni zinaficha mengi sana,eti Malkia wa Insta mie nikajua bonge moja la mdada,kuja kuona sura inajaa kwenye screen,na kimkorogo kimedunda mweusi si mweusi mwekundu si mwekundu haeleweki...ngachokaHahahahaaa umenikumbusha malkia wa Insta na msura wake...lol
Idris ananini so special kwani?? Wa kawaida sana Yule dogo basi tu... Sema tu si vema kuanika mambo yako Ndio somo tunalopata Ktk kisa hiki cha Wema. Yeye abebe mimba Kimya Kimya atuletee mtoto.. Story awaachie na kujionyesha awaachie wale madogo wa xxL.Uwiiiiiii nimejisikiaje aibu mimi?
Ujue suala la Wema kuliwa na Petit Man lipo tokea kitambo ndio maana hawana maelewano mazuri na Diamond na hata Diamond kususia harusi yake na dada yake chanzo ni hicho.
Sasa nilidhani kaacha huo upumbavu baada ya kumpata Idris kumbe bado tu?
Kama hili ni kweli basi Wema is done,hatokaa ampate mwanaume kama Idris.
Sijui wenzetu wanawashwaga na nini!
Nadhani kutojiamini akijitwika kimyakimya watu watasema kkwepuaIdris ananini so special kwani?? Wa kawaida sana Yule dogo basi tu... Sema tu si vema kuanika mambo yako Ndio somo tunalopata Ktk kisa hiki cha Wema. Yeye abebe mimba Kimya Kimya atuletee mtoto.. Story awaachie na kujionyesha awaachie wale madogo wa xxL.
Nadhani kutojiamini akijitwika kimyakimya watu watasema kamkwepua muhimbili ndo maana anaifanyia promo.Idris ananini so special kwani?? Wa kawaida sana Yule dogo basi tu... Sema tu si vema kuanika mambo yako Ndio somo tunalopata Ktk kisa hiki cha Wema. Yeye abebe mimba Kimya Kimya atuletee mtoto.. Story awaachie na kujionyesha awaachie wale madogo wa xxL.
Kanikamulie maji ya machungwa na kiu komaaaNajikuta tu nawasikikiza jamaa zangu wawili mandojo na domo kaya na wimbo wao "nikupe nini" mstari unaonikuna ni pale wanapoimba
"Mwezi wa kumi wa kumi na moja huo kwenye kona wa kumi na mbili umetinga mwanangu wadai huna mimba si nikastuka nikikuwa nahudumia tambala"
Karibu kesho billz utoe macho hahahahahashemeji yao kasepa kufumania kubaya sana tena mchana shikamoo petit unajibunyulia madame bila jasho wenzio hadi wahonge ili demu la masela kinazi
Hawa Ni wakongo Mkuu.. Wanajihusisha na dawa za asili.Hawa jamaa ni kinanani?
Hahahaha we nomaHii mimba ya huyo binti imezua mambo kwa kweli.
Mara ipo....mara inapotea...hujakaa sawa imerudi tena....umejisahau kidogo unasikia imetoweka tena!
Ni mimba ya kipekee sana hiyo.
Ndio maana petit yupo radhi kutelekeza familia ilmradi asiache kuwa karibu na wema, ila petit nae ana moyo wa Chuma hata kama ni penzi la wizi yani watu wanamgonga gonga wema nae anajua afu anagonga pia mmmhUwiiiiiii nimejisikiaje aibu mimi?
Ujue suala la Wema kuliwa na Petit Man lipo tokea kitambo ndio maana hawana maelewano mazuri na Diamond na hata Diamond kususia harusi yake na dada yake chanzo ni hicho.
Sasa nilidhani kaacha huo upumbavu baada ya kumpata Idris kumbe bado tu?
Kama hili ni kweli basi Wema is done,hatokaa ampate mwanaume kama Idris.
Sijui wenzetu wanawashwaga na nini!
Kwanini wanamuita Susan ha ha ha ha haUuuuwiiii doctor susan [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119] [emoji119]
Grace yupii?
Jamani yule winnie ndio malkia wa insta wala asibishe.
Anauza mafuta ya mkorogo kuna kiduka anaweka mafuta yake.ukimwona utacheka.