Uchaguzi 2020 Ni kweli kabisa Serikali ya Lissu inaweza kuwalipa wafanyakazi stahiki zao na mishahara minono

Uchaguzi 2020 Ni kweli kabisa Serikali ya Lissu inaweza kuwalipa wafanyakazi stahiki zao na mishahara minono

lee Vladimir cleef

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
9,571
Reaction score
35,475
Hata kwa makusanyo hayahaya ya Kodi inayokusanywa mwaka huuhuu wa 2020. Serikali ya Lissu inaweza kuwalipa vizuri watumishi,wastaafu na hata mikopo yenye riba nafuu kwa wanafunzi na kuwapunguzia mizigo ya ada wazazi.

ITAWEZAJE
Serikali ya Lissu haitakua na matumizi ya hovyo,ya kijinga na yasiyokua na manufaa kwa taifa.Hivyo itakua na akiba ya kutosha kutekeleza ahadi hii ya Mishahara na stahiki za wafanyakazi.

Matumizi ya hovyo na ya kijinga yaliyofanywana serikali inayomaliza Muda wake ambayo yameliingizia Taifa hasara, Serikali ya Lissu haitayafanya Ni:

_Kutonunua wapinzani
_Kutokufanya Uchaguzi wa marudio kwenye majimbo amabyo Mbunge ama Diwani akijivua ubunge kwa hiari yake.
_kutokugawa fedha mabarabarani hovyo.
_kupunguza idadi ya misafara ya magari kwenye misafara ya VIONGOZi.
_kutokuruhusu ufisadi wa watu Kama Ndugai kutibiwa nje kwa mamilioni ya fedha.
_kutokununua vitu Kama ndege kwa cash.sheria ya PPRA ya manunuzi itazingatiwa.

Mengine nikikumbuka nitawaletea. Nina uhakika kabisa Serikali ya Lissu itaheshimu sheria za matumizi ya fedha za Umma kupitia Bunge.
 
ITAWEZAJE
_kutokuruhusu ufisadi wa watu Kama Ndugai kutibiwa nje kwa mamilioni ya fedha.
Mmmmmmm kwani Lisu mwenyewe hakutibiwa kwa mamilioni nje ya Nchi ? Kenya na ubelgiji? Kwa Nini hakutibiwa nchini?

Kwani hakufisadi? Kenya aliongozana na Mbowe ,Msigwa na Godbless Lema,mkewe na dereva waliokuwa wakila pesa za miposho kibao kwa miezi kibao Hadi miaka kwa mkewe na dereva Wakati wao sio madaktari Wala manesi kwa kile kinachoitwa kuuguza Lisu.

Mbowe ,Lema na Msigwa ,mkewe na dereva walikuwa wakiuguza Nini Wakati sio madaktari Wala manesi pale Nairobi na ubelgiji?

Kweli nyani haoni ......
 
ITAWEZAJE
kupunguza idadi ya misafara ya magari kwenye misafara ya VIONGOZi.
Porojo tu misafara ya Lisu ya magari na pikipiki alipopokelewa akitokea ubelgiji na akipokuwa akitafuta wadhamini misafara yake ilikuwa kufuru .Charity begins at home
 
Mmmmmmm kwani Lisu mwenyewe hakutibiwa kwa mamilioni nje ya Nchi ? Kenya na ubelgiji? Kwa Nini hakutibiwa nchini?

Kwani hakufisadi? Kenya aliongozana na Mbowe ,Msigwa na Godbless Lema,mkewe na dereva waliokuwa wakila pesa za miposho kibao kwa miezi kibao Hadi miaka kea mkewe na dereva Wakati wao sio madaktari Wala manesi kwa kile kinachoitwa kuuguza Lisu.

Mbowe ,Lema na Msigwa walikuwa wakiuguza Nini Wakati sio madaktari Wala manesi pale Nairobi?

Kweli nyani haoni ......
Alitibiwa kwa michango yetu,nyie mlizuia asitibiwe kwa fedha za Bunge.watu wema dunia nzima tulimchangia.
Ndugai alipiga hell nyingi sana akiwa India kwa matumizi ya ofisi ya Spika wakati akiwa ugjaibuni.
 
Porojo tu misafara ya Lisu ya magari na pikipiki alipopokelewa akitokea ubelgiji na akipokuwa akitafuta wadhamini misafara yake ilikuwa kufuru .Charity begins at home
Magari Yale mengine ni magari binafsi baadhi walijigharamia kwabkila kitu.
Lakini msafara wa Mzee baba Ni madari yote Ni ya serikali na yote yanagharamiwa na serikali,per diem ndo balaa.
 
Alitibiwa kwa michango yetu,nyie mlizuia asitibiwe kwa fedha za Bunge.watu wema dunia nzima tulimchangia.
Ndugai alipiga hell nyingi sana akiwa India kwa matumizi ya ofisi ya Spika wakati akiwa ugjaibuni.
Kodi pia Ni michango Haina tofauti na hiyo michango ya matibabu ndio afisadi? Kuwa akipewa michango ndio ruksa kubeba Mbowe,Lema,Msigwa na mkewe wakaibomoe nje ya Nchi kuitafuna? Kama michango tu ya Watu anaitafuna kifisadi yeye na genge lake na mkewe na dereva Kodi zitapona?

Halafu Kodi ripoti ya ilivyotumika ripoti hutolewa bungeni baada ya kukaguliwa na mkaguzi mkuu wa serikali yeye hiyo michango ya matibabu aliyofisadi haijawahi kaguliwa Wala hajawahi yeye binafsi au Chadema kutoa Hesabu za matumizi yake publicly .Waliomba michango publicly lakini ripoti ya matumizi yake wameufyata kimya Hadi Leo!! Kuficha ufisadi wao
 
Magari Yale mengine ni magari binafsi baadhi walijigharamia kwabkila kitu.
Lakini msafara wa Mzee baba Ni madari yote Ni ya serikali na yote yanagharamiwa na serikali,per diem ndo balaa.
Uongo magari mengi yalikuwa ya Chadema na bodaboda walijaziwa mafuta na Chadema.Pikipiki misafara ya Lisu zilikuwa nyingi kuliko.msafara wa Magufuli
 
Hivyo tuu!!!!!?, And that's your end of thinking!!? Kuendesha nchi ni tofauti na kuendesha familia bwana mdogo, punguza mahaba na mihemuko.
Wewe ambae Ni endless thinker punguza chuki dogo,anayeendesha nchi Kama familia yake Ni Jiwe,mnampa sifa asizokua nazo matokeo yake ametoka nje ya reli.
 
-Kutojenga uwanja wa ndege Singida
-Kutonunua ndege nyingine sababu hata hizi zilizopo hazina tija
-Kutovunja mikataba ya kimataifa bila kufuata sheria ili tusiendelee lipa mamilioni ya dola kwenye mahakama za arbitration
-Kutotoa maamuzi ya kukurupuka ya kuwezesha jeshi kifedha ili lisombe korosho kisha zikaoza
-Kusupport private sector badala ya kuiua ili vijana wapate ajira na serikali ikapata kodi kupitia direct tax kama PAYE na indirect tax kama corporation tax
 
Wewe ambae Ni endless thinker punguza chuki dogo,anayeendesha nchi Kama familia yake Ni Jiwe,mnampa sifa asizokua nazo matokeo yake ametoka nje ya reli.
Umemaliza kufikiria mbinu zingine zitakazo mfanya rais wenu aweze pambana na hizo changamoto ukiacha na ulizotaja bwana mdogo?..... Choma heater, nakukumbusha tena inchi haongozwi kwa mihemuko.
 
Dah... Bro uko siriaz kweli? Nina uhakika hata Lisu akipita hapa atakukana [emoji2960]
 
Alitibiwa kwa michango yetu,nyie mlizuia asitibiwe kwa fedha za Bunge.watu wema dunia nzima tulimchangia.
Ndugai alipiga hell nyingi sana akiwa India kwa matumizi ya ofisi ya Spika wakati akiwa ugjaibuni.
Issue sio aina ya pesa iliyomtibu, bali matuzi mabaya, hata iwe michango yetu. Huyo Dereva alihitajika kwa lipi ubelgiji
 
Anakuja kuua tu uchumi. Kwanza jamaa anaonekana kana anaweza kuturudisha enzi za kutembeza bakuli kaana anaamini kwenye ubeberu balaa baba huyu
 
Angalia mkutano wa Lissu leo huko Kawe ulivyofurika!

 
Hata kwa makusanyo hayahaya ya Kodi inayokusanywa mwaka huuhuu wa 2020.
Serikali ya Lissu inaweza kuwalipa vizuri watumishi,wastaafu na hata mikopo yenye riba nafuu kwa wanafunzi na kuwapunguzia mizigo ya ada wazazi.

ITAWEZAJE
Serikali ya Lissu haitakua na matumizi ya hovyo,ya kijinga na yasiyokua na manufaa kwa taifa.Hivyo itakua na akiba ya kutosha kutekeleza ahadi hii ya Mishahara na stahiki za wafanyakazi.
Matumizi ya hovyo na ya kijinga yaliyofanywana serikali inayomaliza Muda wake ambayo yameliingizia Taifa hasara, Serikali ya Lissu haitayafanya Ni:

_Kutonunua wapinzani
_Kutokufanya Uchaguzi wa marudio kwenye majimbo amabyo Mbunge ama Diwani akijivua ubunge kwa hiari yake.
_kutokugawa fedha mabarabarani hovyo.
_kupunguza idadi ya misafara ya magari kwenye misafara ya VIONGOZi.
_kutokuruhusu ufisadi wa watu Kama Ndugai kutibiwa nje kwa mamilioni ya fedha.
_kutokununua vitu Kama ndege kwa cash.sheria ya PPRA ya manunuzi itazingatiwa.
Mengine nikikumbuka nitawaletea.
Nina uhakika kabisa Serikali ya Lissu itaheshimu sheria za matumizi ya fedha za Umma kupitia Bunge.
Kwa Sera zipi na mikakati ipiii aliyo nayo? Lisu mwenyewee tutawalaum chadema kupitisha mgombea uraisi mwenye jazba, ambaye yuko ananadi muujiza wake wa kupona shambulio iliwatanzania tumhurumie uraisi.
 
Back
Top Bottom