Uchaguzi 2020 Ni kweli kabisa Serikali ya Lissu inaweza kuwalipa wafanyakazi stahiki zao na mishahara minono

Uchaguzi 2020 Ni kweli kabisa Serikali ya Lissu inaweza kuwalipa wafanyakazi stahiki zao na mishahara minono

Kuna mambo mengine pia ambayo ni muhimu yakifanyika ukiachana na kulipana mishahara mikubwa.
 
mefikia apa
Tumefikia hapa.
Screenshot_2020-07-14-11-23-36.jpg
 
Hata kwa makusanyo hayahaya ya Kodi inayokusanywa mwaka huuhuu wa 2020.
Serikali ya Lissu inaweza kuwalipa vizuri watumishi,wastaafu na hata mikopo yenye riba nafuu kwa wanafunzi na kuwapunguzia mizigo ya ada wazazi.

ITAWEZAJE
Serikali ya Lissu haitakua na matumizi ya hovyo,ya kijinga na yasiyokua na manufaa kwa taifa.Hivyo itakua na akiba ya kutosha kutekeleza ahadi hii ya Mishahara na stahiki za wafanyakazi.
Matumizi ya hovyo na ya kijinga yaliyofanywana serikali inayomaliza Muda wake ambayo yameliingizia Taifa hasara, Serikali ya Lissu haitayafanya Ni:

_Kutonunua wapinzani
_Kutokufanya Uchaguzi wa marudio kwenye majimbo amabyo Mbunge ama Diwani akijivua ubunge kwa hiari yake.
_kutokugawa fedha mabarabarani hovyo.
_kupunguza idadi ya misafara ya magari kwenye misafara ya VIONGOZi.
_kutokuruhusu ufisadi wa watu Kama Ndugai kutibiwa nje kwa mamilioni ya fedha.
_kutokununua vitu Kama ndege kwa cash.sheria ya PPRA ya manunuzi itazingatiwa.
Mengine nikikumbuka nitawaletea.
Nina uhakika kabisa Serikali ya Lissu itaheshimu sheria za matumizi ya fedha za Umma kupitia Bunge.
Hahaha Chandimu bwana, kweli wakurupukaji
 
Tusimfungie mlango huyu Lissu,tutamsikiliza lakini Kura yetu hapati kamwe
 
Za kuambiwa changanya na zako! Mbona kuna mapicha mengi tu hapa jamvini kuonyesha nyomi ya Tanganyika Packers jana!? Fanya utafiti kabla ya KUKURUPUKA Mkuu.
Picha na video ni vitu viwili tofauti kabisa katika kutuma ujumbe
 
Kwa mwenye UFINYU wa akili tu ndiye anaweza kuamini kwamba kinachoonyeshwa kwenye picha ni tofauti na kinachoonyeshwa kwenye video.

Picha na video ni vitu viwili tofauti kabisa katika kutuma ujumbe
 
Kwa mwenye UFINYU wa akili tu ndiye anaweza kuamini kwamba kinachoonyeshwa kwenye picha ni tofauti na kinachoonyeshwa kwenye video.
Wenye akili finyu zaidi ndio huamini picha yoyote wanayoletewa bila kujali projection ya picha hiyo, yaani bila kuangalia kama ni orthographic projection au ni perspective projection!
 
Umekengeuka wewe si bure hadi kwenda kumuunga huyo anayejiita KICHAA ambaye anaongea kauli za kidikteta na za kuwadhalilisha akina mama. Pole zako nyingi.



Wenye akili finyu zaidi ndio huamini picha yoyote wanayoletewa bila kujali projection ya picha hiyo, yaani bila kuangalia kama ni orthographic projection au ni perspective projection!
 
Nadhan ulitaka yatokee yale uliyoyataman pole sana, hii dawa ni chungu bt kuinywa n lazma
Mmmmmmm kwani Lisu mwenyewe hakutibiwa kwa mamilioni nje ya Nchi ? Kenya na ubelgiji? Kwa Nini hakutibiwa nchini?

Kwani hakufisadi? Kenya aliongozana na Mbowe ,Msigwa na Godbless Lema,mkewe na dereva waliokuwa wakila pesa za miposho kibao kwa miezi kibao Hadi miaka kwa mkewe na dereva Wakati wao sio madaktari Wala manesi kwa kile kinachoitwa kuuguza Lisu.

Mbowe ,Lema na Msigwa ,mkewe na dereva walikuwa wakiuguza Nini Wakati sio madaktari Wala manesi pale Nairobi na ubelgiji?

Kweli nyani haoni ......
 
-Kutojenga uwanja wa ndege Singida
-Kutonunua ndege nyingine sababu hata hizi zilizopo hazina tija
-Kutovunja mikataba ya kimataifa bila kufuata sheria ili tusiendelee lipa mamilioni ya dola kwenye mahakama za arbitration
-Kutotoa maamuzi ya kukurupuka ya kuwezesha jeshi kifedha ili lisombe korosho kisha zikaoza
-Kusupport private sector badala ya kuiua ili vijana wapate ajira na serikali ikapata kodi kupitia direct tax kama PAYE na indirect tax kama corporation tax
Sema kiukweli waliobaki chadema sasa hivi ni watupu sana. Ukirudia kusoma hizi hoja zako hujishangai?
Embu wapigieni magoti Yericko Nyerere na Malisa maana ninyi wengine mnahaibisha chama
 
Umekengeuka wewe si bure hadi kwenda kumuunga huyo anayejiita KICHAA ambaye anaongea kauli za kidikteta na za kuwadhalilisha akina mama. Pole zako nyingi.


Vipi; umesahau kunywa dawa zako leo asubuhi!
 
Acha kujibaraguza kama vile unanifahamu! Mimi na MAZWAZWA yanayomuunga mkono huyo anayejiita KICHAA wapi na wapi? 😳😳

Vipi; umesahau kunywa dawa zako leo asubuhi!
 
Acha kujibaraguza kama vile unanifahamu! Mimi na MAZWAZWA yanayomuunga mkono huyo anayejiita KICHAA wapi na wapi? 😳😳
Mimi sikujui wala simjui mtu yeyeote hapa JF pamoja na kuwepo muda mwingi sana na wala sina haja ya kumjua mtu yeyote hapa, ila unapoleta michango isiyoendana na mada, ni wazi kuwa kuna tatizo fulani limeibuka kichwani mwako ambalo linaweza kuwa limesababishwa na imbalance fulani. Mojawapo ya sababu za imbalances ni kama nilivyosema hapo.
 
Mmmmmmm kwani Lisu mwenyewe hakutibiwa kwa mamilioni nje ya Nchi ? Kenya na ubelgiji? Kwa Nini hakutibiwa nchini?

Kwani hakufisadi? Kenya aliongozana na Mbowe ,Msigwa na Godbless Lema,mkewe na dereva waliokuwa wakila pesa za miposho kibao kwa miezi kibao Hadi miaka kwa mkewe na dereva Wakati wao sio madaktari Wala manesi kwa kile kinachoitwa kuuguza Lisu.

Mbowe ,Lema na Msigwa ,mkewe na dereva walikuwa wakiuguza Nini Wakati sio madaktari Wala manesi pale Nairobi na ubelgiji?

Kweli nyani haoni ......
Wewe au hilo genge lenu la kigaidi mlichangia hata senti tano? Mbona unalinganisha ardhi na mbingu?
 
Back
Top Bottom