Uchaguzi 2020 Ni kweli kabisa Serikali ya Lissu inaweza kuwalipa wafanyakazi stahiki zao na mishahara minono

Uchaguzi 2020 Ni kweli kabisa Serikali ya Lissu inaweza kuwalipa wafanyakazi stahiki zao na mishahara minono

Sasa kama hunijui kwanini za uandike UZUSHI!? 😳😳😳

Mada ipi unayoizungumzia hapa? Ya wewe kuandika uongo kwamba kule Tanganyika Packers jana hakukuwa na umati wa watu kisha kuweka picha yako FAKE!? 😳😳😳

Mtu mzima HOVYOOOOO!

Mimi sikujui wala simjui mtu yeyeote hapa JF pamoja na kuwepo muda mwingi sana na wala sina haja ya kumjua mtu yeyote hapa, ila unapoleta michango isiyoendana na mada, ni wazi kuwa kuna tatizo fulani limeibuka kichwani mwako ambalo linaweza kuwa limesababishwa na imbalance fulani. Mojawapo ya sababu za imbalances ni kama nilivyosema hapo.
 
Sasa kama hunijui kwanini za uandike UZUSHI!? 😳😳😳

Mada ipi unayoizungumzia hapa? Ya wewe kuandika uongo kwamba kule Tanganyika Packers jana hakukuwa na umati wa watu kisha kuweka picha yako FAKE!? 😳😳😳

Mtu mzima HOVYOOOOO!
Mimi sikukuandikia wewe, bali ni wewe ulinidakia kwa mapovu mengi sana. Niliweka reflection ya mkutanowa Lissu kawe kama ulivyorekodiwa independently na mhudhuriaji mmoja. Ni vizuri sana kuwa makini na jinsi tunevyorespond dhidi ya opinion zisizotufurahisah kuliko kupayuka tu.
 
Kwa UZWAZWA WAKO unadhani ni mapovu. UNAKURUPUKA na kuweka FAKE PIC ya tukio la jana bila kufanya utafiti wa kina na kutaka watu hapa jamvini waamini upuuzi wako!? Acha KUKURUPUKA na picha FAKE za KUOKOTEZA ambazo hazina ukweli wowote vinginevyo UTADHARAULIKA. Hivi ungepoteza kitu gani kabla ya kupost hiyo picha yako FAKE kufanya utafiti kama ni ya kweli au la!?


Mimi sikukuandikia wewe, bali ni wewe ulinidakia kwa mapovu mengi sana. Niliweka reflection ya mkutanowa Lissu kawe kama ulivyorekodiwa independently na mhudhuriaji mmoja. Ni vizuri sana kuwa makini na jinsi tunevyorespond dhidi ya opinion zisizotufurahisah kuliko kupayuka tu.
 
Hata kwa makusanyo hayahaya ya Kodi inayokusanywa mwaka huuhuu wa 2020.
Serikali ya Lissu inaweza kuwalipa vizuri watumishi,wastaafu na hata mikopo yenye riba nafuu kwa wanafunzi na kuwapunguzia mizigo ya ada wazazi.

ITAWEZAJE
Serikali ya Lissu haitakua na matumizi ya hovyo,ya kijinga na yasiyokua na manufaa kwa taifa.Hivyo itakua na akiba ya kutosha kutekeleza ahadi hii ya Mishahara na stahiki za wafanyakazi.
Matumizi ya hovyo na ya kijinga yaliyofanywana serikali inayomaliza Muda wake ambayo yameliingizia Taifa hasara, Serikali ya Lissu haitayafanya Ni:

_Kutonunua wapinzani
_Kutokufanya Uchaguzi wa marudio kwenye majimbo amabyo Mbunge ama Diwani akijivua ubunge kwa hiari yake.
_kutokugawa fedha mabarabarani hovyo.
_kupunguza idadi ya misafara ya magari kwenye misafara ya VIONGOZi.
_kutokuruhusu ufisadi wa watu Kama Ndugai kutibiwa nje kwa mamilioni ya fedha.
_kutokununua vitu Kama ndege kwa cash.sheria ya PPRA ya manunuzi itazingatiwa.
Mengine nikikumbuka nitawaletea.
Nina uhakika kabisa Serikali ya Lissu itaheshimu sheria za matumizi ya fedha za Umma kupitia Bunge.
Kweli hujitambui, wewe umekuwa msemaji wa serikali hewa ya Lisu? Je, CDM ina uzoefu gani na uendeshaji wa nchi? Chama kilichoshindwa kuendesha ufipa kitawezeje kufanya hayo?
 
Mmmmmmm kwani Lisu mwenyewe hakutibiwa kwa mamilioni nje ya Nchi ? Kenya na ubelgiji? Kwa Nini hakutibiwa nchini?

Kwani hakufisadi? Kenya aliongozana na Mbowe ,Msigwa na Godbless Lema,mkewe na dereva waliokuwa wakila pesa za miposho kibao kwa miezi kibao Hadi miaka kwa mkewe na dereva Wakati wao sio madaktari Wala manesi kwa kile kinachoitwa kuuguza Lisu.

Mbowe ,Lema na Msigwa ,mkewe na dereva walikuwa wakiuguza Nini Wakati sio madaktari Wala manesi pale Nairobi na ubelgiji?

Kweli nyani haoni ......
Wewe unapashwa kwanza ulaumu serikali iliyopanga njama kumuua moja wa raia wake wakati jukumu lake kuu ni kulinda watu na mali zao.
Tuanzie hapo kwanza ili tusiwe wanafiki.
 
Mmmmmmm kwani Lisu mwenyewe hakutibiwa kwa mamilioni nje ya Nchi ? Kenya na ubelgiji? Kwa Nini hakutibiwa nchini?

Kwani hakufisadi? Kenya aliongozana na Mbowe ,Msigwa na Godbless Lema,mkewe na dereva waliokuwa wakila pesa za miposho kibao kwa miezi kibao Hadi miaka kwa mkewe na dereva Wakati wao sio madaktari Wala manesi kwa kile kinachoitwa kuuguza Lisu.

Mbowe ,Lema na Msigwa ,mkewe na dereva walikuwa wakiuguza Nini Wakati sio madaktari Wala manesi pale Nairobi na ubelgiji?

Kweli nyani haoni ......
Tulimchangia.

Sisi wanachi sio ndungai aliyechota pesa za umma.

Na ufisadi juu.
 
Hata kwa makusanyo hayahaya ya Kodi inayokusanywa mwaka huuhuu wa 2020. Serikali ya Lissu inaweza kuwalipa vizuri watumishi,wastaafu na hata mikopo yenye riba nafuu kwa wanafunzi na kuwapunguzia mizigo ya ada wazazi.

ITAWEZAJE
Serikali ya Lissu haitakua na matumizi ya hovyo,ya kijinga na yasiyokua na manufaa kwa taifa.Hivyo itakua na akiba ya kutosha kutekeleza ahadi hii ya Mishahara na stahiki za wafanyakazi.

Matumizi ya hovyo na ya kijinga yaliyofanywana serikali inayomaliza Muda wake ambayo yameliingizia Taifa hasara, Serikali ya Lissu haitayafanya Ni:

_Kutonunua wapinzani
_Kutokufanya Uchaguzi wa marudio kwenye majimbo amabyo Mbunge ama Diwani akijivua ubunge kwa hiari yake.
_kutokugawa fedha mabarabarani hovyo.
_kupunguza idadi ya misafara ya magari kwenye misafara ya VIONGOZi.
_kutokuruhusu ufisadi wa watu Kama Ndugai kutibiwa nje kwa mamilioni ya fedha.
_kutokununua vitu Kama ndege kwa cash.sheria ya PPRA ya manunuzi itazingatiwa.

Mengine nikikumbuka nitawaletea. Nina uhakika kabisa Serikali ya Lissu itaheshimu sheria za matumizi ya fedha za Umma kupitia Bunge.
Tumeona Mara nyingi kuwa familia yoyote inayojifanya kula vizuri na kutaka ufahari wakati hicho kipato chake kinatokana na mshahara wa kila mwezi uishia kupanga mpaka anastaafu,aliyekuambia mishahara huwa inatosha ni nani ukitaka kuishi kwa raha jengo miundombinu wezeshi kwako itakayopunguza gharama za maisha,ukijenga nyumba itapunguza kodi ,hivyo anayofanya magufuri kwa sasa kuna gharama ameipunguza,bwawa litapunguza gharama ya umeme,flyover umepunguza foleni,barabara inapunguza muda,elimu bile inaongeza idadi ya wanafunzi,nk.
 
Kujadili serikali ya lissu ni kupoteza muda. Hakuna serikali itakayoundwa na lissu katika Tanzania hii.
 
Serikali ya Lissu itaendeleza au kuitelekeza hii miradi ya hii awamu? maana...
 
Kwa UZWAZWA WAKO unadhani ni mapovu. UNAKURUPUKA na kuweka FAKE PIC ya tukio la jana bila kufanya utafiti wa kina na kutaka watu hapa jamvini waamini upuuzi wako!? Acha KUKURUPUKA na picha FAKE za KUOKOTEZA ambazo hazina ukweli wowote vinginevyo UTADHARAULIKA. Hivi ungepoteza kitu gani kabla ya kupost hiyo picha yako FAKE kufanya utafiti kama ni ya kweli au la!?
Sijui unaumia nini hadi kuropoka lugha za kijinga namna hii; hiyo siyo video fake ni ya mtu aliyepiga kwa simu akiwa ni kati ya waliohudhuruia akiwa nyuma kabisa; na unaona alikuwa anatembea pale uwanjani na kivuli chake kinaonekana wazi kabisa. Kama unaweza kusoma properties za video angalia time stamp yake kama kweli haikupigwa wakati wa mkutano huo. Hata sauti za upepo zinasikikika waziwazi. Kama wewe ulikuwa jukwaani unaangalia watu aliozunguka jukwaa basi huyo kakuonyeasha kilichokuwa huko nyuma
 
Hata kwa makusanyo hayahaya ya Kodi inayokusanywa mwaka huuhuu wa 2020. Serikali ya Lissu inaweza kuwalipa vizuri watumishi,wastaafu na hata mikopo yenye riba nafuu kwa wanafunzi na kuwapunguzia mizigo ya ada wazazi.

ITAWEZAJE
Serikali ya Lissu haitakua na matumizi ya hovyo,ya kijinga na yasiyokua na manufaa kwa taifa.Hivyo itakua na akiba ya kutosha kutekeleza ahadi hii ya Mishahara na stahiki za wafanyakazi.

Matumizi ya hovyo na ya kijinga yaliyofanywana serikali inayomaliza Muda wake ambayo yameliingizia Taifa hasara, Serikali ya Lissu haitayafanya Ni:

_Kutonunua wapinzani
_Kutokufanya Uchaguzi wa marudio kwenye majimbo amabyo Mbunge ama Diwani akijivua ubunge kwa hiari yake.
_kutokugawa fedha mabarabarani hovyo.
_kupunguza idadi ya misafara ya magari kwenye misafara ya VIONGOZi.
_kutokuruhusu ufisadi wa watu Kama Ndugai kutibiwa nje kwa mamilioni ya fedha.
_kutokununua vitu Kama ndege kwa cash.sheria ya PPRA ya manunuzi itazingatiwa.

Mengine nikikumbuka nitawaletea. Nina uhakika kabisa Serikali ya Lissu itaheshimu sheria za matumizi ya fedha za Umma kupitia Bunge.
1. Barabara
2. Elimu bure
3. Vituo vya Afya
4. Madaraja
5. Ndege
6. Airports
7. Flyovers
8. SGR
9. Stieglers HP
10. Udahili+
11. Techno Tiba
12. Vitambulisho vya Wamachinga
13.......

Ni mengi zaidi hivyo nimekutajia machache kwa ujumla...

Lisu hajui na hana uwezo wa kutimiza robo ya hayo. Unachokifanya ni kudanganyaa umma tu
 
Back
Top Bottom