BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Sasa kama hunijui kwanini za uandike UZUSHI!? 😳😳😳
Mada ipi unayoizungumzia hapa? Ya wewe kuandika uongo kwamba kule Tanganyika Packers jana hakukuwa na umati wa watu kisha kuweka picha yako FAKE!? 😳😳😳
Mtu mzima HOVYOOOOO!
Mada ipi unayoizungumzia hapa? Ya wewe kuandika uongo kwamba kule Tanganyika Packers jana hakukuwa na umati wa watu kisha kuweka picha yako FAKE!? 😳😳😳
Mtu mzima HOVYOOOOO!
Mimi sikujui wala simjui mtu yeyeote hapa JF pamoja na kuwepo muda mwingi sana na wala sina haja ya kumjua mtu yeyote hapa, ila unapoleta michango isiyoendana na mada, ni wazi kuwa kuna tatizo fulani limeibuka kichwani mwako ambalo linaweza kuwa limesababishwa na imbalance fulani. Mojawapo ya sababu za imbalances ni kama nilivyosema hapo.