BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
uchumi upi? Huu uchumi uliokwisha anguka tangu 2016?
Anakuja kuua tu uchumi. Kwanza jamaa anaonekana kana anaweza kuturudisha enzi za kutembeza bakuli kaana anaamini kwenye ubeberu balaa baba huyu