Anakuja kuua tu uchumi. Kwanza jamaa anaonekana kana anaweza kuturudisha enzi za kutembeza bakuli kaana anaamini kwenye ubeberu balaa baba huyu
Dogo, hata picha unaweka propaganda? Unaokoteza picha ya wapita njia sita huko mbali unaunganisha na sauti?!
Mlitaka afe?Mmmmmmm kwani Lisu mwenyewe hakutibiwa kwa mamilioni nje ya Nchi ? Kenya na ubelgiji? Kwa Nini hakutibiwa nchini?
Kwani hakufisadi? Kenya aliongozana na Mbowe ,Msigwa na Godbless Lema,mkewe na dereva waliokuwa wakila pesa za miposho kibao kwa miezi kibao Hadi miaka kwa mkewe na dereva Wakati wao sio madaktari Wala manesi kwa kile kinachoitwa kuuguza Lisu.
Mbowe ,Lema na Msigwa ,mkewe na dereva walikuwa wakiuguza Nini Wakati sio madaktari Wala manesi pale Nairobi na ubelgiji?
Kweli nyani haoni ......
Hakuna kundi la mbumbu wewe ndo mbumbu na hujui Nani anatuambia pesa za nchi na Nani anachamgiwa na wenye mapemzi Mena .shida yako wewe ni kwa sababu pia Ni mpigaji ndani ya system but mind you time will tell.Hakika haya yote yatapita ila neno la Mungu litabaki Kama lilivyo.Inatosha kwa uelewa wako, unawakilisha kundi la mbumbumbu wa chadema
Dah! siyo yangu bali mimi nimeshea tu. Najua kuwa hiyo ni video iliyopigwa laivu kabisa.Dogo, hata picha unaweka propaganda? Unaokoteza picha ya wapita njia sita huko mbali unaunganisha na sauti?!
Angalau umeangukia katiuchumi upi? Huu uchumi uliokwisha anguka tangu 2016?
Hodiiiii.chama chenyewe kimeshindwa kuweka bajeti ya kujenga ofisi [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] , mwenye kiti mwenyewe kapiga b8 za chama , sasa sjui mnaongelea nchi gan
Tukijiandaa kwenda kwny kampeni.Dah! siyo yangu bali mimi nimeshea tu. Najua kuwa hiyo ni video iliyopigwa laivu kabisa.
Naaaaam.yakishawafika penyewe mnaanza pumba,
Hahah hiiiiiii.
Mniombeeeeee.
Hahah hiiiiiii.View attachment 1552643
Ndio tuko tunajiajiri kama hivi.and yes huezi ajiri nchi nzima nn cha ajabu apo zaidi ya ofisi zenu