DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
10 au 100?Saa tu ya mkononi tuliona ni mil 10 kama unavaa saa ya mil 10 unadhani una kiasi gani, inawezekana.
Sikumbuki vizuri ilikua 10 au 10010 au 100?
Nilisikia wakiithaminisha kwa pesa madafu 118,000,000Sikumbuki vizuri ilikua 10 au 100
Ila ni gharama kubwa sana.
Kwa pigo zake hiyo mbona ni cha mtoto kabisa. B40 mbona hata mamishen Town tu wanazoNi kidogo kuanzia lini mfano?
Accumulated before or after presidency?
Is it from salaries and benefits?
Hapana, mamishen town na viongozi wa umma tena?Kwa pigo zake hiyo mbona ni cha mtoto kabisa. B40 mbona hata mamishen Town tu wanazo
Umeelewa nilipoandika 'kwa pigo zake'?Hapana, mamishen town na viongozi wa umma tena?
Labda useme kuna pesa ambazo ni ndogo kwa ufisadi.😀
Siyo kweli. Hii clip ni ya UWONGO tu kumchafua Rais Samia.Nimekutana na hii video clip somewhere. Not sure about its contents. Kwamba rais ana utajiri wa $15M, karibia TZS 40B kama sikosei.
Duh! Siyo kwamba zimefanana?Siyo kweli. Hii clip ni ya UWONGO tu kumchafua Rais Samia.
Hiyo nyumba iko Los Angeles USA na ni mali ya Robbie Williams.
View attachment 3020853
Na hiyo sehemu ya sebule ni picha ya mtu mwingine DJ Khaled.
View attachment 3020854
Umeandika upuuzi mtupu, kama wewe mpo wengi sana mitaani mnatawaliwa na ubaguzi na chuki.Kwa huu ufisadi unaoendelea kwenye hii awamu yake, mapesa yanayoibwa wizarani, mifumo ya control number kuchepushwa, madili wanayopiga mawaziri kama Bashe huku mama Abdul akipata mgao wake kupitia mwanae, naamini hicho kiasi kinawezekana.
Kuna pesa nyingi sana zinachezewa huko serikalini, zile pikipiki zilizogaiwa kila mkoa, matangazo ya mama anaupiga mwingi kila mkoa, mapesa anayogawa Samia misikitini na makanisani, ni kielelezo kingine cha ufisadi unaoendelea awamu hii.
Hapo bado sijaziweka zile grand corruption [ rushwa kubwa] kama;
• Kuhonga bandari zetu Tanganyika kwa waarabu.
• Kutoa sehemu ya misitu yetu, karibia hekari 8000 kwa waarabu.
• Kutoa sehemu ya bahari yetu (kwa Malaysia kama sijakosea).
• Uwanja wa ndege wa KIA kupewa waarabu wakiendeshe.
Binafsi nitashangaa sana kama Samia atakuwa mgombea Urais kupitia CCM 2025, na kwa namna wakina Bashe, Mwigulu, na Abdul wanavyochota mapesa kwa hasira, ni kama vile wameshajua huyo mama yao hatagombea urais 2025.
Itakua kweli. Huyu mama kwenye siasa ni mtafutaji tu sio kwa utumishi kwa umma. Ndio maana hata alipotaka kuingia siasa hakujua aingie chama gani ila alijua anataka ulaji. Ona mikataba anayotuingiza. Kama sio mzalendo kurusha mtandaoni ile concession na dubai angetoa bandari zetu zote kuwapa dubai. Na sio bure kwake binafsi.Nimekutana na hii video clip somewhere. Not sure about its contents. Kwamba rais ana utajiri wa $15M, karibia TZS 40B kama sikosei.
Ubaguzi na chuki gani? Kwamba ni sahihi au ni zamu yake kuiba?Umeandika upuuzi mtupu, kama wewe mpo wengi sana mitaani mnatawaliwa na ubaguzi na chuki.
Nimekutana na hii video clip somewhere. Not sure about its contents. Kwamba rais ana utajiri wa $15M, karibia TZS 40B kama sikosei.