Ni kweli kuhusu utajiri wa Rais?

Ni kweli kuhusu utajiri wa Rais?

Kwa nchi za Afrika mbona hiyo ndogo sana,hiyo anaweza kumiliki mmoja wa watoto wake tu.
Watawala wa Kiafrika ni majitu ya ovyo sana yana tamaa na ulafi uliyopitiliza linaiba na lenyewe likifa hela zinapigwa huko alikozihifadhi kama Mobutu.
 
Kwa pigo zake hiyo mbona ni cha mtoto kabisa. B40 mbona hata mamishen Town tu wanazo
Hapana, mamishen town na viongozi wa umma tena?

Labda useme kuna pesa ambazo ni ndogo kwa ufisadi.😀

Na hapo ndo mwanzo wa mentality mbaya ambayo imejikita kwenye taifa.

Ukishakubali ndogo huwezi kuzuia kubwa…

Ina maana kamba yake inatakiwa iwe ndefu zaidi hii fupi sana.
 
Nimekutana na hii video clip somewhere. Not sure about its contents. Kwamba rais ana utajiri wa $15M, karibia TZS 40B kama sikosei.
Siyo kweli. Hii clip ni ya UWONGO tu kumchafua Rais Samia.

Hiyo nyumba iko Los Angeles USA na ni mali ya Robbie Williams.
Screenshot_20240619_164456_Google.jpg


Na hiyo sehemu ya sebule ni picha ya mtu mwingine DJ Khaled.

Screenshot_20240619_164810_Google.jpg
 
Kwa huu ufisadi unaoendelea kwenye hii awamu yake, mapesa yanayoibwa wizarani, mifumo ya control number kuchepushwa, madili wanayopiga mawaziri kama Bashe huku mama Abdul akipata mgao wake kupitia mwanae, naamini hicho kiasi kinawezekana.

Kuna pesa nyingi sana zinachezewa huko serikalini, zile pikipiki zilizogaiwa kila mkoa, matangazo ya mama anaupiga mwingi kila mkoa, mapesa anayogawa Samia misikitini na makanisani, ni kielelezo kingine cha ufisadi unaoendelea awamu hii.

Hapo bado sijaziweka zile grand corruption [ rushwa kubwa] kama;

• Kuhonga bandari zetu Tanganyika kwa waarabu.

• Kutoa sehemu ya misitu yetu, karibia hekari 8000 kwa waarabu.

• Kutoa sehemu ya bahari yetu (kwa Malaysia kama sijakosea).

• Uwanja wa ndege wa KIA kupewa waarabu wakiendeshe.

Binafsi nitashangaa sana kama Samia atakuwa mgombea Urais kupitia CCM 2025, na kwa namna wakina Bashe, Mwigulu, na Abdul wanavyochota mapesa kwa hasira, ni kama vile wameshajua huyo mama yao hatagombea urais 2025.
Umeandika upuuzi mtupu, kama wewe mpo wengi sana mitaani mnatawaliwa na ubaguzi na chuki.
 
Nimekutana na hii video clip somewhere. Not sure about its contents. Kwamba rais ana utajiri wa $15M, karibia TZS 40B kama sikosei.
Itakua kweli. Huyu mama kwenye siasa ni mtafutaji tu sio kwa utumishi kwa umma. Ndio maana hata alipotaka kuingia siasa hakujua aingie chama gani ila alijua anataka ulaji. Ona mikataba anayotuingiza. Kama sio mzalendo kurusha mtandaoni ile concession na dubai angetoa bandari zetu zote kuwapa dubai. Na sio bure kwake binafsi.
 
Nimekutana na hii video clip somewhere. Not sure about its contents. Kwamba rais ana utajiri wa $15M, karibia TZS 40B kama sikosei.

Kwa kifupi SSH anaweza kuchukua kiasi chochote anachotaka. Hata nusu ya bajeti ya Taifa. Hakuna wa kumfanya chochote au kumuwajibisha.

Wanaopiga kelele ni wachache Lissu, Mpina, Slaa, Mwabukusi wengine wote wako kimya hawako really serious.
 
Back
Top Bottom