Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
ishu hiyo ilikuwa Mbeya kwa sana ,wengi wanajua kiundani .ChoiceVariable wazee wako wanasemaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ishu hiyo ilikuwa Mbeya kwa sana ,wengi wanajua kiundani .ChoiceVariable wazee wako wanasemaje?
Hata kuandika jina la nabii wako mbora bila kumswalia ukaliandika kana kwamba ni Mohamad muuza mitumba pia umedhihirisha jina lako. Allah mtukufu akuongoze kwalo.Muhammad mwenyewe hakuwa dhehebu lolote.
Hata Mimi Sina DHEHEBU.kwenye uislam Mimi ni muislam.hao wanaopingana Wana yao
Hahaha nimecheka kwa sauti kubwa sana. Pita hapo kwa mangi uagizie chochote ntapita baadaye kulipa.Shekhe huyo imamu wako naye alichunwa ngozi au?
Ni kipi Kinakuchekesha hali ya kuwa umeulizwa swali la Msingi..Hahaha nimecheka kwa sauti kubwa sana. Pita hapo kwa mangi uagizie chochote ntapita baadaye kulipa.
Lucas ndio wa MboziChoiceVariable wazee wako wanasemaje?
Nilipikuwa nasoma shule ya msingi chimala haya matukioChoiceVariable wazee wako wanasemaje?
Mimimwenyewe nikiwa kazini kwenye minara ya simu pale Itaka, Mbozi, niliambiwa na mlinzi wa pale mnarani kuwa ikitokea nimeharibikiwa na gari njiani, nihakikishe silali ndani ya gari. Yaani ni bora ukalale hata juu ya mti kuliko ndani ya gari. Wachunaji wanaweza wakakufuata humo ndani ya gari.Uko sahihi mwaka 2015 nilimtembelea best friend pande zile na ilikuwa Vvawa makao makuu ya mkoa wa songwe nilioneshwa hadi sehemu ambazo miili iliokotwa Yaaani hadi mwili ulisisimka
Ilikua miaka gani ITV walikua wanafanya live coverage?Kama ulikuwa mdogo sawa.
Ila ni kweli.kipindi kile ITV taarifa ya habari walikuwa wanaonesha LIVE LIVE MTU KAVULIWA NGOZI.
na kipindi kile hata ajali walikuwa wanaonesha watu jinsi walivyovunjika vunjika
Hiyo ngozi ya binadamu inasemwa walikuwa wanaipeleka wapi na kufanyia nini? Au ni maswala ya ushirikina?Mnamo mwaka 1989 mpakani mwa Zambia na Tanzania mbeya, tunduma ukatili huo ulifanyika kwa kimya kimya na baadae mnamo mwaka 1991 ikawa imeenea mbeya kote mpaka kufikia usawa wa njombe kuelekea iringa mopakani.
Zile ni zama katili Sana watoto umri miaka 3 - 12 walikuwa wanatekwa na kuchunwa ngozi kwa maumivu Sana ni kifo kibaya mno, wakati mwingine watoto miaka 13 - 19 walikuwa wanatekwa na kuchunwa ngozi, lakini ni wachache kulinganisha na watoto wadogo chini ya umri huo.
Hivi mtu anielezee huyu hussein ni naniKipenzi chetu Imam Hussein aliuwawa kikatili sana Karbala ili kulinda na kuutetea uislamu. Nasi Allah katupa Tawfiq. Lakini cha kuhuzunisha Sunni hawamuenzi Imam wetu wanamdhihaki kumtukana nakutudhihaki.
Allah mwenyez Mungu mwingi wa rehma ampe qaul thabeet kipenzi chetu Imam.
Imam Hussein alikuwa mjukuu wa mtume Muhammad SAW. Ni kipenzi chetu sisi washia. Aliuwawa karbaala kikatili sana akitetea haki dhidi ya dhulma na uonevu. Bila yeye leo uislamu usengekuwepo na tusingesemaHivi mtu anielezee huyu hussein ni nani
Sawa...so anatuhusu na kutusaidia nini Katika dunia yetu kiujumlaImam Hussein alikuwa mjukuu wa mtume Muhammad SAW. Ni kipenzi chetu sisi washia. Aliuwawa karbaala kikatili sana akitetea haki dhidi ya dhulma na uonevu. Bila yeye leo uislamu usengekuwepo na tusingesema
LA ILAHA ILLALLAH MUHAMMADUR RASULULLAH
Mufti kuku The Infinity Jagina adriz Accumen Mo mjingamimi hydroxo
Semenya unajambajamba tu jamvini na kupiga porojo huku ukitegea kupiga boksi.Imam Hussein alikuwa mjukuu wa mtume Muhammad SAW. Ni kipenzi chetu sisi washia. Aliuwawa karbaala kikatili sana akitetea haki dhidi ya dhulma na uonevu. Bila yeye leo uislamu usengekuwepo na tusingesema
LA ILAHA ILLALLAH MUHAMMADUR RASULULLAH
Mufti kuku The Infinity Jagina adriz Accumen Mo mjingamimi hydroxo