mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Ulisema bila yeye uislam usingekuwepo unakoseaImam Hussein alikuwa mjukuu wa mtume Muhammad SAW. Ni kipenzi chetu sisi washia. Aliuwawa karbaala kikatili sana akitetea haki dhidi ya dhulma na uonevu. Bila yeye leo uislamu usengekuwepo na tusingesema
LA ILAHA ILLALLAH MUHAMMADUR RASULULLAH
Mufti kuku The Infinity Jagina adriz Accumen Mo mjingamimi hydroxo
No sio live.yaani taarifa ya habari ilikuwa Haina kificho.Ilikua miaka gani ITV walikua wanafanya live coverage?
duh, kupitia stori humu unajua umri wa watu. ulikua bado unanyonya..Miaka ya tisini nilikuwa nasikia sana stori za uchunaji ngozi maeneo mbalimbali ya nchi, stori zenyewe zilikuwa za kutisha sana kwamba watu wanamkamata mtu hasa watoto wadogo wanawachoma sindano fulani ngozi yote inaumuka kisha wanaichana na kuivua tu.
Hizi story za uvunaji ngozi ya binadamu zilikuwa ni matukio halisi ya ukweli au ni story za uzushi tu uliokuwa unavuma kutoka pande moja ya nchi kwenda nyingine(urban myth) ?
lile kabila la waswafa wale hawana roho ya kawaida.Waulize watu wa Mbeya
Huo Sasa ndo USHIRIKINA WENYEWE unaleta.ni sharia ipi inayosema uhakika jina la Muhammad umtakie na rehma!?Hata kuandika jina la nabii wako mbora bila kumswalia ukaliandika kana kwamba ni Mohamad muuza mitumba pia umedhihirisha jina lako. Allah mtukufu akuongoze kwalo.
Iko hivi....
Hayo madhehebu aliyataja Mtume Muhammad Sala na salaam ziwe juu yake na ni kitu ambacho hakiepukiki ktk umma na kilichokuwa bora kwako ni kuitafuta haki na uifate..
USHIRIKINA wako vizuri,wenye mabucha na watu wa madini walikuwa na Imani kuwa ukipata kipara au kiganja Cha mkono biashara zako zitaenda.Tena hayo matukio yalikuwa yanatokea sana mkoani Mbeya.
Ilikuwa kweliNadhani zilikuwa story tu, kuna kipindi tukiwa watoto tukaskia kuna watu wanateka wanaume na kukata Maumbile yao eti wanaenda kutegea samaki flqni hivi walikuwa na autajiri ukiwapata😂
Duh! Umenikumbusha mbali aisee.Kuna Ile ya kupigwa nondo kichwani,
Wenye vipara ,na viganja vya mikono.
Haya mambo yalikuwwpo kweli.
2005Ilikuwa miaka gani uliyosikia wewe?