Ni kweli kununua usafiri kwa mtu (used) kunaweza kuwa na mikosi ya kupata ajali?

Ni kweli kununua usafiri kwa mtu (used) kunaweza kuwa na mikosi ya kupata ajali?

kimara Kimara

Member
Joined
Jul 7, 2024
Posts
80
Reaction score
173
Habarini Waungwana, kutokana na changamoto ya usafir, ivi Karibuni nilimshirikisha rafiki yangu kua nataka nijichange ninunue Pikipk used, TVS (angalau namba D). Yeye alishauri Bora ninunue MPYA.

Aliniambia Used sio Nzuri, zinaweza kua ma mabaa ama mikosi, Hujui kwanini ameiuza huenda imegonga au imepata ajali au imeua n.k..

kwahiyo ukinunua hiko chombohizo roho ama mablaa yanaweza kukukuta na wewe mfano ukapata ajali mbaya n.k

JE KUNA UKWELI KWENYE HILI, NIPENI MAONI YENU ...
Screenshot_20250129-193938.png
 
Habarini Waungwana, kutokana na changamoto ya usafir, ivi Karibuni nilimshirikisha rafiki yangu kua nataka nijichange ninunue Pikipk used, TVS (angalau namba D). Yeye alishauri Bora ninunue MPYA.

Aliniambia Used sio Nzuri, zinaweza kua ma mabaa ama mikosi, Hujui kwanini ameiuza huenda imegonga au imepata ajali au imeua n.k..

kwahiyo ukinunua hiko chombohizo roho ama mablaa yanaweza kukukuta na wewe mfano ukapata ajali mbaya n.k

JE KUNA UKWELI KWENYE HILI, NIPENI MAONI YENU ...
Hapo shida
Habarini Waungwana, kutokana na changamoto ya usafir, ivi Karibuni nilimshirikisha rafiki yangu kua nataka nijichange ninunue Pikipk used, TVS (angalau namba D). Yeye alishauri Bora ninunue MPYA.

Aliniambia Used sio Nzuri, zinaweza kua ma mabaa ama mikosi, Hujui kwanini ameiuza huenda imegonga au imepata ajali au imeua n.k..

kwahiyo ukinunua hiko chombohizo roho ama mablaa yanaweza kukukuta na wewe mfano ukapata ajali mbaya n.k

JE KUNA UKWELI KWENYE HILI, NIPENI MAONI YENU ...
Sio kweli,shida itakuwa ni kama umenunua usafiri mbovu na uwezo wa matengenezo ni hafifu huku unalazimisha usafiri uwe kwa road.
 
Kama ina baraka na wewe utapata hizo baraka au mikosi tu ndo inaweza kuwa transmitted?

Wengine wanasema ukilala na watu unapata mikosi, huwezi pata utajiri ukilala na tajiri?

Mitanganyika inachagua what fits their notion tu.
 
Kama ina baraka na wewe utapata hizo baraka au mikosi tu ndo inaweza kuwa transmitted?

Wengine wanasema ukilala na watu unapata mikosi, huwezi pata utajiri ukilala na tajiri?

Mitanganyika inachagua what fits their notion tu.
Kunywa bia nalipa kwa namba ya nida mkuu
 
Habarini Waungwana, kutokana na changamoto ya usafir, ivi Karibuni nilimshirikisha rafiki yangu kua nataka nijichange ninunue Pikipk used, TVS (angalau namba D). Yeye alishauri Bora ninunue MPYA.

Aliniambia Used sio Nzuri, zinaweza kua ma mabaa ama mikosi, Hujui kwanini ameiuza huenda imegonga au imepata ajali au imeua n.k..

kwahiyo ukinunua hiko chombohizo roho ama mablaa yanaweza kukukuta na wewe mfano ukapata ajali mbaya n.k

JE KUNA UKWELI KWENYE HILI, NIPENI MAONI YENU ...
Mbona nchini vitu used kutoka nje vimejaa na hatuoni hiyo mikosi.
 
Kuna jirani yangu mmoja ana sanlg 125., mwaka 2022 ikamvunja mguu, 2024 ikamvunja mguu tena sasa nawaza itakuwaje 2026.
Nilichomwambia aiuze hiyo chombo.

Kwa upande wako nunua mpya na utamwagia maji mwenyewe, au utaibariki mwenyewe.
 
Nuksi na mikosi anakua nayo mtu na si pikipiki,
Labda upate mbovu ila si mkosi wala balaa
 
Tuna nunua used kila siku kutoka japani na tuna dunda tu ama wajapany hawana mkosi
 
Mwamba Kama mfuko hautoshi kununua chombo mpya si haba ukianza na hiyo iliyotumika.... Tunatumia viiiiiiiiingi vilivyoyumika na maisha yanasonga.
 
Kamata yuzidi songa mbele, kununua mpya ujipange kwa sasa ni zaidi ya 3m
 
Kama umeweza kuoa mwanamke asiye na bikra (used) unaogopaje kununua kitu kilichotumika kwa kuhofia mambo ya imani
 
Back
Top Bottom