Ni kweli kununua usafiri kwa mtu (used) kunaweza kuwa na mikosi ya kupata ajali?

Ni kweli kununua usafiri kwa mtu (used) kunaweza kuwa na mikosi ya kupata ajali?

Kama hauna D mbili huwezi kuelewa kama hili ni tangazo la kuuza pikipiki used
 
Sijui kwanini umaskini unaendana sana na imani za kishirikina.
 
Kwahio vitu vinavokua transmitted ni mikosi tu.. vp kuhusu baraka?
 
Habarini Waungwana, kutokana na changamoto ya usafir, ivi Karibuni nilimshirikisha rafiki yangu kua nataka nijichange ninunue Pikipk used, TVS (angalau namba D). Yeye alishauri Bora ninunue MPYA.

Aliniambia Used sio Nzuri, zinaweza kua ma mabaa ama mikosi, Hujui kwanini ameiuza huenda imegonga au imepata ajali au imeua n.k..

kwahiyo ukinunua hiko chombohizo roho ama mablaa yanaweza kukukuta na wewe mfano ukapata ajali mbaya n.k

JE KUNA UKWELI KWENYE HILI, NIPENI MAONI YENU ...View attachment 3217856
Kitu chochote unachonunua kinaweza kuwa na madhara au kisiwe nayo.
Ila nakushauri tu kwamba nunua huo usafiri na uuoshe Kwa KUOMBEWA, KUSOMEWA DUA AU NDUMBA kulingana na Imani Yako.
 
Habarini Waungwana, kutokana na changamoto ya usafir, ivi Karibuni nilimshirikisha rafiki yangu kua nataka nijichange ninunue Pikipk used, TVS (angalau namba D). Yeye alishauri Bora ninunue MPYA.

Aliniambia Used sio Nzuri, zinaweza kua ma mabaa ama mikosi, Hujui kwanini ameiuza huenda imegonga au imepata ajali au imeua n.k..

kwahiyo ukinunua hiko chombohizo roho ama mablaa yanaweza kukukuta na wewe mfano ukapata ajali mbaya n.k

JE KUNA UKWELI KWENYE HILI, NIPENI MAONI YENU ...View attachment 3217856
Unanunua Alphad kwa Brothermen Bishoo kwa jina la Chid, Mood, Ezo, Tin ambao wamegeuza Alphad Lodge ya kubinjuana....hapo dhahiri huepuki mikosi.

Although hata huko zinakuwa zimetumika na watu lkn kwa hakika wenzetu wana ustaraab huezi kuta wanafanya ufirauni ambao sisi tunafanya kwenye magar hata kwenye maisha yetu tu ya jumla!!!
 
Back
Top Bottom