Ni kweli kuto kusex miaka mitano kunarudisha bikra kwa mwanamke aliyezaa?

Kuwa bize sana na kazi, akili mawazo weka huko.....au kazi nayo inazingua, pole best
 
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Hakuna bikra hapo, huyo mgonjwa tu, kakuona wewe kubwa jinga anakuingiza mkenge.
 
Daamn camoon nigga.... what's wrong with you, don't hold your brain on lower head ๐Ÿคฃ
 
UVCCM wa mradi wa kilimo BBT mmekosa kazi ndio mnaandika huu upuuzi wakati nchi ipo gizani, mafuta juu, sukari juu, umeme unakatika, ajira hakuna , kilimo ndio hivyo tena!
 
Sasa
UVCCM wa mradi wa kilimo BBT mmekosa kazi ndio mnaandika huu upuuzi wakati nchi ipo gizani, mafuta juu, sukari juu, umeme unakatika, ajira hakuna , kilimo ndio hivyo tena!
Sasa afanyaje BBT imezingua huku na huku MTU ana mtoto na bikra same time...vyote vyazingua tu, afanye ishu zingine tu ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
 
Hivi bikra mnazitafutata au kuziongelea za nini - mi naona ni ujinga mtupu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ