Sawa nimekuelewaSikia bro,
Kufanya matusi na mwanamke yoyote, kuna waunganisha katika ulimwengiu wa kiroho.
Kwamba hata kama umeoa, kwa ndoa "takatifu" na mwanamke (ambaye ameisha tumika)
Kaa ukijua, uko kwenye ndoa shirikishi.
Mwanamke akiisha olewa, hawezView attachment 3059798i toka na wanaume wapya.
ila wale wa mwanzo amsha amsha ipo kama kawa.
Hii mbona ni hatariWanasemaga always mwanaume anangaliaga past ya matendo ya mwanamke na mwanamke yeye anangaliaga future (kiuchumi) ya mwanaume.
Zunguka duniani kote wanaume wote kwenye kuoa tunaangaliaga purity na ndio maana kwenye jamii zote,kutoka sehemu mbalimbali duniani huthamini bikra ya wanaume na hamna sehemu labda waliandika kwamba wanaume duniani kote walikutana na kuamua hivyo.
Fedha imeharibu sana mapenzi na ndio maana siku hizi wanawake walio wengi wanakitembeza sana,huku bikra zikiwa hadimu na hata hao wa low body counts wameanza kuhadimika.Fedha imefanya ngono imekuwa rahisi sana,zamani wanadai kukubaliwa ilikuwa shughuli, kupewa mchezo inaweza ikapita hata miaka miwili,ndio maana wazee walikuwa wanawathamini. Fedha imerahisisha sana ngono,sasa hivi wana wanatembeza miti kama hawana akili nzuri.
Ila siku hizi mmmhhhh unakuta demu ana vikoba,michezo majina matatu,kodi ya nyumba ,hajala,hajavaa,hajapendeza na issue mjini hana na hata kama anayo hamtoshelezi,lazima atanue miguu.Atawapanga wanaume na kila mmoja atapewa jukumu lake.
Ni kweli kwa 100% maana tayari ana miunganiko katika ulimwengu wa roho na wanaume hao, inakuwa vigumu kwa yeye kucommit.Bwana Yesu apewe sifa.
Kuna sehem nimesoma kua kama mwanamke ameshatumika sana na wanaume. Ikitokea ameolewa basi hataweza tulia kwenye ndoa yake kabisa.
Mshkaji anasema sababu ni wanaume ambao huyo mwanamke atakua katana nao watakua wameshamtumia kwa njia zote wanazojua wao, wameshamhonga, kumtumia nauli za kutosha.
Eti kaka zangu ambao mko single nyie mnasemaje kuhusu hili?ππ
Na wadogo na dada zangu pia mnasemaje kuhusu hili?π
Hii ndo jambo linalonifanya nione kuwa past ya mwanamke ni muhimu.Sema kuna ambae aliukuna moyo wako ile sana aseeeee huyo huwezi kumsahauuu na haimaanishi bado Unataka kuwa nae no ni ile aprreciation tu
Cc Smart911
Tuwekee hata picha za harusiHiyo <5 utaijuaje? Anaweza akakudanganya ili umuoe.
Mfano halisi, kuna binti mmoja chama la wana, burudani kwa wote, sugu pro max, konkodi kaanza kuliwa toka form 2, watu waliomla ambao wanafahamika ni 28 hapo hatujawahesabu ambao hatuwajui, ila hiyo 28 ni uhakika maana chuoni alikuwa na masponsa ni kama anadanga kimyakimya.
Juzi naona video yake kwenye page ya Instagram ya mc mmoja maarufu tz anaolewa tena harusi ya gharama na mapichapicha ya drone. Nahisi alimdanganya mmewake idadi ya waliomkula. Nahisi uzuri wake umembeba ni mweupe peeee na ameumbika Tako lipo la uhakika.
Je huyo mme wake akipewa list ya 28+, angekubali?
Ushauri wangu: https://jamii.app/JFUserGuide any woman like a bitch,,Hii ndo jambo linalonifanya nione kuwa past ya mwanamke ni muhimu.
Maana ni kama mashindano. Na mi sitaki marathon kabisa. Kumkumbuka sio shida ila kuappreciate ndo shida, yaani anakuwa ameweka level ambayo kama mwanaume mwingine akishindwa kuivuka, hatoheshimiwa.
Sawa sawaNi kweli kwa 100% maana tayari ana miunganiko katika ulimwengu wa roho na wanaume hao, inakuwa vigumu kwa yeye kucommit.
Ila akiamua kubadilika na kumpa Mungu maisha yake, na kumuomba Mungu avunje vifungo hivo, basi anaweza akadumu kwenye ndoa.
π€£Tuwekee hata picha za harusi
Swali lako halina majibu ya direct anaweza akatulia au asitulie ila inategemea na mazingira na vigezo mbalimbali.Bwana Yesu apewe sifa.
Kuna sehem nimesoma kua kama mwanamke ameshatumika sana na wanaume. Ikitokea ameolewa basi hataweza tulia kwenye ndoa yake kabisa.
Mshkaji anasema sababu ni wanaume ambao huyo mwanamke atakua katana nao watakua wameshamtumia kwa njia zote wanazojua wao, wameshamhonga, kumtumia nauli za kutosha.
Eti kaka zangu ambao mko single nyie mnasemaje kuhusu hili?ππ
Na wadogo na dada zangu pia mnasemaje kuhusu hili?π