NI kweli kuwa mwanamke aliyekuwa na mahusiano mengi hawezi kutulia akiolewa?

NI kweli kuwa mwanamke aliyekuwa na mahusiano mengi hawezi kutulia akiolewa?

Sikia bro,
Kufanya matusi na mwanamke yoyote, kuna waunganisha katika ulimwengiu wa kiroho.
Kwamba hata kama umeoa, kwa ndoa "takatifu" na mwanamke (ambaye ameisha tumika)
Kaa ukijua, uko kwenye ndoa shirikishi.
Mwanamke akiisha olewa, hawezView attachment 3059798i toka na wanaume wapya.
ila wale wa mwanzo amsha amsha ipo kama kawa.
Sawa nimekuelewa
 
Wanasemaga always mwanaume anangaliaga past ya matendo ya mwanamke na mwanamke yeye anangaliaga future (kiuchumi) ya mwanaume.

Zunguka duniani kote wanaume wote kwenye kuoa tunaangaliaga purity na ndio maana kwenye jamii zote,kutoka sehemu mbalimbali duniani huthamini bikra ya wanaume na hamna sehemu labda waliandika kwamba wanaume duniani kote walikutana na kuamua hivyo.

Fedha imeharibu sana mapenzi na ndio maana siku hizi wanawake walio wengi wanakitembeza sana,huku bikra zikiwa hadimu na hata hao wa low body counts wameanza kuhadimika.Fedha imefanya ngono imekuwa rahisi sana,zamani wanadai kukubaliwa ilikuwa shughuli, kupewa mchezo inaweza ikapita hata miaka miwili,ndio maana wazee walikuwa wanawathamini. Fedha imerahisisha sana ngono,sasa hivi wana wanatembeza miti kama hawana akili nzuri.

Ila siku hizi mmmhhhh unakuta demu ana vikoba,michezo majina matatu,kodi ya nyumba ,hajala,hajavaa,hajapendeza na issue mjini hana na hata kama anayo hamtoshelezi,lazima atanue miguu.Atawapanga wanaume na kila mmoja atapewa jukumu lake.
Hii mbona ni hatari
 
Bwana Yesu apewe sifa.

Kuna sehem nimesoma kua kama mwanamke ameshatumika sana na wanaume. Ikitokea ameolewa basi hataweza tulia kwenye ndoa yake kabisa.

Mshkaji anasema sababu ni wanaume ambao huyo mwanamke atakua katana nao watakua wameshamtumia kwa njia zote wanazojua wao, wameshamhonga, kumtumia nauli za kutosha.

Eti kaka zangu ambao mko single nyie mnasemaje kuhusu hili?😁😁
Na wadogo na dada zangu pia mnasemaje kuhusu hili?😜
Ni kweli kwa 100% maana tayari ana miunganiko katika ulimwengu wa roho na wanaume hao, inakuwa vigumu kwa yeye kucommit.

Ila akiamua kubadilika na kumpa Mungu maisha yake, na kumuomba Mungu avunje vifungo hivo, basi anaweza akadumu kwenye ndoa.
 
Sema kuna ambae aliukuna moyo wako ile sana aseeeee huyo huwezi kumsahauuu na haimaanishi bado Unataka kuwa nae no ni ile aprreciation tu

Cc Smart911
Hii ndo jambo linalonifanya nione kuwa past ya mwanamke ni muhimu.

Maana ni kama mashindano. Na mi sitaki marathon kabisa. Kumkumbuka sio shida ila kuappreciate ndo shida, yaani anakuwa ameweka level ambayo kama mwanaume mwingine akishindwa kuivuka, hatoheshimiwa.
 
Hiyo <5 utaijuaje? Anaweza akakudanganya ili umuoe.
Mfano halisi, kuna binti mmoja chama la wana, burudani kwa wote, sugu pro max, konkodi kaanza kuliwa toka form 2, watu waliomla ambao wanafahamika ni 28 hapo hatujawahesabu ambao hatuwajui, ila hiyo 28 ni uhakika maana chuoni alikuwa na masponsa ni kama anadanga kimyakimya.
Juzi naona video yake kwenye page ya Instagram ya mc mmoja maarufu tz anaolewa tena harusi ya gharama na mapichapicha ya drone. Nahisi alimdanganya mmewake idadi ya waliomkula. Nahisi uzuri wake umembeba ni mweupe peeee na ameumbika Tako lipo la uhakika.

Je huyo mme wake akipewa list ya 28+, angekubali?
Tuwekee hata picha za harusi
 
Iko hivi, weka maji kwenye kibeseni cha kunawia mikono. Halafu waambie Wanaume kumi waanze kunawa mikono yao mmoja baada ya mwingine kwa kunawia humo humo ndani ya beseni.

Yule wa kumi akimaliza kunawa yaangalie hayo maji yakoje?

Jibu ni hili, beseni ndio hizo "nyeti" zako, mikono ya Wanaume kumi ndiyo hiyo "mitarimbo" yao. Na yale maji machafu yaliyobakia ndani ya beseni ndio wewe.

Swali, je, maji machafu yanaweza kujigeuza na kuwa masafi???

HITIMISHO
Mwanamke anayechezewa na Wanaume tofauti tofauti hana tofauti na "UCHAFU".
 
Hii ndo jambo linalonifanya nione kuwa past ya mwanamke ni muhimu.

Maana ni kama mashindano. Na mi sitaki marathon kabisa. Kumkumbuka sio shida ila kuappreciate ndo shida, yaani anakuwa ameweka level ambayo kama mwanaume mwingine akishindwa kuivuka, hatoheshimiwa.
Ushauri wangu: https://jamii.app/JFUserGuide any woman like a bitch,,
On the bed be a devil not an angel.
Kuna mitindo atakukataza but deep down anaitaka desperately. Ila hawezi kukuomba kwasababu wewe ni mume wake wa ndoa anakuogopa, but ikitokea ana mechi huko nje anaweka mazingira yeye mwenyewe kwasababu anaamini yule wa nje sio mume wake so anammudu.
https://jamii.app/JFUserGuide e'm harder, these silent bitches in the names of wives. The World has no Mercy so do it on your own way for your joy and benefit and go away.
 
Ni kweli kwa 100% maana tayari ana miunganiko katika ulimwengu wa roho na wanaume hao, inakuwa vigumu kwa yeye kucommit.

Ila akiamua kubadilika na kumpa Mungu maisha yake, na kumuomba Mungu avunje vifungo hivo, basi anaweza akadumu kwenye ndoa.
Sawa sawa
 
Bwana Yesu apewe sifa.

Kuna sehem nimesoma kua kama mwanamke ameshatumika sana na wanaume. Ikitokea ameolewa basi hataweza tulia kwenye ndoa yake kabisa.

Mshkaji anasema sababu ni wanaume ambao huyo mwanamke atakua katana nao watakua wameshamtumia kwa njia zote wanazojua wao, wameshamhonga, kumtumia nauli za kutosha.

Eti kaka zangu ambao mko single nyie mnasemaje kuhusu hili?😁😁
Na wadogo na dada zangu pia mnasemaje kuhusu hili?😜
Swali lako halina majibu ya direct anaweza akatulia au asitulie ila inategemea na mazingira na vigezo mbalimbali.
Kwa mfano umeoa mwanamke ambaye ametumika na wanaume wengi halafu ukaishi naye kwenye maeneo hayo hayo ambayo wanaishi hao wanaume wake wa zamani lazima watamtafuta waendeleze naye mahusiano ya kimapenzi.
Lakini chukulia kwa mfano umemuoa mwanamke huyohuyo aliyetumika na wanaume wengi lakini ukahama naye labda alikuwa anaishi Mwanza kisha ukaenda naye kuishi naye Mbeya kisha unamlazimisha abadilishe namba ya simu kuna uwezekano akatulia japo kama ana sifa ya umalaya anaweza pia hukohuko Mbeya akatafuta wanaume wengine wapya.
 
Nafsi ya mtu imebeba sifa ya mtu.

Unaweza kuikana nafsi Yako kuacha au kuongeza sifa na tabia flani ili Hali utaamua wewe.

Nmesahau kifungu cha biblia vizuri ila Kuna mtume mmoja alisema ni Mungu anaye amsha utu wetu wa ndani.

Utu ni jumla ya tabia njema za mtu Kwa mazingira yake.

So nafsi imebeba utu ni wewe kuwa mtu yule yule au kubadirika kuacha maovu.
 
Back
Top Bottom