Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣😁😁😁😁😁🤣😁😁😁Nimecheka sana😂😂😂😂😂😂😂Aiseh ety mpumbulu😂😂😂😂😂😂😂😂
Amina mama mchungajiBwana Yesu apewe sifa.
Hakuna namna ubaya ubaya tu mwanzo mwisho. 😃😃😃😃Ubaya ubaya😂😂😂😂
😂😂😂😂Kizazi hiki chetu ikifika 2035 ndoa zitakua za kuhesabu Sana😂😂😂😂Imagine umekutana na Mandingo halafu ukaenda kuolewa na Timu Kiba, hivi unadhani utaweza kutulia na tumu Kiba kweli??
Imagine ulishazoea kucheza miguu yote, halafu ukaenda kuolewa na Mchezaji anayepiga mguu mmoja, unadhani hautamisi kukutana na Mchezaji anayepiga miguu yote???
Jibu ni hapana, asilimia 97.89 hawatulii
Ni kweli kabisa huwezi kumuoa kahaba ukajipa moyo et atatuliaBwana Yesu apewe sifa.
Kuna sehem nimesoma kua kama mwanamke ameshatumika sana na wanaume. Ikitokea ameolewa basi hataweza tulia kwenye ndoa yake kabisa.
Mshkaji anasema sababu ni wanaume ambao huyo mwanamke atakua katana nao watakua wameshamtumia kwa njia zote wanazojua wao, wameshamhonga, kumtumia nauli za kutosha.
Eti kaka zangu ambao mko single nyie mnasemaje kuhusu?😁😁
Na wadogo na dada zangu pia mnasemaje kuhusu hili?😜
😃😃😃😃 Watoto wa elfu 2000 hawataki ndoa.😁😁😁Ndoa zinazid kua ndoano
Mi ni kiboko ya wazinziSawa Pastor Kiboko ya wachawi😂😂😂
Simple, jus learn to pay attention. Utajua tu .Utajua vip kama ashawai kua na mahusiano mengi huko nyuma?