tpaul
JF-Expert Member
- Feb 3, 2008
- 24,225
- 22,632
Nimekaa hapa nasubiri masingo waje kutoa hoja.Bwana Yesu apewe sifa.
Kuna sehem nimesoma kua kama mwanamke ameshatumika sana na wanaume. Ikitokea ameolewa basi hataweza tulia kwenye ndoa yake kabisa.
Mshkaji anasema sababu ni wanaume ambao huyo mwanamke atakua katana nao watakua wameshamtumia kwa njia zote wanazojua wao, wameshamhonga, kumtumia nauli za kutosha.
Eti kaka zangu ambao mko single nyie mnasemaje kuhusu?😁😁
Na wadogo na dada zangu pia mnasemaje kuhusu hili?😜