NI kweli kuwa mwanamke aliyekuwa na mahusiano mengi hawezi kutulia akiolewa?

NI kweli kuwa mwanamke aliyekuwa na mahusiano mengi hawezi kutulia akiolewa?

Mimi kinachoniumiza ni vile mabraza walio-oa wanawaambia michupuko yako ""Tuendeleze mahusiano halafu ukipa mwanaume wa kukuoa tuachane""

Yaani wanachomaanisha hawa wapuuzi, Braza aliyeoa asugue mbunye ya mchepuko, aimwagie mananiliuuuu halafu mchepuko ukimpata dronedrake ndio uachwe ukaolewe na braza Drone.

Kwamba braza wangu Drone aoa mbunye used and over spent..!!

Anyway; niko mbeya nanenane nimepata lodge karibu na gheto la teacher To yeye
Karibu sanaaa mrembo, baadae tukutane Bar ya Uswahilini ya Rombo Bar (Kabwe, along side njia ya Isanga karibu na soko la Makunguru) Tupate lites za kutosha na mchemsho..!!!

#YNWA
Ubaya ubwela
 
Bwana Yesu apewe sifa.

Kuna sehem nimesoma kua kama mwanamke ameshatumika sana na wanaume. Ikitokea ameolewa basi hataweza tulia kwenye ndoa yake kabisa.

Mshkaji anasema sababu ni wanaume ambao huyo mwanamke atakua katana nao watakua wameshamtumia kwa njia zote wanazojua wao, wameshamhonga, kumtumia nauli za kutosha.

Eti kaka zangu ambao mko single nyie mnasemaje kuhusu hili?😁😁
Na wadogo na dada zangu pia mnasemaje kuhusu hili?😜
Kijana naona umepata aliyetumika sana nini? Kwa hiyo unataka ushauri.
 
Mimi kinachoniumiza ni vile mabraza walio-oa wanawaambia michupuko yako ""Tuendeleze mahusiano halafu ukipa mwanaume wa kukuoa tuachane""

Yaani wanachomaanisha hawa wapuuzi, Braza aliyeoa asugue mbunye ya mchepuko, aimwagie mananiliuuuu halafu mchepuko ukimpata dronedrake ndio uachwe ukaolewe na braza Drone.

Kwamba braza wangu Drone aoa mbunye used and over spent..!!

Anyway; niko mbeya nanenane nimepata lodge karibu na gheto la teacher To yeye
Karibu sanaaa mrembo, baadae tukutane Bar ya Uswahilini ya Rombo Bar (Kabwe, along side njia ya Isanga karibu na soko la Makunguru) Tupate lites za kutosha na mchemsho..!!!

#YNWA
Hivi kweli😁😁😁
 
Wanasema ukioa 35+
20240726_085946.jpg
 
Sasa unaoa mke kakandwa na wanaume 5+ unategemea atulie na wewe kweli? Amezoea kubadilisha ladha, ngumu sana kuwa mwaminifu kwako tu.

Binafsi SI Unit yangu ni <5, ikishakuwa >=5 naona kazi ni ya wote🤣
 
Back
Top Bottom