NI kweli kuwa mwanamke aliyekuwa na mahusiano mengi hawezi kutulia akiolewa?

Nimekaa hapa nasubiri masingo waje kutoa hoja.
 
Eti kaka zangu ambao mko single nyie mnasemaje kuhusu hili?😁😁
Na wadogo na dada zangu pia mnasemaje kuhusu hili?😜
Mimi kinachoniumiza ni vile mabraza walio-oa wanawaambia michepuko yao ""Tuendeleze mahusiano halafu ukipa mwanaume wa kukuoa tuachane""

Yaani wanachomaanisha hawa wapuuzi, Braza aliyeoa asugue mbunye ya mchepuko, aimwagie mananiliuuuu halafu mchepuko ukimpata dronedrake ndio uachwe ukaolewe na braza Drone.

Kwamba braza wangu Drone aoa mbunye used and over spent..!!

Anyway; niko mbeya nanenane nimepata lodge karibu na gheto la teacher To yeye
Karibu sanaaa mrembo, baadae tukutane Bar ya Uswahilini ya Rombo Bar (Kabwe, along side njia ya Isanga karibu na soko la Makunguru) Tupate lites za kutosha na mchemsho..!!!

#YNWA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…