Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀😀😀😀Hawa uliwaita ndio walitumika sana?
Ehee wewe dada samahani sana usiingilie mahusiano ya watuephen_ huyu ndo kakufanya umkatae kaka angu?👺👺👺👺
Hakunaga siri,yaani mwanamke mhuni majirani humjua,hatakama atajificha vipi... bodaboda au madereva bajaji wa eneo husika,waweza pia kukupa info ambazo yawezekana hata yeye hajui kama wanajua.Na vipi akiwa ni muhuni chinichini wakazi wa eneo lake wasijue,
Utajua vp kua katumikia sana
Kaka yako anahela? Sio unalialia hapaIlooooooooooooooh🥴
Watatu ni wengi, ukimkuta hana bikira tu chukua tahadhari.Mwanamke akishakua na historia ya kuwa na mahusiano na wanaume zaidi ya watatu(kwa vipindi tofauti(, hiyo ni red flag 🚩 bro.
Usikimbilie kuoa, jaribu kuchunguza kidogo.
Ndio maana tunasisitiza vijana waoe mwanamke bikiraUtajua vip kama ashawai kua na mahusiano mengi huko nyuma?
Nakupigia nakupigia namalizia kulaaaNiko hapa Eve 😂😂😂😂
ephen_ nimemuagizia BMW X 6M, zero kilometer na number plate naandika jina lakeWe unadhani mchezo
Wenye ruhusa ya kuniita ni mashangazi tu 😎Ephen alikua anakuita😁
Hahaha........... Nashukuru Mhe. Marco Polo kuunga Mkono hoja yangu 🙏🙏Naunga mkono hoja na uzi uishie hapa
Yesu wako hata kuthomba hajui,mke atoke kwake!?USIHOFU HATA KAMA KATUMIKA LAKINI FAHAMU KUWA MKE MWEMA ANATOKA KWA BWANA YESU
AWE AMETUMIKA AU HAJATUMIKA
Ukilewa usichatephen_ mpenzi hii chuma ikifika bongo utaanza kutambua nayo nakuwa mtu wa kwanza kusukuma hii ndinga bongolandView attachment 3058627