Hahahaha! Na wewe wadogo wenzako walikuwa wanasoma we unakimbilia kuolewa. Ulikuwa unakimbilia nini kwenye kuolewa? Sore ofu topikiunajua niliolewa mdogo kwa kweli, na nilikuwa cna akili ya ziada ya kujua ndoa haswaa, nimeng'ang'ania nampenda kijana! nimeingia nikaanza na kashikashi za kifamilia(mara wifi, mara mama mkwe)...nilikomalia hapo, nilipambana/nitaendelea kupambana, cpo tayari kumpoteza kwa sababu zisizo na kichwa wala miguu.....sasa hivi nimepumua sana baada ya kumaliza hizo ghasia haaa!
Hahahaha! Na wewe wadogo wenzako walikuwa wanasoma we unakimbilia kuolewa. Ulikuwa unakimbilia nini kwenye kuolewa? Sore ofu topiki
yaaaaani endelea hivyo,MUNGU AKULINDE,siku ukaja iba,ukaonja wanaume wengine wakoje,.................ni BALAAAAAA hugeuki nyuma,watu kama nyie ni wazuri sana na ni ...............MWOMBE MUNGU SANA AKULINDE.niliolewa nikiwa 28 na mwanamme ana 31. na tulisubiri kwa mwaka na nusu mpaka kuoana. hatukufanya kwa sababu mimi niliamini ni dhambi na nilipohama kwetu kuishi nje ya nchi i was 19, mama yangu aliniusia nifanye yote lakini sio kitu hicho coz kitamfanya sad sana na atajutia kuniachia kuishi mwenyewe kama siwezi kujihifadhi.
so i needed to keep my promise to God and to her .......i guess
naweza kusema kitu kimoja ambacho kilisaidia ni kuwa huyo mwanamme tunajuana tokea ni watoto lakini urafiki hasa wa kufika kupendana tuliuanzia huko huko tulikokuwa tunaishi.
but nilikuwa siendi kumtembelea mjini kwake hata iweje................yeye ndio anakuja, na akifika afikie hoteli.
bila ya shaka yeye aliwahi kuwa na uhusiano na watu wengine, but mie ndo huyo huyo one and only .........
JADILI..
Hii ni mada inayojadiliwa Star TV.Mawazo yanayotolewa yanatisha..
Hahahaha! Na wewe wadogo wenzako walikuwa wanasoma we unakimbilia kuolewa. Ulikuwa unakimbilia nini kwenye kuolewa? Sore ofu topiki
G afu umenisuuza na hiyo post yako...........ulikuwa so so fresh best yangu dah!! hapo sina usemi tenabht ulikuwa na lunch ndefu au? ..............ndo arijojo hiyo tena!
Kuwahi nako kuna raha zake.Unaua ndege wawili kwa jiwe moja.na badae unajipumzikia wakati akina bht wanahangaika kutafuta kitchen party.
Hapa tunamjadili Woman Of Substance.wakuu,
leo mnajadili nini?
G afu umenisuuza na hiyo post yako...........ulikuwa so so fresh best yangu dah!! hapo sina usemi tena
aaah bana weee hata lunch sijapata nilienda kuapishwa mahakama kuu ujue leo wee acha tu..........fulu kujipangusa wikend hii lol!!!
bht mambo yako mazuri ............umeenda kupewa lile jokho jekundu! lazima lunch usiitake 😉
:biggrin1::biggrin1: Mammushka kuna haki yangu moja umeninyima hapo?:jaw::jaw:hapo hujanitendea haki hahaaaaaa lol!!!
nina aleji na hiyo kitu ulotaja Charity and u definately know that...........
kuwahi raha sana bana hasa ukipatia, Nyamayao my dearest hapo ulicheza kama pele
dah!Hapa tunamjadili Woman Of Substance.
Kamwaga sredi afu kasepa. Kila mtu anaota uzoefu wake. Hatujui kama tuko ofu topiki au laa.
ha ha ha ha ha!NDOA samtaimu ni MAJARIBU , kama wiki 5 zilopita kuna mdada wa hafu kasti alikuja kumtembelea waifu, haki ya nani nilitokwa na jasho mpaka waifu akanishtukizia.
eee muumba ilinde ndoa ya klorokwini (tusemeni amen)
NDOA samtaimu ni MAJARIBU , kama wiki 5 zilopita kuna mdada wa hafu kasti alikuja kumtembelea waifu, haki ya nani nilitokwa na jasho mpaka waifu akanishtukizia.
eee muumba ilinde ndoa ya klorokwini (tusemeni amen)
Hahahaha! Naona umepona sasa?NDOA samtaimu ni MAJARIBU , kama wiki 5 zilopita kuna mdada wa hafu kasti alikuja kumtembelea waifu, haki ya nani nilitokwa na jasho mpaka waifu akanishtukizia.
eee muumba ilinde ndoa ya klorokwini (tusemeni amen)
hapo hujanitendea haki hahaaaaaa lol!!!
nina aleji na hiyo kitu ulotaja Charity and u definately know that...........
kuwahi raha sana bana hasa ukipatia, Nyamayao my dearest hapo ulicheza kama pele