Restless Hustler
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 5,150
- 20,025
Habari za muda huu!
Kufuatia uzi wa tycoon wa fasihi ndugu ROBERT HERIEL alioeleza sababu za watu wengine kuishi umri mrefu na wengine umri mfupi, kuna nukta alieleza kwamba tunapaswa kuwaheshimu wazazi hata kama mameshakufa! Na akaeleza kwamba tutawaheshimu kwa kutembelea makazi yao( makaburini) na kusafisha kila mara.
Nimeona nichukue nukta hiyo na kuuanzishia uzi ili sote tujadili kwa upana zaidi ili kama ni kweli kuna umuhimu huo, wote tuujue.
Je, ni kweli kwamba tusipoenda kuyasafisha makaburi ya wazazi na mababu tutapata laana au mikosi kwenye kazi zetu ?!
Karibuni
Kufuatia uzi wa tycoon wa fasihi ndugu ROBERT HERIEL alioeleza sababu za watu wengine kuishi umri mrefu na wengine umri mfupi, kuna nukta alieleza kwamba tunapaswa kuwaheshimu wazazi hata kama mameshakufa! Na akaeleza kwamba tutawaheshimu kwa kutembelea makazi yao( makaburini) na kusafisha kila mara.
Nimeona nichukue nukta hiyo na kuuanzishia uzi ili sote tujadili kwa upana zaidi ili kama ni kweli kuna umuhimu huo, wote tuujue.
Je, ni kweli kwamba tusipoenda kuyasafisha makaburi ya wazazi na mababu tutapata laana au mikosi kwenye kazi zetu ?!
Karibuni