Maswali mengine yanajibika kwa swaliSa mbona hujajibu hoja?
Tatizo sio unajisikiaje. Je kuna laana yoyote utapata?Maswali mengine yanajibika kwa swali
Ni imani tu.Tatizo sio unajisikiaje. Je kuna laana yoyote utapata?
Naomba andiko moja la biblia linalosema
Wakenya wametupita katika kujibu hoja. Huwezi kumkuta Mkenya anajibu hoja bila kujua kiini cha swali na viambata vyake. Sisi wabongo tunajibujibu tuTatizo sio unajisikiaje. Je kuna laana yoyote utapata?
Ni bora leo umejibu kiutuuzima! Mara nyingi majibu yako kwa kila uzi niSiyo kweli...
Hakika...Ni bora leo umejibu kiutuuzima! Mara nyingi majibu yako kwa kila uzi ni
1. Ngoja waje wakupe muongozo
2. Tatizo binaadamu wa sikuhizi ni wabishi sana😅😅😅
Sio kusafisha tu, hata kuyajengea vizuri ili yasifutike, sio kaburi linaachwa utafikiri alizikwa mbwa , kumbe ni binadamu tena mwenye ndugu wa damu waliohai, tena watoto wake wa kuzaaHabari za muda huu!
Kufuatia uzi wa tycoon wa fasihi ndugu ROBERT HERIEL alioeleza sababu za watu wengine kuishi umri mrefu na wengine umri mfupi, kuna nukta alieleza kwamba tunapaswa kuwaheshimu wazazi hata kama mameshakufa! Na akaeleza kwamba tutawaheshimu kwa kutembelea makazi yao( makaburini) na kusafisha kila mara.
Nimeona nichukue nukta hiyo na kuuanzishia uzi ili sote tujadili kwa upana zaidi ili kama ni kweli kuna umuhimu huo, wote tuujue.
Je, ni kweli kwamba tusipoenda kuyasafisha makaburi ya wazazi na mababu tutapata laana au mikosi kwenye kazi zetu ?!
Karibuni
Ndicho wakoloni wa kizungu na kiarabu walichofanikiwa, tuchukie kila kilichokuwa chetu na kukubali kila kilichokuwa chao, daa, wametuweza kweli hawa mbwaMtu atakayesema kusafisha makaburi kunasaidia katika kufanikiwa maishani,
Basi inapaswa aukane ukristo wake au uislamu wake.
Kwa mujibu wa mafundisho yao, Mungu pekee ndiye msaada katika maisha.
Sasa akisema kusafisha makaburi kunasaidia maishani, tayari huyo mtu atakuwa amekubali "Mizimu" inasaidia katika maisha kama vile tu Mungu afanyavyo.
Mimi binafsi siamini katika yote hayo!
Kujisikia vibaya ni aina moja wapo ya laana, coz why ujisikie vibaya?Tatizo sio unajisikiaje. Je kuna laana yoyote utapata?
Hizi dini za kuletewa zisitufanye tukasahau asili yetu.Mtu atakayesema kusafisha makaburi kunasaidia katika kufanikiwa maishani,
Basi inapaswa aukane ukristo wake au uislamu wake.
Kwa mujibu wa mafundisho yao, Mungu pekee ndiye msaada katika maisha.
Sasa akisema kusafisha makaburi kunasaidia maishani, tayari huyo mtu atakuwa amekubali "Mizimu" inasaidia katika maisha kama vile tu Mungu afanyavyo.
Mimi binafsi siamini katika yote hayo!
Ukiumwa kichwa ni laana?Kujisikia vibaya ni aina moja wapo ya laana, coz why ujisikie vibaya?