Jephta2003
JF-Expert Member
- Feb 27, 2008
- 6,590
- 6,355
Acha basi hizo,mbona vietnam na Taliban wamechemsha,kua na vifaa vya kisasa sio tija,tija ni weredi,ndio maana vijana wa Gadhafi tuliwatwanga vizuri sana vita vya kagera mbali ya kua wao walikua na dhana za kisasaMarekani ipo field mda wote, wenzako kila sku wapo practical, wanafanya mistake wanajifunza magumu wanayopitia namna ya kuyakabili siku nyingine, hakuna nchi yenye jeshi imara kama marekani mpak sasa tusidanganyane hata kidog.....wengine ni wakimbiza upepo tuu....Ni kichekesho kulinganisha mjeda wa Tz mwenye kitambi na copro wa US, nchi ya kwanza kiuchumi vs nchi ya mwisho kiuchumi how comes
Daah tusijidharau sana kiasi hichoWakuu, Kuna mjadala ulikua unaendelea mahali huku mtaani, tulikua tunajadili kuhusu ubora wa majeshi ulimwenguni. Jamaa mmoja ambae ni mstaafu wa jwtz akasema kwamba kwa experience yake ya kukaa jeshini karibu miaka 30,anaona private wa jeshi la marekani ni bora kuliko Generali wa jwtz, sababu alizozitoa ni kwamba private wa USA army yeye kwa mwaka anaweza akawa deployed kwenye war zone hata mara tatu, but huku Tanzania Mtu anafikia level ya ujenerali akiwa hata hajawahi kukanyaga war zone yoyote wala kupiganisha vita yoyote.
Je Kuna ukweli hapo wakuu?
Ulitaka nilete story za family yako ndo tuzijadili?
hivi Tanzania kuna jeshi au kichekesho?
maluten wao kazi yao ni kushinda chini miembe wanapiga story za madem na pombe tu.bora hata police wa Tanzania kazi yao inaonekana
Umeandika ujinga: kwanini nasema hivyo! Ni kwasababu unachokiongea hukijui, nikwasababu hauna evidences za kutosha, na watu kama nyie ndo mnaliuza taifa kwa kutojikibali, hiviii unafikiri kila kifanyikacho mpaka uwe na taarifa!
Kwenye proffession yoyte mbobeaji lazima awe na secrecy and confidentiality sasa mi sielewi unapo anza kubwabwajatu, sasa kukaa kwenye jua kali ndo kua strong au!
Alaf we kijana, jitahidi basi ujue kua tupo karne21 basii kwenye ilimwengu wa technolojia, sio kipindi cha classical au dark ages ambako watumia nguvu walikua wakipatikana kwa wingi, sahivi ni ulimwengu wa technolojia na akili na ndio maana zipo technology mbalimbali kwenye majeshi mengi hapa duniani,, nahayo huyajuitu bado!!!
Jeshi la nchi hii unahisi limegawanyika kwenye nyanja ngapi kwanza??
Kwanza we hata kambini unapajua wewe??
Laiti kama jeshi la nchi hii lisingekua imara hakika lisingekua likiaminika kwenye umoja wa mataifa.
Alaf kule ni vitengo, sio kilamtu ni mpiganaji, so kitu kama hujui tuliza mshono.
Inaonekana huna exposure ya wanajeshi wewe, sasa hebu sikumoja jitahidi hata kidogo unye kwenye mazingira ya kambi, Au andamana uone kama tz kuna jeshi au hakuna.
Kafulie ma blanketi yako mkuu.Povuu
Kafulie ma blanketi yako mkuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hakunaga mtanzania namba moja mkuu, kwahyo hayo maswala tuyaachetu, kikubwa ni kwamba nawe pia ni mlinzi wa nchi hii.Sawa mlinzi Wa taifa
Hzo zote ni war of choice, yaan hakukuwa na ulazima wa kwenda vitani , kuanzia wananchi na hata baadh ya makamanda hawakuridhia nchi yao iingie vitani, kulikuwa na mgawanyiko, na ndo mana hata sasa kuna shinikizo kubwa nchi irudishe wanajeshi nyumban , mana wanachokipigania hakieleweki zaidi ya kuzionea hzo nchi, hata hvyo ukiangalia victim utaona vietnam na taleban ndo walioumia zaid, hakuna alipochemsha, nenda kwenye nchi yake ukampige alafu nchi nzima itangaze kuwa tunakiamsha ndo utawajua vizur, kila kiwanda Kule huwa kinageuzwa kuendana na mahitaji ya vita, achana nao kabisa hawa watu....Acha basi hizo,mbona vietnam na Taliban wamechemsha,kua na vifaa vya kisasa sio tija,tija ni weredi,ndio maana vijana wa Gadhafi tuliwatwanga vizuri sana vita vya kagera mbali ya kua wao walikua na dhana za kisasa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hakunaga mtanzania namba moja mkuu, kwahyo hayo maswala tuyaachetu, kikubwa ni kwamba nawe pia ni mlinzi wa nchi hii.
Acha tu mkuu inasikitisha sana kuwa na jeshi linaloconsume tu wala halizalishi chochote,Wabunge/Serikali ifanye Reform katika jeshi letu liwe productive,hata usa wapo imara kwa ulinzi/security lakini jeshi lao linazalisha.mkuu..nilishangaa siku nimeenda pale lugalo naona lutens wamekaa chini ya miti wanapiga soga za madem.nkajiuliza hawa kweli nao ni wanajeshi!
Upumbavuhivi Tanzania kuna jeshi au kichekesho?
maluten wao kazi yao ni kushinda chini miembe wanapiga story za madem na pombe tu.bora hata police wa Tanzania kazi yao inaonekana
Wakuu, Kuna mjadala ulikua unaendelea mahali huku mtaani, tulikua tunajadili kuhusu ubora wa majeshi ulimwenguni. Jamaa mmoja ambae ni mstaafu wa jwtz akasema kwamba kwa experience yake ya kukaa jeshini karibu miaka 30,anaona private wa jeshi la marekani ni bora kuliko Generali wa jwtz, sababu alizozitoa ni kwamba private wa USA army yeye kwa mwaka anaweza akawa deployed kwenye war zone hata mara tatu, but huku Tanzania Mtu anafikia level ya ujenerali akiwa hata hajawahi kukanyaga war zone yoyote wala kupiganisha vita yoyote.
Je Kuna ukweli hapo wakuu?
Hiv unajua mission za nje zilianzia wapi? Na kwenye utawala gani na Nani aliesababisha hzo mission za nje majeshi yetu yaende?Umeandika ujinga: kwanini nasema hivyo! Ni kwasababu unachokiongea hukijui, nikwasababu hauna evidences za kutosha, na watu kama nyie ndo mnaliuza taifa kwa kutojikibali, hiviii unafikiri kila kifanyikacho mpaka uwe na taarifa!
Kwenye proffession yoyte mbobeaji lazima awe na secrecy and confidentiality sasa mi sielewi unapo anza kubwabwajatu, sasa kukaa kwenye jua kali ndo kua strong au!
Alaf we kijana, jitahidi basi ujue kua tupo karne21 basii kwenye ilimwengu wa technolojia, sio kipindi cha classical au dark ages ambako watumia nguvu walikua wakipatikana kwa wingi, sahivi ni ulimwengu wa technolojia na akili na ndio maana zipo technology mbalimbali kwenye majeshi mengi hapa duniani,, nahayo huyajuitu bado!!!
Jeshi la nchi hii unahisi limegawanyika kwenye nyanja ngapi kwanza??
Kwanza we hata kambini unapajua wewe??
Laiti kama jeshi la nchi hii lisingekua imara hakika lisingekua likiaminika kwenye umoja wa mataifa.
Alaf kule ni vitengo, sio kilamtu ni mpiganaji, so kitu kama hujui tuliza mshono.
Inaonekana huna exposure ya wanajeshi wewe, sasa hebu sikumoja jitahidi hata kidogo unye kwenye mazingira ya kambi, Au andamana uone kama tz kuna jeshi au hakuna.
Kenya wenzenu walikua hvi hvi kulikandia jeshi magaidi walipoingia (waste gate ) walikimbilia kwa wanajeshi omben tu aman iendelee kudumu mzidi kuvikandia vyombo vya usalama ila cku kikija kunuka ndo mtaelewa umuhimu na umaili wa vyombo vyetu vya usalamaMkuu police wapo vzuri maana wao 24/7 wapo field tena hadharani