Ni kweli kwamba Profesa Janabi hajawahi kusomea wala kuwa Daktari Bingwa wa Moyo?

Huyo Nina hakika hajawai hata kusomea nje ya nchi.
 
Wacha samia aaozee yeye ndio anaetwe majina na akuyapitisha bila kuangalia vzr
 
Nilikua namjibu huyo jamaa ako huyo aliesema Janabi ataiabisha Tanzania WHO yeye ndo kilaza
 
Fellowship ya moyo sio specialization acha kudakia vitu hujui.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…