Utaratibu wa CRDB wa mteja kusubiri hadi mshahara upitie benk yao ndio apate Loan ni utaratibu wa hovyo sanKwa we unahis ela yao wataipataje kutoka kwako?
Sio zoteBank zote ndo ivo mzee
Wameweka utaratibu wa mshahara kupitia kwanza kwenye akaunti yao ya CRDB ndipo mteja apate Loan. Ni fedheha na udikteta huoHapana CRDB mbona hawana sharti hilo... Sio lazima mshahara upitie kwao ndio ukope
Mabenki yanakopesha, mdhamana wako ni nani au dhamana ni mali gani.Huo ni udikteta uchwara, sasa kila benk ikifanya hivyo hali itakuwaje? Bure kabisa
Kwa mabenk mengine ambayo mshahara haupitii kwao, hakuna mashart mapya bali ni utaratibu ule ule wa kudhaminiwa na mkurugenzi wakoMabenki yanakopesha, mdhamana wako ni nani au dhamana ni mali gani.
Hebu tupeni uzoefu kwenye banki zingine zinafanyaje kwa mtumishi ambae mshahara aupitii kwao.
Zamani walikuwa wanatishia tu lkn April na May 2022 wamekaza hutaki acha kuchukua loanSio siku hizi tu, hii ni kitambo tu na ni kwa benki zote kama mkopo ni kupitia mshahara.
Sio kweli mkuu.Sio kweli nini sasa?!Benki gani hiyo ambayo inafanya hivyo? Kama unakopa kupitia mshahara lazima mshahara upitie benki husika.
Sio kweliHakuna bank itakupa mkopo kama mshahara haupiti kwao
Hii ni sahih kabisa [emoji106]Mbona account yangu ya mshahara ni Nmb ila mahali ninapofanyia kazi tunakopa Bank yoyote ile? Na mimi nina mkopo crdb na mshahara haupitii huko?
Sio kweliSijawahi ona benki ambayo chanzo kikuu cha marejesho ya mkopo ni mshahara alafu wakakubali kutoa mkopo ili hali mshahara wako uko benki A, alafu watarajie wewe ukichukiwa mshahara ndo upeleke marejesho kwao, kwa hela ipi? hii mishahara ya wafanyakazi wa TZ ambao kabla ya kupokea mshahara ulishatumika akilini na kukopa tena. Ni lazima mshahara upitie kwao wachukuwe cha kwao kwanza alafu kinachobaki ndo ukapambane na hali yako
Sio zote
Sio kweli.Hili suala nimelisikia sehemu ndugu zangu wanajamii forum kwa mnaojua ukweli wa suala hili Basi mtujuze tusiojua vizuri.
Nimeenda kutaka kuchukua mkopo Wa milioni 10 kwa miaka 2 wakaniambia mkononi nitapata milioni 9 na laki 3+ nimeshangaa sana nikauliza mchanganuo ukoje jamaa akaniandikia hivi;CRDB wajinga sana kwanza mkopo wako unachukua muda mrefu sana utapitia hadi kwa mwanasheria...
CRDB ktk mkopo watakao kupa wanakata Processing Fee kubwa sana...
Mfano NMB wakikupa mkopo wa 1m basi watakata laki 1 wakat CRDB watakukata laki 2. Pia kama NMB watakupa laki9 basi CRDB watakupa laki7.8 japo makato ya kila mwezi yatafanana kwa wote ktk kipindi chote cha mkopo...
Linawezekana mkuu watumishi wanakopa benk moja na mshahara unapitia benk nyingine. Marejesho ya mkopo yanakatwa automatically kutoka kwenye mshahara wako kwenda benk uliyokopa.Sijawahi ona benki ambayo chanzo kikuu cha marejesho ya mkopo ni mshahara alafu wakakubali kutoa mkopo ili hali mshahara wako uko benki A, alafu watarajie wewe ukichukiwa mshahara ndo upeleke marejesho kwao, kwa hela ipi? hii mishahara ya wafanyakazi wa TZ ambao kabla ya kupokea mshahara ulishatumika akilini na kukopa tena. Ni lazima mshahara upitie kwao wachukuwe cha kwao kwanza alafu kinachobaki ndo ukapambane na hali yako
Nimeenda kutaka kuchukua mkopo Wa milioni 10 kwa miaka 2 wakaniambia mkononi nitapata milioni 9 na laki 3+ nimeshangaa sana nikauliza mchanganuo ukoje jamaa akaniandikia hivi;
1. Gharama 184000
2. Insurance laki na 60+
3. CRDB 340785.077 sasa kwa ninyi wazoefu Wa huko Crdb hicho kipengele cha 3 ni nini hiyo? Mana nilinaribu kumuuliza jamaa akaniambia ndio calculation ilivyo kwa kiwango ninachotaka kuchukua. Msaada tafadhali! Mana nafanya mpango kesho niwacheki ili ni cancel huo mkopo Mana nahisi kuibiwa
Lakini watu wengine mna dharau sana! Yaani wakupe mkopo halafu uwe unawapelekea mrejesho kwa cash baada ya kutoa benki B? Wacha dharau bro! Sasa kwa nini usichukue mkopo huko huko unakopitishia mshahara wako?Hili suala nimelisikia sehemu ndugu zangu wanajamii forum kwa mnaojua ukweli wa suala hili Basi mtujuze tusiojua vizuri.