mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,586
- 11,227
Unataka kuuza mshahara?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wanaofanya KAZI serikalini mikopo huwa inakatwa moja Kwa moja toka hazina na kwenda kwenye Benki uliyokopea na huwa inaonyeshwa kwenye salary slip.Lakini watu wengine mna dharau sana! Yaani wakupe mkopo halafu uwe unawapelekea mrejesho kwa cash baada ya kutoa benki B? Wacha dharau bro! Sasa kwa nini usichukue mkopo huko huko unakopitishia mshahara wako?