Judi wa Kishua
JF-Expert Member
- Apr 15, 2012
- 1,159
- 1,274
- Thread starter
- #21
Bawacha ni wing ya kina mama, Lissu anatakiwa asikilize wanachohitaji asiwapelekeshe chama kitamshinda.Sidhani kamq ni kweli, nafikiri wamepishana tu mikakati ya namna BAWACHA inavyotakiwa kuwa