Pre GE2025 Ni kweli Lissu anataka kumng'oa mwenyekiti wa BAWACHA Taifa?

Pre GE2025 Ni kweli Lissu anataka kumng'oa mwenyekiti wa BAWACHA Taifa?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Anaandika Ngurumo kwenye X.

Nimepigiwa simu na BAWACHA waliomtembelea M/kiti @TunduALissu jana. Ujumbe: "Tulienda kwa upendo, lakini tumeondoka na hisia za visasi. Uongozi mpya haumtaki Sharifa, eti hafai. Tayari njama za kumng'oa zimeanza. Soon, wataanza kampeni hiyo mikoani. Hii si haki!" Kaeni chonjo!

Kama kweli Lissu anataka kufanya haya ataua hiki chama.
Lissu na ule mtumbo wake anafaa kwa lipi?
 
Kwa demokrasia ya kiafrika kama kwenye kampeni na harakati ulikuwa katika upande ulioshindwa, ni ngumu kuendana na upande uliokuwa unaupinga ingawa ulishinda. Busara ndogo tu ni kuamua kujitoa. Pia busara kubwa zaidi ni kuzika tofauti za kampeni baada ya uchaguzi ili mambo yaende sawa
50% ya wanachama awakumuunga mkono Lissu. Atafukuza wote awa?
 
Hayo maneno ya Ngurumo unayahakiki vipi?
Mjamaa alikuwa na chuki kubwa sana na Lissu mara tu baada ya Lissu kutangaza anawania uwenyekiti wa chama.

Sasa maneno kama haya kutoka kwa mtu mwenye chuki za wazi wazi na Lisuu yanawachanganyaje?
 
Team lisu hatuna presha.team fisadi kubali asali imeisha zoea kujitegemea sio kuishi kama kunguni.
 
Team lisu hatuna presha.team fisadi kubali asali imeisha zoea kujitegemea sio kuishi kama kunguni.
We Mzee wasira umri umesonga, achia vijana wafanye kazi.... kazi na umri.
 
Narudia tena, ni suala la muda tu kabla ya mshamba flani hajatema au kutemeshwa bungo!!!
 
Mwenyekiti wa chama lazima azungukwe na watu alio comfortable kufanya nao kazi katika ngazi zote.
 
Mwenyekiti wa chama lazima azungukwe na watu alio comfortable kufanya nao kazi katika ngazi zote.
hata kama hawakuchaguliwa? Ni sawa na serikali ya kidikteta inaposema haitaki kuungukwa na wapinzani
 
Anaandika Ngurumo kwenye X.

Nimepigiwa simu na BAWACHA waliomtembelea M/kiti @TunduALissu jana. Ujumbe: "Tulienda kwa upendo, lakini tumeondoka na hisia za visasi. Uongozi mpya haumtaki Sharifa, eti hafai. Tayari njama za kumng'oa zimeanza. Soon, wataanza kampeni hiyo mikoani. Hii si haki!" Kaeni chonjo!

Kama kweli Lissu anataka kufanya haya ataua hiki chama.
Huu ni umbea wa like tu kwani katiba inaweka wazi namna ambavyo viongozi wanatolewa.
 
Anaandika Ngurumo kwenye X.

Nimepigiwa simu na BAWACHA waliomtembelea M/kiti @TunduALissu jana. Ujumbe: "Tulienda kwa upendo, lakini tumeondoka na hisia za visasi. Uongozi mpya haumtaki Sharifa, eti hafai. Tayari njama za kumng'oa zimeanza. Soon, wataanza kampeni hiyo mikoani. Hii si haki!" Kaeni chonjo!

Kama kweli Lissu anataka kufanya haya ataua hiki chama.
Huyo Ngurumo ni team Mbowe, bado ana vidonda, hawezi kumuongelea vizuri Lisu.
 
Back
Top Bottom