antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Dogo, huna hoja hata moja. Ni udini tuHata mbowe mkiristo. Simshambulii lissu, najenga hoja udhaifu wa lissu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dogo, huna hoja hata moja. Ni udini tuHata mbowe mkiristo. Simshambulii lissu, najenga hoja udhaifu wa lissu
Wapi nimekanusha?Kwa hiyo wewe unakanusha meseji y Ansbert kwa misingi hipi?
Ngurumo ni team Mbowe na mchumia tumbpHayo maneno ya Ngurumo unayahakiki vipi?
Mpaka hapo tu mtu anayetaka kuwa objective atafute ukweli atakuwa kashaona umuhimu wa kuhakiki habari kabla ya kuzikubali.Ngurumo ni team Mbowe na mchumia tumbp
Huko mlipo kwanini hamtaki demokrasia? Anzeni kwenu kwanzaChadema ni chama cha kidemokrasia na utaratibu wa kubadilishana uongozi unafahamika.
Kwa demokrasia ya kiafrika kama kwenye kampeni na harakati ulikuwa katika upande ulioshindwa, ni ngumu kuendana na upande uliokuwa unaupinga ingawa ulishinda. Busara ndogo tu ni kuamua kujitoa. Pia busara kubwa zaidi ni kuzika tofauti za kampeni baada ya uchaguzi ili mambo yaende sawaAnaandika Ngurumo kwenye X.
Nimepigiwa simu na BAWACHA waliomtembelea M/kiti @TunduALissu jana. Ujumbe: "Tulienda kwa upendo, lakini tumeondoka na hisia za visasi. Uongozi mpya haumtaki Sharifa, eti hafai. Tayari njama za kumng'oa zimeanza. Soon, wataanza kampeni hiyo mikoani. Hii si haki!" Kaeni chonjo!
Kama kweli Lissu anataka kufanya haya ataua hiki chama.
Nililijua hili wakati wa kampeniMpaka hapo tu mtu anayetaka kuwa objective atafute ukweli atakuwa kashaona umuhimu wa kuhakiki habari kabla ya kuzikubali.
Mimi hata sikujua Ngurumo ni Team Mbowe, lakini nilijua umuhimu wa kuhakiki habari.
Kama ana uwezo mdogo atolewe tuu
Nililijua hili wakati wa kampeniMpaka hapo tu mtu anayetaka kuwa objective atafute ukweli atakuwa kashaona umuhimu wa kuhakiki habari kabla ya kuzikubali.
Mimi hata sikujua Ngurumo ni Team Mbowe, lakini nilijua umuhimu wa kuhakiki habari.
PumbAav kabisa yaani shida zote ndani ya nchi hii huzioni unatafuta makosa ya Lissu? Sasa usiyemtaka kaja jipangeHata mbowe mkiristo. Simshambulii lissu, najenga hoja udhaifu wa lissu
Pole kwa maumivu mkuu. Yote juu ya yote Lissu ndiye mwenyekiti kwa sasa. Msipo ukubali ukweli huu mtateseka bila sababu ya maana.Nasikia Pambalu anachukua nafasi yake
Hawa nyumbu bana
Lissu kaja, nimejipanga na chawa wake kama wewe nitakujibu kwa hojaPumbAav kabisa yaani shida zote ndani ya nchi hii huzioni unatafuta makosa ya Lissu? Sasa usiyemtaka kaja jipange
Akiona hijab ya sharifa roho inamuumaKwa hiyo waliomchagua walikuwa wamelewa viroba? Mwenyekiti anasifa zote za dikteta.
Sharifa ataondoka, na Chama kinasonga mbele.Anaandika Ngurumo kwenye X.
Nimepigiwa simu na BAWACHA waliomtembelea M/kiti @TunduALissu jana. Ujumbe: "Tulienda kwa upendo, lakini tumeondoka na hisia za visasi. Uongozi mpya haumtaki Sharifa, eti hafai. Tayari njama za kumng'oa zimeanza. Soon, wataanza kampeni hiyo mikoani. Hii si haki!" Kaeni chonjo!
Kama kweli Lissu anataka kufanya haya ataua hiki chama.
Sema kwa sababu ni muislamu, lissu mgombea wake alikua Cristina simbaSharifa ataondoka, na Chama kinasonga mbele.
Yaan tunataka watu wenye Damu ya Lissu.
Sharifa atakua anatoa Siri .
Ndio nashangaa, yaani Sharifa mwenyewe hajasema ila mtu aliye uhamishoni ndio anakuwa source? Ajabu sanaHayo maneno ya Ngurumo unayahakiki vipi?
Hamna mgombea wa BAWACHA ana jina hili acha kupotosha.Cristina simba
Umekanusha na kusema kwamba hii habari sio ya uhakika.Wapi nimekanusha?
Sijakanusha kauli. Nimesema kauli haijahakikiwa.
Unaelewa tofauti?