Ni kweli majeshi ya NATO yako Ukraine na Silaha za NATO zinatumika Ukraine?

Si mnadai kuwa NATO anawapa Ukraine silaha zake. Tutajieni basi ni silaha zipi?
 
Kama ni marks mwalimu angekupa negative 100 (-100%) maama kukupa zero (0%) angekupendelea sana.

1. Inaelekea hujui kuwa NATO ni entity na ina mkuu wake na hierarchy ya NATO huijui
2. Inaelekea hujui namna gani NATO ina operate.

3. Inaelekea hujui tofauti ya NATO na German or USA.

4. Inaelekea hujui wajibu wa nchi wanachama kwa NATO.

Kama kitu hukijui bora ukae kimya kuliko kijiaibisha kwa kujifanya much know ili hali hujui kitu.
 
Mkuu una moyo, hongera ila huyu ilikuwa asijibiwe anatujaribu tu, uzi kma hiu ungeletewa mwezi wa 3 mwaka jana siyo saa hizi ambapo misaada kwa Ukrain na vikao na matamko kwa nchi wafadhili havijawa siri tena.
Unajua,sometimes I think,labda mtu ni mjinga tu and new to JF ambaye anahitaji elimu, so kama nimeshajibu mtu kitu hicho hicho,I copy and paste,modify slightly to fit his/her question than namtumia.Sio mbaya,kama ananijaribu to hell with him.
 
Unalipwa bei gani mkuu,,!?

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Mkuu kwa bahati mbaya hutapata majibu. Watakuja na viroja sio hoja wengi ni wapiga kelele tu humu.
Ni watupu lakini wanakuja kujianika kutujulisha level yao ya uelewa. Uzi umewazidi kimo ndo maana wanapiga porojo tu.
 
Ama kweli kazi ipo. Kujifanya unajua wakati hujui ni kujiaibisha mbele za kadamnasi. Mtu anayejua NATO Arsenals atakuwa amekudharau sana.

Kwa kukusaidia tu ni kwamba F-16s is no longer NATO Arsenal. NATO inatumia F-35 series. Kulikuwa na version nyingi kabla ya F-35s e.g. F-35, F-35A ..... F-35C. Pengine hujui hata series zingine ambazo baada ya F-16s NATO alizitumia kabla ya F-35 series.

Kiufupi NATO haitumii F-16s,

Ushauri. Jaribu kuficha ujinga wako mbele ya kadamnasi
 
Safi.Asije akatuambukiza umirembe.
 
Pumbavu ktk ubora wako. Na ongera sana kwa kujua silaha za kivita kuliko wabongo wote
Unazidi kututhibitishia level ya upumbavu na ujinga ulio nao. Huu uzi siyo size yako. Siyo uzi wa kuvamiwa na mapoyoyo kama wewe.
 
Mkuu una moyo, hongera ila huyu ilikuwa asijibiwe anatujaribu tu, uzi kma hiu ungeletewa mwezi wa 3 mwaka jana siyo saa hizi ambapo misaada kwa Ukrain na vikao na matamko kwa nchi wafadhili havijawa siri tena.
Kwa kuwa unaelewa vizuri jibu sasa maswali yangu.
 
Kwa pointi hii napenda kutoa wito kwa waheshimiwa Mod's watukufu wa jf kuufunga huu mjadala unaodhalilisha maana ya fikra pevu.
 
HIMARS
Challenger 2 tanks, Leopard tanks, Abram tanks...
1. Challenger II series ipi. Na je hiyo series bado ni NATO Arsenal?

2. Leopard tank series ipi?. Na je ni series ambayo inatumiwa na NATO au iko among the NATO arsenals

3. Abram tank. Series ipi na je ni NATO arsenal

Hebu tupe facts ili pro Russia wajifunze. Ukinipa majibu sahihi nitakupa darasa zaidi.
 
We jamaa utakuwa muha kwa maana umeambiwa Ukraine amepokea msaada wa vifaru kutoka nchi wanachama wa NATO,, vifaru vyenyewe ni Leopard 2, challenge 2, na abraham,, lkn wewe unataka utajiwe series,, sasa wasiwasi wangu ukitajiwa series utataka utajiwe mpaka dereva
 
Unajua,sometimes I think,labda mtu ni mjinga tu and new to JF ambaye anahitaji elimu, so kama nimeshajibu mtu kitu hicho hicho,I copy and paste,modify slightly to fit his/her question than namtumia.Sio mbaya,kama ananijaribu to hell with him.
Wanaojua wanakuona "Your too low to respond to this thread."

Na wasiojua wanakuona bonge la mtu unayejua mambo kumbe hujui kabisa.

Ushauri wangu usikurupuke kujibu kitu usichokijua. Unajidhalilisha kwa wanaojua.
 
Hizo Abram na leopard tanks zipo kizazi cha 4 ambazo ndio zinatumika na nato.

ila hata hizo kizazi cha pili walizopewa Ukraine bado zipo ndio maana wamezitoa na spare parts zake wanazo.

T14 Armata
 
Waliotoa hizo Leopard na challenger wamezitaja hizo series siyo kitu cha siri. Tunaojua NATO Arsenals they are not among of them.

German & USA hawajawa na kiwango cha ujinga kiasi hicho cha kutoa silaha zenye technology ambayo NATO wanatumia. Ndiyo maana Putin anaiogopa sana NATO sababu anajua walicho nacho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…