Ni kweli majeshi ya NATO yako Ukraine na Silaha za NATO zinatumika Ukraine?

Ni kweli majeshi ya NATO yako Ukraine na Silaha za NATO zinatumika Ukraine?

Huyo ni mweupe amekariri majina ya silaha, nimemwambia nato ni treaty, nchi inapo declare war na nato member wenzie watakuja kumpa nguvu na silaha watakazotumia ni hizo hizo tanks na silaha nyingine zinzokwenda Ukraine, alivyo juha amekomaa eti nato wao wanatumia f35 series na modern arsenals kwamba za zamani hawatumii😂, NATO haina silaha wenye silaha ni nchi wanachama, NATO ni treaty organization tu, mleta mada haijui NATO.
Ama kweli. Bora ukose pesa kuliko kukosa maarifa.
Hii ni aibu ya karne. Tumewashauri kila mara kuwa ficheni ujinga wenu. Mnajidhalilisha kabisa
 
Wewe huna ujualo., Libya unalinganishaje na kuvamiwa russia., US wanaangalia kumdhoofisha russia kiuchumi zaidi bila ya kutokea vita ya 3 ya dunia na sasa tayari hali inaelekea huko
Hili taifa litaparaganyika.
 
Back
Top Bottom