Ni kweli majeshi ya NATO yako Ukraine na Silaha za NATO zinatumika Ukraine?

Ni kweli majeshi ya NATO yako Ukraine na Silaha za NATO zinatumika Ukraine?

T-14 Armata ikikamilika kabla ya 2025 nitajiita mjinga. Hawana uwezo huo tangu 2015 wanatuonyesha kwenye parade kasoro mwaka huu. Kwanza inaweza ikawa cancelled kwani silaha ngapi zinapigwa chini na zinafufuka miaka mingi baadae.
Ila Kuna kipindi iliripotiwa zimetumika kwenye offensive kwenye baadhi ya maeneo ya mashariki, sio kwamba hazipo kabisa ila zipo chache tu.

Ila zile SU-57 hazijaonekana kabisa angani toka huu mzozo ushamiri, hizi zingetumika na zile SU's generation kwenye SEAD huenda tungekuwa tunaongea mengine sasa.
 
Hadi leo hakuna mwanachama wa NATO aliyeshambuliwa ila Russia anashambuliwa ndani ya mipaka yake
 
Sawa,
1. kama wanajua kila kitu mbona walishindwa kiuteka Kiev na wakafurushwa.

2. Kama wanajua kila kitu mbona hawajateketeza HIMARS hata moja.

3. Kama wanajua kila kitu mbona wameshindwa kuteketeza IRIS-T, NASAMS na Patriot?

4. Kama wanajua kila kitu nini kimewashinda kuiteka Ukraine yote?
Marekani alitumia Siku 14 tu kuharibu miundombinu yote ya anga Baghdad ( Baghdad ndo ilikuwa na ulinzi wa anga mwingi kuliko sehemu yoyote duniani kwa wakati ule)
Huyu hata kuteka airport alishindwa
 
Pamoja na ubishi wako usio na maana,soma hii,👇labda utaokota kitu,maana si ulisema NATO hawatumii F-16s?

Poland won’t supply F-16s to Ukraine – PM​

Mateusz Morawiecki has admitted he doesn’t have the fighter jets to spare
Poland won’t supply F-16s to Ukraine – PM

FILE PHOTO: A F 16 fighter jet takes part in a NATO exercise in Poland, 2022. © Radoslaw Jozwiak / AFP
Warsaw does not have enough F-16 jets or Patriot air defense systems to send any to Ukraine, but other countries should do so right away, Polish Prime Minister Mateusz Morawiecki told reporters on Thursday.
“We have too few F-16 aircraft, so at the moment, today, there are no such expectations from us,” Morawiecki said at a press conference at Castle Mimi in Moldova, on the first day of the European Political Community summit, according to Polskie Radio.
The Polish Air Force officially has 48 F-16 fighters, 12 of which are training variants. It has ordered 48 Golden Eagle light jets from South Korea and 32 F-35s from the US, but they have not yet been delivered.
“We handed over our MiGs – good planes, good fighters, and this is greatly appreciated,” the Polish PM added. Poland followed Slovakia in sending Ukraine some of its 19 Soviet-era MiG-29 jets to make up Kiev’s losses over the past year.
Morawiecki also noted that Ukrainian President Vladimir Zelensky thanked him for organizing the F-16 “coalition,” referring to the push by several NATO members to supply Kiev with the US-designed fighters. While many countries, including Poland, have offered to train Ukrainian pilots, it remains unclear where the planes would actually come from.
The Polish PM also had bad news for Kiev regarding the replacements for Patriot air defense systems damaged or destroyed by Russian missile strikes.
Russian forces will ‘react’ to F-16 deliveries – Lavrov
READ MORE
Russian forces will ‘react’ to F-16 deliveries – Lavrov
“Just as we don’t have enough F-16 fighters, we can't hand over our Patriot systems to Ukraine for the same reason,” Morawiecki said, adding that it was important for other countries that had Patriots “to share them with Ukraine as soon as possible.”
Patriots and F-16s are the latest “game-changer” weapons Kiev has demanded from the West to bolster its forces’ combat capabilities against Russia, especially in the light of its planned counteroffensive.
The Ukrainian government has already received German Leopard and British Challenger tanks, US-made HIMARS rocket launchers, a variety of towed and self-propelled NATO artillery, as well as portable anti-tank and anti-aircraft rockets. Poland, meanwhile, has become a hub for arms supplies to Ukraine from other countries and a training ground for Ukrainian soldiers.
The US and the EU have also provided direct financial aid to Kiev to keep its government functioning. Russia has warned that military aid to Kiev makes Western countries de facto direct participants in the conflict, and said that foreign weapons systems would be treated as legitimate targets on the battlefield.
Huyo ni mweupe amekariri majina ya silaha, nimemwambia nato ni treaty, nchi inapo declare war na nato member wenzie watakuja kumpa nguvu na silaha watakazotumia ni hizo hizo tanks na silaha nyingine zinzokwenda Ukraine, alivyo juha amekomaa eti nato wao wanatumia f35 series na modern arsenals kwamba za zamani hawatumii😂, NATO haina silaha wenye silaha ni nchi wanachama, NATO ni treaty organization tu, mleta mada haijui NATO.
 
Huyo ni mweupe amekariri majina ya silaha, nimemwambia nato ni treaty, nchi inapo declare war na nato member wenzie watakuja kumpa nguvu na silaha watakazotumia ni hizo hizo tanks na silaha nyingine zinzokwenda Ukraine, alivyo juha amekomaa eti nato wao wanatumia f35 series na modern arsenals kwamba za zamani hawatumii😂, NATO haina silaha wenye silaha ni nchi wanachama, NATO ni treaty organization tu, mleta mada haijui NATO.
Uko sahihi mkuu,NATO(North Atlantic Treaty Organization or North Atlantic Alliance) ni treaty na organization.Wameji-organize waka-sign treaty ambayo inawa-bind kusaidiana incase of a military threat against any of them,so NATO as NATO haina standing army au silaha,inategemea nchi wanachama.Man on boots or millitary hardware inakuwa sourced kukiwa na hitaji from members,just as they are doing now.Hii ina maana kwamba kila member wa NATO anatoa alicho nacho,anazo Mig-29s anatoa,F-16s anatoa,hivyoo.Yeah,jamaa yupo mtupu sana,ila ubishiii.....,moto!
 
Uko sahihi mkuu,NATO(North Atlantic Treaty Organization or North Atlantic Alliance) ni treaty na organization.Wameji-organize waka-sign treaty ambayo inawa-bind kusaidiana incase of a military threat against any of them,so NATO as NATO haina standing army au silaha,inategemea nchi wanachama.Man on boots or millitary hardware inakuwa sourced kukiwa na hitaji from members,just as they are doing now.Hii ina maana kwamba kila member wa NATO anatoa alicho nacho,anazo Mig-29s anatoa,F-16s anatoa,hivyoo.Yeah,jamaa yupo mtupu sana,ila ubishiii.....,moto!
Hilo ni popoma, anafikiri watu wajinga humu, hio link inaeleza na mwandishi anaijua vyema NATO.
 
Tangu majeshi ya Russia yavamie Ukraine kumekuwa na tuhuma nyingi kutoka kwa Putin na Pro Russia kuwa majeshi ya NATO yamepelekwa Ukraine kupigana. Tuhuma hizo zimeenda mbali zaidi na kusema kuwa NATO inapeleka vifaa vyake vya kivita Ukraine. Rais Putin kila anapoongea na taifa amekuwa akidai kuwa wanapigana na NATO.

Watu wengi wanaofahamu vifaa vya kijeshi vinavyotumiwa na NATO vyenye Technology ya kisasa ikiwemo ndege za kivita, mifumo ya ulinzi wa anga (Air defense systems), vifaru (Tanks), silaha za kurusha mizinga (Artillery systems), silaha za kurusha makombora/Roketi (MLRS) n.k. wamekuwa wakisema kuwa hakuna silaha za kivita zinazotumiwa na NATO ambazo zimepelekwa Ukraine.

Propaganda za Russia/Putin zinapelekea watu wengi ambao hawajui na hawajawahi kuona silaha za kivita kuamini kuwa madai ya Russia yana ukweli. Pro Russia wengi wa huko Tanzania hawajui silaha za kivita zaidi ya magobole, SMG, mabomu ya machozi na magari ya washawasha yanayotumiwa na jeshi la polisi kupambana na machinga na wafuasi wa nyama vya upinzani.

Hata silaha zenye Technologies ya kisasa zinazotumika kupigana, kujilinda na upelelezi hawazijui. Lakini wamekuwa mabingwa wa kubisha kila kitu kwa ushabiki kama wa yanga na simba ya huko nyumbani.

Kwa kuwa Pro Russia wanaamini propaganda za Russia na hasa Putin, naomba watueleze machache tu ili tuweze kujua kama kweli wanaufahamu wa kutosha kuhusu silaha nzito zinazotumika Ukraine kujibu mapigo kwa Russia ambazo wanadai kuwa ni za NATO.

1. Je, ni silaha zipi za kulinda usalama wa anga (Air defense systems) ambazo unajua zinatumika Ukraine ambazo ni za NATO. ? Tutajia aina ya silaha na model plus series yake.

2. Je, ni silaha zipi za kurusha makombora ya masafa marefu (MLRS) na aina ya makombora ambayo yanatumiwa na majeshi ya NATO nchini Ukraine?. Taja aina, model na series yake.

3. Je, ni aina gani ya ndege za kivita zinazotumiwa na NATO ambazo zinatumika Ukraine na aina ya makombora yanayorushwa na ndege? Taja aina ya ndege, model na series yake.

4. Je, ni aina gani ya vifaru (Tanks) zinazotumika Ukraine ambazo zinatumiwa na NATO na zimepelekwa Ukraine?. Taja aina ya kifaru, model na series yake.

Naomba hoja hizi zijibiwe kwa facts siyo porojo na propaganda ili tujue kama kweli wanaosema hivo wanaelewa au wanaogelea kwenye Propaganda za Putin na pro Russia.

Uzi huu unaweza ukawa wa moto kwa wasio na hoja na waliozoea porojo na matusi.

Karibuni
Mkuu ingekuwa NATO wapo Ukraine fully tayari nchi ya Urusi ingelikuwa ni jangwa
 
Mkuu ingekuwa NATO wapo Ukraine fully tayari nchi ya Urusi ingelikuwa ni jangwa
NATO haina huo uwezo, awe full na Russia itakua full, mbona Libya walikuja wanaogopa nini kwenda Russia.
 
NATO haina huo uwezo, awe full na Russia itakua full, mbona Libya walikuja wanaogopa nini kwenda Russia.
Wewe huna ujualo., Libya unalinganishaje na kuvamiwa russia., US wanaangalia kumdhoofisha russia kiuchumi zaidi bila ya kutokea vita ya 3 ya dunia na sasa tayari hali inaelekea huko
 
Kipo wazi ndo ueleze au kuonesha na sisi tujue , ndo hoja ya jamaa
Hana lolote analolijua zaidi ya matusi. Ukitaka kujua ni mapoyoyo hakuna aliyejibu hayo maswali. They know nothing.
 
Pamoja na ubishi wako usio na maana,soma hii,👇labda utaokota kitu,maana si ulisema NATO hawatumii F-16s?

Poland won’t supply F-16s to Ukraine – PM​

Mateusz Morawiecki has admitted he doesn’t have the fighter jets to spare
Poland won’t supply F-16s to Ukraine – PM

FILE PHOTO: A F 16 fighter jet takes part in a NATO exercise in Poland, 2022. © Radoslaw Jozwiak / AFP
Warsaw does not have enough F-16 jets or Patriot air defense systems to send any to Ukraine, but other countries should do so right away, Polish Prime Minister Mateusz Morawiecki told reporters on Thursday.
“We have too few F-16 aircraft, so at the moment, today, there are no such expectations from us,” Morawiecki said at a press conference at Castle Mimi in Moldova, on the first day of the European Political Community summit, according to Polskie Radio.
The Polish Air Force officially has 48 F-16 fighters, 12 of which are training variants. It has ordered 48 Golden Eagle light jets from South Korea and 32 F-35s from the US, but they have not yet been delivered.
“We handed over our MiGs – good planes, good fighters, and this is greatly appreciated,” the Polish PM added. Poland followed Slovakia in sending Ukraine some of its 19 Soviet-era MiG-29 jets to make up Kiev’s losses over the past year.
Morawiecki also noted that Ukrainian President Vladimir Zelensky thanked him for organizing the F-16 “coalition,” referring to the push by several NATO members to supply Kiev with the US-designed fighters. While many countries, including Poland, have offered to train Ukrainian pilots, it remains unclear where the planes would actually come from.
The Polish PM also had bad news for Kiev regarding the replacements for Patriot air defense systems damaged or destroyed by Russian missile strikes.
Russian forces will ‘react’ to F-16 deliveries – Lavrov
READ MORE
Russian forces will ‘react’ to F-16 deliveries – Lavrov
“Just as we don’t have enough F-16 fighters, we can't hand over our Patriot systems to Ukraine for the same reason,” Morawiecki said, adding that it was important for other countries that had Patriots “to share them with Ukraine as soon as possible.”
Patriots and F-16s are the latest “game-changer” weapons Kiev has demanded from the West to bolster its forces’ combat capabilities against Russia, especially in the light of its planned counteroffensive.
The Ukrainian government has already received German Leopard and British Challenger tanks, US-made HIMARS rocket launchers, a variety of towed and self-propelled NATO artillery, as well as portable anti-tank and anti-aircraft rockets. Poland, meanwhile, has become a hub for arms supplies to Ukraine from other countries and a training ground for Ukrainian soldiers.
The US and the EU have also provided direct financial aid to Kiev to keep its government functioning. Russia has warned that military aid to Kiev makes Western countries de facto direct participants in the conflict, and said that foreign weapons systems would be treated as legitimate targets on the battlefield.
Story haina consistent kabisa. Story ya kuunga unga. Mara F-16s hapo hapo PM wa poland azungumzie Patriot kuwa Destroyed Ukraine. Labda mtu awe poyoyo ndo atakubaliana na story ya kuunga unga ambayo inakosa mtiririko.

1. Tumwamini nani kati ya propagandist aliyeandika na mwenye nchi Rais Duda. Mimi nayemwamini ni Rais Duda.

2. Let us assume the story is Ok na kwamba iwe kweli hawatoi F-16s kwa sababu zilizosemwa. Ni wapi kwenye maelezo haya pameandikwa kuwa F-16s ni NATO arsenal na zinatolewa na NATO?. Nchi wanachama wa NATO wana F-16s lakini F-16s siyo silaha inayotumiwa na majeshi ya NATO. Inaelekea hujui kilichoandikwa labda pengine hata english hujui.

3. Bado narudia kusema kuwa hamuelewi tofauti ya NATO na NATO allies. Poland ni mwanachama wa NATO (NATO allies). NATO ni taasisi (organization) na poland ni nchi iliyo na haki za kumsaidia rafiki yoyoye. Nitakupa mfano ili uelewe maana vichwa vyenu ni vigumu. Tanzania ni mwanachana wa EAC. Tanzania kuisaidia Msumbiji haina maana kuwa Tanzania ndo itakuwa EAC.
 
1. Tumwamini nani kati ya propagandist aliyeandika na mwenye nchi Rais Duda. Mimi nayemwamini ni Rais Duda.

2. Let us assume the story is Ok na kwamba iwe kweli hawatoi F-16s kwa sababu zilizosemwa. Ni wapi kwenye maelezo haya pameandikwa kuwa F-16s ni NATO arsenal na zinatolewa na NATO?. Nchi wanachama wa NATO wana F-16s lakini F-16s siyo silaha inayotumiwa na majeshi ya NATO. Inaelekea hujui kilichoandikwa labda pengine hata english hujui.

3. Bado narudia kusema kuwa hamuelewi tofauti ya NATO na NATO allies. Poland ni mwanachama wa NATO (NATO allies). NATO ni taasisi (organization) na poland ni nchi iliyo na haki za kumsaidia rafiki yoyoye. Nitakupa mfano ili uelewe maana vichwa vyenu ni vigumu. Tanzania ni mwanachana wa EAC. Tanzania kuisaidia Msumbiji haina maana kuwa Tanzania ndo itakuwa EAC.
Ubishi wa kijinga huu,I do not have time for it.
 
Hadi leo hakuna mwanachama wa NATO aliyeshambuliwa ila Russia anashambuliwa ndani ya mipaka yake
Russia atathubutu kurusha hata bomu kwa wanachama wa NATO. Kwani yeye hajui nguvu ya NATO.
 
Uko sahihi mkuu,NATO(North Atlantic Treaty Organization or North Atlantic Alliance) ni treaty na organization.Wameji-organize waka-sign treaty ambayo inawa-bind kusaidiana incase of a military threat against any of them,so NATO as NATO haina standing army au silaha,inategemea nchi wanachama.Man on boots or millitary hardware inakuwa sourced kukiwa na hitaji from members,just as they are doing now.Hii ina maana kwamba kila member wa NATO anatoa alicho nacho,anazo Mig-29s anatoa,F-16s anatoa,hivyoo.Yeah,jamaa yupo mtupu sana,ila ubishiii.....,moto!
Kweli wewe nì poyoyo usiyejua chochote kuhusu NATO. Kwa akili yako NATO haina military Bases, wanajeshi wala silaha.

Kumbe tunahangaika na mtu mjinga
 
Na leo MoD wa Uingeleza kasema kuwa Ukraine wataweza rudisha Crimea mwaka huu
 
Back
Top Bottom