Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Za kuambiwa changanya na zako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kipindi kutoka kwenye siku ya mtu kuwa contact au kuwa Exposed na HIV virus mpaka kipindi ambacho mwili umetengeneza Antibodies za kutosha kuweza kuonekana kwenye kipimo cha HIVNi nini hii
Na yeye anatumia dawa ya kumlinda asiambukizweKuna level ya viral load (idadi ya virusi vya HIV kwenye damu) ikifikia kuwa undetected (kutoonekana kwenye damu) inakuwa huwezi kumuambukiza mwenza wako hata mkijamiiana bila ya kinga.
Ila inataka ujasiri wa hali ya juu. Yani nikijua una ngoma sidhani hata kama mnara utasoma achilia mbali kupiga kavu.
Kama ni kweli jamaa anakula mzigo kavu basi mwamba jasiri hasa.
We hukawaiImeandikwa, “Usimjaribu Bwana Mungu wako”
Wee hiyo sio ya kujaribu, yani najua kabisa huu moto nikajitumbukize?? 🤣🤣🤣
🤣 🤣 bora usijue... huyo Jamaa atakuwa ana moto na yeye au wanaigizakunywa dawa kila siku ni rahisi eh. Ata univalishe ndom 3 siwezi,i kufanya na mwenye HIV
Jirani ni vizuri kama unayaishi maandiko 😅Imeandikwa, “Usimjaribu Bwana Mungu wako”
Wee hiyo sio ya kujaribu, yani najua kabisa huu moto nikajitumbukize?? 🤣🤣🤣
🙏🙏Ni kipindi kutoka kwenye siku ya mtu kuwa contact au kuwa Exposed na HIV virus mpaka kipindi ambacho mwili umetengeneza Antibodies za kutosha kuweza kuonekana kwenye kipimo cha HIV
So still jamii haiko salama,Huyu ana Percent chini ya 0.01 ya kumuambika mwingine na hata wakinamama wakifika Hapa huwa wanaruhusiwa kuwa na watoto yaani kuchukua mimba na kuzaa..
Watu hawajiulizi kwanini Serostatus (Maambukizi) ya Watu hayaongezeki na yanazidi kupungua?
Hii elimu inahitajika sana vinginevyo maambukizi hayatakwisha100% Ni kweli..
Na watu wengi sana wanaishi ni Serodiscordant..
Sisemi Kwa ushabiki bali nimeshuhudia sana..
Watu wengi ambao mara Nyingi tunaruhusu mahusiano hayo ni wale waliopima HVL na mara nyingi Huwa Zinasoma TND..("Target Not Detected")
Huyu ana Percent chini ya 0.01 ya kumuambika mwingine na hata wakinamama wakifika Hapa huwa wanaruhusiwa kuwa na watoto yaani kuchukua mimba na kuzaa..
Watu hawajiulizi kwanini Serostatus (Maambukizi) ya Watu hayaongezeki na yanazidi kupungua?
Kwanini siku hizi Idadi ya watoto Wadogo wenye maambukizi imepungua Sana tofauti na Zamani..
Jibu Ni moja Tu kuwa inawezekana na mifano ninayo na nimeiona si chini ya couple 100 zikiishi hivyo na kwa furaha
Kama kuna mtu mwenye swali namkaribisha maana hii ni moja ya Sehemu zangu za kujidai
Kwa ile kupima mara 3 kila baada ya mwezi mmoja inaweza kuwa siyo indicator ya mtu kuwa salama?Me ningeshauri watu waogope zaidi mtu yule ambaye Kipimo kinasoma Negative..
kwanini?
Mtu anapokuwa kwenye Window Period Virusi huzaliana sana na ndo kipindi ambacho Muathirika anakuwa na Peak kubwa ya Virusi kuliko wakati wowote ule maana kipindi hicho bado antibodies hazijaanza kufanya kazi ya kupambana na Virus...
Hakuna kipind Muathirika huwa Contagious Wa HIV kama kipindi cha window Period..
USalama upo Ila hautakiwi kujiona salama kuliko mwingine ikiwa bado unaishi..So still jamii haiko salama,
Elimu ya Maambukizi bado iko chini sana hata hao wanaojiita wanayo elimu nao pia ukiwachunguza Hawana hiyo elimu 😅😅Hii elimu inahitajika sana vinginevyo maambukizi hayatakwisha
HIi sijaelewa Kila baada ya mwezi mmoja unapimaje mara Tatu?Kwa ile kupima mara 3 kila baada ya mwezi mmoja inaweza kuwa siyo indicator ya mtu kuwa salama?
Na si ajabu wakawa miongoni mwa wasambazaji maana walipata elimu nusu wakapractice ngono zembe wakijua wako salamaElimu ya Maambukizi bado iko chini sana hata hao wanaojiita wanayo elimu nao pia ukiwachunguza Hawana hiyo elimu 😅😅
Kweli kabisaNa si ajabu wakawa miongoni mwa wasambazaji maana walipata elimu nusu wakapractice ngono zembe wakijua wako salama
Wataalamu wa afya huko mahospitalini wanasema ili kujiridhisha uko salama ni sharti upime mara 3 ikimaanisha unapima tarehe 1 January 2024, utarudia tena kupima 1 February 2024, utamalizia kupima mara ya tatu 1 March 2024, majibu yakifanana basi hapo upo salamaHIi sijaelewa Kila baada ya mwezi mmoja unapimaje mara Tatu?
Yaani kila wiki Unapima?
Kupima sio suluhisho..
Suluhisho ni kujikinga..
Fact!!Rule number one ni Consider everyone susceptible to infection and Contagious...
hiyo haijalishi hata mke wako unatakiwa utake precaution...Na ndo maana ukija Hospitali hata kama nakujua Nitavaa Gloves..