Ni kweli mtu akitumia dawa ya UKIMWI hawezi kumuambukiza mwenzake hata bila kutumia kinga?

Ni kweli mtu akitumia dawa ya UKIMWI hawezi kumuambukiza mwenzake hata bila kutumia kinga?

Ila kuna watu wanajua kupenda acha kabisa. Kuna mtu tunafanya nae kazi anampenda huyo mdada na mdada kamwambia ameathirika.

Jamaa haelewi hadi wakapima kwenye bibie kawaka.
Bibie anamwambia jamaa yeye hawezi kuwa na mtu ambaye hajaathirika hataki kunyanyapaliwa, huyu mwamba eti akamwambia “niambukize na mimi basi ili tuwe sawa”. Ilibaki kidogo nimlambe kofi alivyokuwa ananihadithia ila nikagundua mapenzi upofu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan mapenzi ni upofu wallah.
Bas hapo jamaa haelewi wala hasikiii.
 
100% Ni kweli..
Na watu wengi sana wanaishi ni Serodiscordant..
Sisemi Kwa ushabiki bali nimeshuhudia sana..
Watu wengi ambao mara Nyingi tunaruhusu mahusiano hayo ni wale waliopima HVL na mara nyingi Huwa Zinasoma TND..("Target Not Detected")

Huyu ana Percent chini ya 0.01 ya kumuambika mwingine na hata wakinamama wakifika Hapa huwa wanaruhusiwa kuwa na watoto yaani kuchukua mimba na kuzaa..
Watu hawajiulizi kwanini Serostatus (Maambukizi) ya Watu hayaongezeki na yanazidi kupungua?

Kwanini siku hizi Idadi ya watoto Wadogo wenye maambukizi imepungua Sana tofauti na Zamani..

Jibu Ni moja Tu kuwa inawezekana na mifano ninayo na nimeiona si chini ya couple 100 zikiishi hivyo na kwa furaha

Kama kuna mtu mwenye swali namkaribisha maana hii ni moja ya Sehemu zangu za kujidai
Hebu eleza kwa undanii zaidi, mnatuchangqnyaa waja wallah.
 
Huo ndio ukweli,naamini kila mmoja wetu alishagonga demu victim ila kwavile wanatumia dozi hakuna maambukizimakubwa,mara ngapi umeuza mechi ila uko safe now,jibu ni matumizi fasaha ya ARV kwa unowagonga
Uongo mtupu.

Naona soko la ARV linapata watu hapa kiulaini.

Dejane kuwa macho sana nà hawa wazee wa UKIMWI na ARV.
 
Hebu eleza kwa undanii zaidi, mnatuchangqnyaa waja wallah.
Ukimwi ungekuwa unaenezwa kwa ngono, nusu ya watanzania wote wangekuwa na miwaya.

You must realize, this is a well crafted propaganda to entrap the gullibe into an ARV medical net.

Plus, watu waone kwamba mbona nilifanya na muathirika wa UKIMWI sijaambukizwa sababu ya ARV.

Hii inathibitisha kwamba (to the advantage of pharmaceuticals):

1. UKIMWI NA VVU ni gonjwa la zinaa.

2. UKIMWI unaponywa na ARV.

3. Wenye UKIMWI wabugie ARV.
 
😂 jirani nimehoji tu kwa mfano wewe na bebe wako ndio mshapima tayari yeye anao na wewe huna alafu anataka zagada kwa gharama yeyote ile.
🤣🤣🤣 bahati yako nilishaenda kufunua kitabu cha matusi mfyuuu!!

Sasa bebe ana miwaya mi wa nini.?? Pesa ikahatarishe afya yangu??!! Hivi unajua km mtaji wa kwanza hapa duniani ni afya yako??
Jirani ilinde afya yako kwa gharama yoyote ile ikiondoka imeondoka nakwambia oooh!!
 
100% Ni kweli..
Na watu wengi sana wanaishi ni Serodiscordant..
Sisemi Kwa ushabiki bali nimeshuhudia sana..
Watu wengi ambao mara Nyingi tunaruhusu mahusiano hayo ni wale waliopima HVL na mara nyingi Huwa Zinasoma TND..("Target Not Detected")

Huyu ana Percent chini ya 0.01 ya kumuambika mwingine na hata wakinamama wakifika Hapa huwa wanaruhusiwa kuwa na watoto yaani kuchukua mimba na kuzaa..
Watu hawajiulizi kwanini Serostatus (Maambukizi) ya Watu hayaongezeki na yanazidi kupungua?

Kwanini siku hizi Idadi ya watoto Wadogo wenye maambukizi imepungua Sana tofauti na Zamani..

Jibu Ni moja Tu kuwa inawezekana na mifano ninayo na nimeiona si chini ya couple 100 zikiishi hivyo na kwa furaha

Kama kuna mtu mwenye swali namkaribisha maana hii ni moja ya Sehemu zangu za kujidai
We phalla kumbe daktari wa ukweli?😂😂😂
Safi sana
 
Waathirika wa kweli wa "UKIMWI" huwa hawana uwezo wa kisaikolojia wa kuhimili KUJITANGAZA.

Habari ya UKIMWI huwa inaanza kuwabamiza akili zao kwanza, halafu inawabamiza na kuharibu kujiamini kwao.

Ukiona hawa wanaojitangaza wana UKIMWI hadharani ujue wako KAZINI.
 
🤣🤣🤣 bahati yako nilishaenda kufunua kitabu cha matusi mfyuuu!!

Sasa bebe ana miwaya mi wa nini.?? Pesa ikahatarishe afya yangu??!! Hivi unajua km mtaji wa kwanza hapa duniani ni afya yako??
Jirani ilinde afya yako kwa gharama yoyote ile ikiondoka imeondoka nakwambia oooh!!
Wizo miwaya inatisha.

Wowowo lako lote litaporomoka ubaki kama fidodido.
 
Mtu wa hivyo, kwa vile vipimo vyetu ambavyo watu wengi tunajipima akipima itasoma positive au negative
Mtu mwenye TND..?
Kama ndyo..
Jibu ni lazima "Vipimo vyenu" Visome Positive..

Sababu:-
Kinachopimwa katika vipimo vya Vitepe huwa ni Antibodies..so muda mwingine Tunaviitaga Antibodies Test..

Kwa kuwa Mtu huyo bado Ana antibodies zinazopambana na Virusi mwilini mwake lazma kitasoma Positive unless Antibodies ziishe kabisa na kisome negative..

Na antibodies zikiisha bhasi huyo anakuwa kishakufa 😅😅 (Kiddn)
 
Back
Top Bottom