Ni kweli mtu akitumia dawa ya UKIMWI hawezi kumuambukiza mwenzake hata bila kutumia kinga?

Hii ni comment #123 sijaona aliyesema anao

watu wanazungusha tu maneno eti ooh huo ni kama malaria sijui kifua

Weeh[emoji117]weeh[emoji117]weeh[emoji117] (kwa sauti ya embarambamba)

Hiyo kitu ni deadly!

Tuache kuremba maneno hapa
 
Na yeye anatumia dawa ya kumlinda asiambukizwe
 
Hii elimu inahitajika sana vinginevyo maambukizi hayatakwisha
 
Kwa ile kupima mara 3 kila baada ya mwezi mmoja inaweza kuwa siyo indicator ya mtu kuwa salama?
 
So still jamii haiko salama,
USalama upo Ila hautakiwi kujiona salama kuliko mwingine ikiwa bado unaishi..

Kwa mfano kwenye IPC (Infection Prevention and Control) sasa kwenye rule za Standard precaution Huwa tunajielimisha kila siku Kuwa..
Rule number one ni Consider everyone susceptible to infection and Contagious...
hiyo haijalishi hata mke wako unatakiwa utake precaution...Na ndo maana ukija Hospitali hata kama nakujua Nitavaa Gloves..


Ukiishi kwa kufuata Roles na Miiko nakuhakikishia magonjwa utakuwa unayasikia tu..
 
HIi sijaelewa Kila baada ya mwezi mmoja unapimaje mara Tatu?

Yaani kila wiki Unapima?
Kupima sio suluhisho..
Suluhisho ni kujikinga..
Wataalamu wa afya huko mahospitalini wanasema ili kujiridhisha uko salama ni sharti upime mara 3 ikimaanisha unapima tarehe 1 January 2024, utarudia tena kupima 1 February 2024, utamalizia kupima mara ya tatu 1 March 2024, majibu yakifanana basi hapo upo salama

Ila utashangaa hivi sasa Yohana na Mwajuma wamekutana kwenye Kilimanjaro Express, wameshuka Shekilango wanapitia pharmacy wananunua kipimo wanapima wanasoma -ve wanaelekea Sinza kutest mitambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…