Ni kweli mtu akitumia dawa ya UKIMWI hawezi kumuambukiza mwenzake hata bila kutumia kinga?

Ni kweli mtu akitumia dawa ya UKIMWI hawezi kumuambukiza mwenzake hata bila kutumia kinga?

ukit.0mba muathirika au mtu haumwelewi kimbia haraka kituo cha afya cha serikali ukajilize apo utapewa vidonge vya kukuepusha na ngoma ila hakikisha iwe ndani ya siku 3.
Vp mkuu umewahi kupitia hicho kipindi Cha hizo dawa LA75??
 
100% Ni kweli..
Na watu wengi sana wanaishi ni Serodiscordant..
Sisemi Kwa ushabiki bali nimeshuhudia sana..
Watu wengi ambao mara Nyingi tunaruhusu mahusiano hayo ni wale waliopima HVL na mara nyingi Huwa Zinasoma TND..("Target Not Detected")

Huyu ana Percent chini ya 0.01 ya kumuambika mwingine na hata wakinamama wakifika Hapa huwa wanaruhusiwa kuwa na watoto yaani kuchukua mimba na kuzaa..
Watu hawajiulizi kwanini Serostatus (Maambukizi) ya Watu hayaongezeki na yanazidi kupungua?

Kwanini siku hizi Idadi ya watoto Wadogo wenye maambukizi imepungua Sana tofauti na Zamani..

Jibu Ni moja Tu kuwa inawezekana na mifano ninayo na nimeiona si chini ya couple 100 zikiishi hivyo na kwa furaha

Kama kuna mtu mwenye swali namkaribisha maana hii ni moja ya Sehemu zangu za kujidai
habRiv
 
ukit.0mba muathirika au mtu haumwelewi kimbia haraka kituo cha afya cha serikali ukajilize apo utapewa vidonge vya kukuepusha na ngoma ila hakikisha iwe ndani ya siku 3.
Inakuwaje mtu ambaye anatumia dawa vizuri virusi vyake vimelala kajikata kwenye kisu na kutua damu na kisu ambacho akajakujichubua mtu nwingine bila kujua na kujichubua jujuu bila kufika kwenye damu,hii inakaaje
 

Hii couple maarufu huko TikTok ni kweli? Dada anasema kaathirika na kaolewa na mwanaume wana watoto na mume hajaathirika na HIV, na wanapendana kweli nadhani mliwaona walihojiwa wenyewe na walisema hawatumii condom.

Najiuliza ina maana DECEPTION alisema kweli kipindi kile au wanahamasisha watu wasiogope UKIMWI?

Je, kuna watu hawaambukizwi HIV?

Ni kweli mtu akitumia vizuri dawa ARV haambukizi wengine?

Je, UKIMWI ni fix tu?
Mmmh mbona umeleta hii mada ghafla sana?

Wewe ni muhusika?
 
Hizi ishu za virusi ni za Kuwa nazo makini Sana si za kukurupuka maana Hata hao wanasayansi wenyewe zinawasumbua.Mfano mzuri tu kwa ishu ya corona.Kinachofanya kazi kwa mmoja kinaweza kisifanye kazi kwa mwingine.
 
Alikonda sura ikawa ndefu kweli walimtania mno
😂😂😂 hivi kweli K zote mtaani et mtu ashaukwaa unakomaa nae kuna watu hawajipend kabisa yeye kala maisha wee ka ukwaa alafu mimi aje anipe kizembe aisee kuna watu wana moyo wa kipuuzi
 
Back
Top Bottom