Hapo sasa watakuwa unawaona ndezi au?Hoja ya Serekali moja ni kitu ambacho kwa wazanzibari haiwez kukubalika, Kwa Tanganyika munaona ni jambo jepesi mana nyinyi ndio mutakaokwenda kunufaika nayo. Je mutakua tayri kuwe na serekali moja ambayo makao mkuu yake yawe Unguja, Raisi wa JMT atoke Unguja, Wakuu wa Idara zote kuanzia TISS, JWTZ, TANPOL na nyengine nazo watoke Unguja, Je watanganyika mutakua tayari nahilo?
Yaani wamesababisha mchakato halali kuonekana haramu,wamesababisha kiongozi mzuri na muungwana bwana Jamshid aonekane mbaya.Ni propaganda uchwara za CCM tu, ASP kuwa na idadi ya kura nyingi haikuwa Point ya msingi kabisa mana sheria za nchi hazikua zikizingatia hilo jambo. Hata Trump alikua Rais wa U.S bila ya kuwa na kura nyingi kuliko mshindani wake.
CCM wamekua na porpaganda za kipuuzi kabisa. Kwa bahati mbaya nchi yetu bado imejaa wajinga na ndio mana wapo watu wamekua wakiwaamini.
Utaifa wa Zanzibar ni imara Sana.Kuna wale wanaoumwa na Aepedomia ndo huwasaliti wenzao ila kuia serikali ya Zanzibar ni kazi ngumu sanaSi kweli kwamba Nyerere alikuwa na mawazo ya Serikali moja tu! Serikali mbili (ukifuta ya Tanganyika) ndiyo yalikuwa mawazo yake. Hoja yake ilikuwa kwamba nchi mbili zinaungana; bila kujali ukubwa au idadi ya watu wa kila upande. Hadhi tu ya kwamba kila upande ni nchi, ndiyo ilikuwa kanuni ya muungano. Sasa, kama ni hivyo, kwa nini alikubali serikali ya Zanzibar ibaki na ya Tanganyika ife? Hilo ndilo swali gumu linalohitaji uchunguzi yakinifu.
Huu muungano wa Zanzibar na Tanganyika , hapo baadae unatakiwa kufutiliwa mbali kabisaa, tubaki na nchi moja tuuuuuu.
Maana wakazi wengi wa Zbr hasa weusi asili yao ni Tanganyika.
Unamaanisha hawaongei lugha za kibantu ?Yaani mwenye asili ya Tanganyika aongee lugha tofauti na lugha za Tanganyika ??
Unamaanisha hawaongei lugha za kibantu ?
Hakuna nchi ya kibantu kuna nchi za wabantu Tanganyika na Zanzibar zikiwa ni mojawapo, upo hapo ?Lugha ya kibantu inaongelewa nchi ya Bantu , iko bara gani nchi hiyo ?
Hakuna nchi ya kibantu kuna nchi za wabantu Tanganyika na Zanzibar zikiwa ni mojawapo, upo hapo ?
Hakuna nchi ya kibantu kuna nchi za wabantu Tanganyika na Zanzibar zikiwa ni mojawapo, upo hapo ?
Najua, wewe unajua ?Unawajua wabantu asili yao ni wapi ?
Najua, wewe unajua ?
Wabantu hawatoki Zanzibar na East Africa ni wahamiaji kutoka Gabon ,Congo na kusini mwa AfricaNajua, wewe unajua ?
Be precise, unajua au haujui ?Bantu Migration
The Bantu migration from their origins in southern West Africa saw a gradual population movement sweep through the central, eastern, and southern parts of the continent starting in the mid-2nd millennium...www.worldhistory.org
What is your point exactly ?Wabantu hawatoki Zanzibar na East Africa ni wajamiaji kutoka Gabon ,Congo na kusini mwa Africa
zanzibar iwe wilaya au mkoa. kama la, basi tugawane fito.Iwe nchi moja ambayo Zanzibar ni shehemu yake au nchi 2 tofauti?
What is your point exactly ?
Zanzibariis arent bantus ?
Huna hojaOf course watakuwa kila kabila kwa vile wanahamia watu tofauti. Ni kwamba msiforce uvamizi kwa vigezo vya ubantu , wabantu wako Kenya Mdumbiji Kongo na kote wamehamia , mbona hamuungani nao kwanza? . Ajabu tunaambiwa Wazanzibari ni wanyamwezi, Wachaga nk lakini mbona Kimakunduchi au Kitumbatu au Kikojani hakiongewi Tanganyika na kabila lolote???
Huna hoja
Sijaelewa katu.Shukrani , itakuwa umeelewa