Ni kweli Ndugai amemshambulia Rais Samia vibaya sana

Ni kweli Ndugai amemshambulia Rais Samia vibaya sana

Shocker

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2012
Posts
1,958
Reaction score
3,890
Hata kama ni kueleweka Mheshimiwa Ndugai alishindwa kujizuia na hormones zake zikamtoa kwenye uhalisia na kumuweka kwenye attacking ya liwalo na liwe, hasira ambazo unaweza kuuwa bila ya kukusudia ni hatari sana tuseme aliamua kujitoa muhanga.

Nimeisikiliza kideo zaidi ya mara tatu ili kupima tones ya sauti,action za mikono na uhakika wa macho kwa anachokisema ,alikuwa anatuma mashambulizi kwa Raisi wake na kuomba razi hajakosea ni sawa kabisa.

Na kama Raisi angekaa kimya ingekuwa noma zaidi kwake, vyema alivyoamua kumpoza Ndugai kwa kumwambia kistaarabu asihadaiwe na watu wanaomshawishi afanye hili na lile,aridhike na mahala alipo.
 
hata kama ni kueleweka Mheshimiwa Ndugai alishindwa kujizuia na hormones zake zikamtoa kwenye uhalisia na kumuweka kwenye attacking ya liwalo na liwe,hasira ambazo unaweza kuuwa bila ya kukusudia,ni hatari sana.tuseme aliamua kujitoa muhanga...
thinkstupid.png
 
We unamatatizo, ni kweli unafikiri kuwa ndugai anahitajika nafasi zaidi ya pale? Afanyie nini? Ina maana anajihisi jamii inamuhitaji sanaa iwatumikie kwa nafasi zaidi ya hiyo? Hapo alipo wengi wanamuona ajapatendea haki!
 
Kwenye huu mtifuano wote sijamuona Shekhe wangu

Shaikh Ponda Issa Ponda
1326.gif
 
Back
Top Bottom