Ni kweli Rais Samia ana nasaba na familia ya Mfalme wa Oman?

Ni kweli Rais Samia ana nasaba na familia ya Mfalme wa Oman?

Sija panic kabisa ila huwa sipendi kuongea utumbo najua tunatofautiana kila kitu kuanzia fikra mawazo na mambo mengi sana

Unasumbuliwa na chuki na unaumia bure kwani hata ukiandika kitu gani duniani watu hawawezi kuacha kuhamia nchi zingine kisa watu kama nyie mlio na wivu wa kijinga

Unawachukia waarabu sawa, huna imani nao sawa hizi ni fikra zako na ulivyo wewe lakini at the end of the day kila mmoja anaendelea na maisha yake

Hivi ungekuwa mzawa wa baadhi ya nchi Latin America ambapo waarabu walienda huko kuishi na kufanya biashara na mwisho kuwa Marais na kutawala Mbona ungekufwaaaa kwa wivu?

Jisomee kidogo uone watu waliotembea na mwisho kuwa Maraisi au Mawaziri katika nchi ambazo hawa kuwahi hata kuwa na ndoto

Nisamehe kwa maneno kuntu ila nakuomba acha ubaguzi kwani wewe sio chochote katika dunia hii na utakufa uwaache au watakuacha
Ni ndugu yetu,watanzania
screengrab-20220614-223554~2.jpg
 
Mkuu
Yote nayajua


Sijawahi kuwa na imani Sana na race hizi zinzojiona superior kuliko sisi weusi!!

TAHADHARI inahitajika sana kuishi na hawa jamaa!!!

Ni vigumu kujiachia Sana ki hivyo tuna mashaka na jinsi wanavotuchukulia!!!

Kuishi na watu wanahisi WAO ni superior kuliko sisi kuna hitajika tahadhari!!

Ni kweli ukarimu wetu ulituponza Hadi Hadi leo!

Na bado Hadi leo sisi ni wakarimu na hatujaacha lakini ukarimu wetu unatusaliti Baadae kwa Hawa jamaa!!!

Wasiwasi ndio akili


Hatuwabagui!!!
Huyu wajuwa?
screengrab-20220614-223554~2.jpg
 

Attachments

  • screengrab-20220614-223554~2.jpg
    screengrab-20220614-223554~2.jpg
    52.2 KB · Views: 12
Habarini

Nimeona hii kitu ikanistua, naomba kujuzwa juu ya huu undugu na kama kweli, wanyama wetu watabaki kweli?

Maana enzi za awamu ya mzee ruksa mkewe alituhumiwa/shutumiwa kusafirisha wanyama hai kwenda arabuni.

Nijuzeni kuhusu hili swala.
View attachment 2260879
Wewe mwenyewe una nasaba na Wakwavi mbona tunakuona wa kawaida sana.
 
Sija panic kabisa ila huwa sipendi kuongea utumbo najua tunatofautiana kila kitu kuanzia fikra mawazo na mambo mengi sana

Unasumbuliwa na chuki na unaumia bure kwani hata ukiandika kitu gani duniani watu hawawezi kuacha kuhamia nchi zingine kisa watu kama nyie mlio na wivu wa kijinga

Unawachukia waarabu sawa, huna imani nao sawa hizi ni fikra zako na ulivyo wewe lakini at the end of the day kila mmoja anaendelea na maisha yake

Hivi ungekuwa mzawa wa baadhi ya nchi Latin America ambapo waarabu walienda huko kuishi na kufanya biashara na mwisho kuwa Marais na kutawala Mbona ungekufwaaaa kwa wivu?

Jisomee kidogo uone watu waliotembea na mwisho kuwa Maraisi au Mawaziri katika nchi ambazo hawa kuwahi hata kuwa na ndoto

Nisamehe kwa maneno kuntu ila nakuomba acha ubaguzi kwani wewe sio chochote katika dunia hii na utakufa uwaache au watakuacha
MKUU

Historia inawahukumu Sana weupe dhidi ya weusi!!

Kabla ya kuniita mbaguzi ibadili historia ya Dunia kwanza!

Hata Sasa kinachoendelea kule ngoro ngoro na lolliondo ni historia kujirudia ile ya Mwanzo Kuwa weupe ni superior KWA weusi!!!


Unashangaa nini kama mweusi akikosa imani na weupe!!?

Kama vitabu vyenyewe vinafundisha chuki hiyo Hadi kwenye imani ZETU zenyewe ubaguzi upo wa wazi kabisa unafikiri wangapi watapona na hilo unaloliita chuki!!?


Ni kana kwamba waasisi wa imani ZETU WOTE Wana ueupe hakuna weusi lengo la kuandika hayo yote ni nini kama sio ubaguzi wa wazi!!?

Tangu mtu anazaliwa Hadi anazeeka anafundishwa ueupe ni maridadi kuliko weusi na matendo ya kidunia yanasadifu hivyo Sasa unataka huo upendo unaodhani wa weusi KWA weupe ushamiri kivipi LABDA!!?

Yaani tulazimishwe kupitia imani upendo KWA wanaotutesa sio!!?hivi ingekuwa vice versa ungehubiri HAYO!!?

Ngoja Tuone hatma!!
 
Habarini

Nimeona hii kitu ikanistua, naomba kujuzwa juu ya huu undugu na kama kweli, wanyama wetu watabaki kweli?

Maana enzi za awamu ya mzee ruksa mkewe alituhumiwa/shutumiwa kusafirisha wanyama hai kwenda arabuni.

Nijuzeni kuhusu hili swala.
View attachment 2260879
Sijaona walipoandika kuwa ana undugu na familia ya kisultan ya Oman
 
Habarini

Nimeona hii kitu ikanistua, naomba kujuzwa juu ya huu undugu na kama kweli, wanyama wetu watabaki kweli?

Maana enzi za awamu ya mzee ruksa mkewe alituhumiwa/shutumiwa kusafirisha wanyama hai kwenda arabuni.

Nijuzeni kuhusu hili swala.
View attachment 2260879
Kama kuna mtu haoni tatizo kwenye hili tatizo basi yeye mwenyewe ndo tatizo.
 
Habarini

Nimeona hii kitu ikanistua, naomba kujuzwa juu ya huu undugu na kama kweli, wanyama wetu watabaki kweli?

Maana enzi za awamu ya mzee ruksa mkewe alituhumiwa/shutumiwa kusafirisha wanyama hai kwenda arabuni.

Nijuzeni kuhusu hili swala.
View attachment 2260879
Wazenji karibu wote wanakwambia asili Yao Oman, so inawezekana ikawa kweli
 
Tunajua Sana !sema hao ndio ndugu zetu KWA Hali na mali!!

Waarabu sio ! TUNAISHI nao bongo kama wapo kwao huko uarabuni!!

adamu na hawa waliumbwa ni weupe. sisi waafrica tumetokea wapi tuanze kujitafuta tujue asili yetu wapi, mungu alimwambia adamu kaitawale dunia ukazae watoto wengi leo hii anakuja mtu anasema tanzania ni yetu wewe sio kwenu hii ulimwengu ni wa adamu
 
Habarini

Nimeona hii kitu ikanistua, naomba kujuzwa juu ya huu undugu na kama kweli, wanyama wetu watabaki kweli?

Maana enzi za awamu ya mzee ruksa mkewe alituhumiwa/shutumiwa kusafirisha wanyama hai kwenda arabuni.

Nijuzeni kuhusu hili swala.
View attachment 2260879
Unaweza ukawa na mjomba wako ambaye alichukua uraia wa kule lakini sio familia ya mfalme ! Tofautisha kati ya kuwa raia wa kawaida na kuwa mwana familia wa mfalme !! Rais Obama alikuwa ana nduguze wakenya na alienda kuwatembelea na wao wakamtembelea pia !! Na kuhusu wanyama sio Oman Bali ni UAE NDIO WENYE INTEREST NA MASUALA YA UWINDAJI ! (United Arab Emirates)
 
Back
Top Bottom