Ni kweli Rais Samia ana nasaba na familia ya Mfalme wa Oman?

Ni kweli Rais Samia ana nasaba na familia ya Mfalme wa Oman?

Acha kujitoa ufahamu hapo Zenji tu mbara hupati ajira wakati wazanzibari wamejaa kibao Tanganyika. Sembuse Serikali iruhusu na waarabu waajiriwe si mtakuwa watumwa maana hamuwezi kushindana nao kwenye Skills na elimu maana wao wanasomea ngambo wewe umesoma S/M mchambawima, ungepatia wapi ajira ua baba yako wa kiembe samaki?

Hapo ndio inatakiwa tusome pia sana na serikali ipambane kutoa wenye taalauma zaidi
Tatizo ni wizi wala usisingizie ajira watatuzidi akili kwa sababu wamesoma nje Hapana

Hebu twende sawa hapa sijaongelea Uarabu tu hapa ila wenye asili tofauti in general
Kwa mfano kuna wasomali wangapi waliozaliwa Tanzania na wana haki kama wewe? Ila serikalini wapo wawili tu ila kelele nyingi

Je ni % ngapi wangeomba ajira ?
Wachache sana hata wangekuwa elfu nchi nzima kuna tatizo gani kwenye nchi ya watu 60m

Mkuu tuongee na kujadili kwa hoja bila ukali wa maneno
Sijitoi ufahamu bali tembea yangu duniani imenifundisha mengi sana

Hebu angalia kwa mfano [emoji636] wazawa wachina wameombwa wajiunge jeshi la police ili kuendana na community zao hapo China Town London ukienda utakuta police wa kichina unajua kwa nini?

Je wameiteka ajira ya Police?

Njoo Bradford, Birmingham na hata London utakuta Wahindi police , lawyers, MPs na kila mahali wamo ila hawachangii hata 0.02% ya population ya [emoji636]
Serikali yetu ina ubaguzi ndio maana na watu kama wewe mna mentality za kina lukuvi
 
Habarini

Nimeona hii kitu ikanistua, naomba kujuzwa juu ya huu undugu na kama kweli, wanyama wetu watabaki kweli?

Maana enzi za awamu ya mzee ruksa, mkewe alituhumiwa/shutumiwa kusafirisha wanyama hai kwenda arabuni saivi Rais Samia anasema ataimarisha usafiri wa majini ili kusafirisha wanyama hai.

Nijuzeni kuhusu hili swala.
View attachment 2260879
Oman inunue ndege ya kusafirisha wanyama hai.
 
Hapo ndio inatakiwa tusome pia sana na serikali ipambane kutoa wenye taalauma zaidi
Tatizo ni wizi wala usisingizie ajira watatuzidi akili kwa sababu wamesoma nje Hapana

Hebu twende sawa hapa sijaongelea Uarabu tu hapa ila wenye asili tofauti in general
Kwa mfano kuna wasomali wangapi waliozaliwa Tanzania na wana haki kama wewe? Ila serikalini wapo wawili tu ila kelele nyingi

Je ni % ngapi wangeomba ajira ?
Wachache sana hata wangekuwa elfu nchi nzima kuna tatizo gani kwenye nchi ya watu 60m

Mkuu tuongee na kujadili kwa hoja bila ukali wa maneno
Sijitoi ufahamu bali tembea yangu duniani imenifundisha mengi sana

Hebu angalia kwa mfano [emoji636] wazawa wachina wameombwa wajiunge jeshi la police ili kuendana na community zao hapo China Town London ukienda utakuta police wa kichina unajua kwa nini?

Je wameiteka ajira ya Police?

Njoo Bradford, Birmingham na hata London utakuta Wahindi police , lawyers, MPs na kila mahali wamo ila hawachangii hata 0.2% ya population ya [emoji636]
Serikali yetu ina ubaguzi ndio maana na watu kama wewe mna mentality za kina lukuvi
Tatizo unataka kulinganisha nchi zilizoendelea na nchi maskini kama TZ. Huko mbali zana London hapa jirani Zambia kuna Wachina ni polisi tena wa vyeo vya juu na ndio wanawanyanyasa sana raia na Serikali ikaamua kuwaondoa
Hapahapa Bongo watoto wa vigogo wameshikilia Ofisi nyeti zenye hela ndefu kwasababu walisomea ngambo wakati wewe unaenda sokoni kuuza mapera upate ADA huyu hata baba yako akiwa kwenye interview panel hawezi kukuchukua wewe mwanae amuache mtu aliyesoma makitu ya maana huko. wewe utaishia mtendaji wa mtaa huko Bububu
 
Habarini

Nimeona hii kitu ikanistua, naomba kujuzwa juu ya huu undugu na kama kweli, wanyama wetu watabaki kweli?

Maana enzi za awamu ya mzee ruksa, mkewe alituhumiwa/shutumiwa kusafirisha wanyama hai kwenda arabuni saivi Rais Samia anasema ataimarisha usafiri wa majini ili kusafirisha wanyama hai.

Nijuzeni kuhusu hili swala.
View attachment 2260879
Kwani kuna shida?
 
Mk
Mkataba wa miaka mia au 66,99 SIO kuuza kipande cha ardhi kea kigezo cha wawekezaji!!?

NGOJA TUONE hatma
Unauzaje sasa? Mkataba si uko subject na terms and conditions?

Waambie wakiukwe masharti ya mikataba afu uone..

Mwisho maskini kama wewe huna faida kubakia na ardhi ambayo haizalishi..

Kule Zimbabwe Serikali imesema itachukua ardhi zote ambazo watu waliwapota wazungu na kuzikodisha kwa wawekezaji kwa sababu hazifanyiwi Kazi.
Mk
Mkataba wa miaka mia au 66,99 SIO kuuza kipande cha ardhi kea kigezo cha wawekezaji!!?

NGOJA TUONE hatma
 
Tatizo ni nini mkuu? Mbona munaogopa waarabu kiasi hicho? au ndio nyinyi wale mkiwaona tu waarabu suruali zinaanza kuvuka wenyewe?
Ukweli nikiambiwa kuhusu ubaya wa mkoloni. Simkumbuki mzungu wala mwafrika ninamkumbuka mwarabu.
Hawa ndio waliowahasi watumwa wao na kuacha kizazi chetu kikiwa hakina mabaki wala mahalf cast wa kiafrika na kiarabu,
Hawa ndio wanyama kuliko wanyama!! I HATE THEM!
 
Hapo ndio inatakiwa tusome pia sana na serikali ipambane kutoa wenye taalauma zaidi
Tatizo ni wizi wala usisingizie ajira watatuzidi akili kwa sababu wamesoma nje Hapana

Hebu twende sawa hapa sijaongelea Uarabu tu hapa ila wenye asili tofauti in general
Kwa mfano kuna wasomali wangapi waliozaliwa Tanzania na wana haki kama wewe? Ila serikalini wapo wawili tu ila kelele nyingi

Je ni % ngapi wangeomba ajira ?
Wachache sana hata wangekuwa elfu nchi nzima kuna tatizo gani kwenye nchi ya watu 60m

Mkuu tuongee na kujadili kwa hoja bila ukali wa maneno
Sijitoi ufahamu bali tembea yangu duniani imenifundisha mengi sana

Hebu angalia kwa mfano [emoji636] wazawa wachina wameombwa wajiunge jeshi la police ili kuendana na community zao hapo China Town London ukienda utakuta police wa kichina unajua kwa nini?

Je wameiteka ajira ya Police?

Njoo Bradford, Birmingham na hata London utakuta Wahindi police , lawyers, MPs na kila mahali wamo ila hawachangii hata 0.2% ya population ya [emoji636]
Serikali yetu ina ubaguzi ndio maana na watu kama wewe mna mentality za kina lukuvi
UK watu wenye asili ya India wameshika nyadhifa kubwa kubwa Serikalini kama vile waziri wa fedha waziri wa mambo ya ndani na meya wa jiji la London ni Sadiq Khan !! Na wengi tu wapo wabunge na kadhalika !! Ubaguzi hauna nafasi katika karne ya 21,
 
Acha kukariri ndugu
Si suala la kukariri hata yale mabaki ya waarabu waliobaki kipindi cha ile biashara ya utumwa bado wapo tabora, shinyanga pwani nk. Kule shinyanga kuna sehemu inaitwa maskati fisi. Wale jamaa wananyanyasa wenyeji bila huruma. wanaongea kisukuma lakini ni mashetani pure!
 
Wazanzibar wengi hata wasio na ndugu Oman hupenda kujinasibisha na Oman.

Hilo siyo tatizo ila hao wanyama wasafirishwe kutoka Zanzibar siyo bara.

Sisi wala hatuna historia yoyote na hao jamaa.
 
Back
Top Bottom