Ni kweli Rais Samia ana nasaba na familia ya Mfalme wa Oman?

Ni ndugu yetu,watanzania
 
Huyu wajuwa?
 

Attachments

  • screengrab-20220614-223554~2.jpg
    52.2 KB · Views: 12
Wewe mwenyewe una nasaba na Wakwavi mbona tunakuona wa kawaida sana.
 
MKUU

Historia inawahukumu Sana weupe dhidi ya weusi!!

Kabla ya kuniita mbaguzi ibadili historia ya Dunia kwanza!

Hata Sasa kinachoendelea kule ngoro ngoro na lolliondo ni historia kujirudia ile ya Mwanzo Kuwa weupe ni superior KWA weusi!!!


Unashangaa nini kama mweusi akikosa imani na weupe!!?

Kama vitabu vyenyewe vinafundisha chuki hiyo Hadi kwenye imani ZETU zenyewe ubaguzi upo wa wazi kabisa unafikiri wangapi watapona na hilo unaloliita chuki!!?


Ni kana kwamba waasisi wa imani ZETU WOTE Wana ueupe hakuna weusi lengo la kuandika hayo yote ni nini kama sio ubaguzi wa wazi!!?

Tangu mtu anazaliwa Hadi anazeeka anafundishwa ueupe ni maridadi kuliko weusi na matendo ya kidunia yanasadifu hivyo Sasa unataka huo upendo unaodhani wa weusi KWA weupe ushamiri kivipi LABDA!!?

Yaani tulazimishwe kupitia imani upendo KWA wanaotutesa sio!!?hivi ingekuwa vice versa ungehubiri HAYO!!?

Ngoja Tuone hatma!!
 
Sijaona walipoandika kuwa ana undugu na familia ya kisultan ya Oman
 
Kama kuna mtu haoni tatizo kwenye hili tatizo basi yeye mwenyewe ndo tatizo.
 
Wazenji karibu wote wanakwambia asili Yao Oman, so inawezekana ikawa kweli
 
Tunajua Sana !sema hao ndio ndugu zetu KWA Hali na mali!!

Waarabu sio ! TUNAISHI nao bongo kama wapo kwao huko uarabuni!!

adamu na hawa waliumbwa ni weupe. sisi waafrica tumetokea wapi tuanze kujitafuta tujue asili yetu wapi, mungu alimwambia adamu kaitawale dunia ukazae watoto wengi leo hii anakuja mtu anasema tanzania ni yetu wewe sio kwenu hii ulimwengu ni wa adamu
 
Unaweza ukawa na mjomba wako ambaye alichukua uraia wa kule lakini sio familia ya mfalme ! Tofautisha kati ya kuwa raia wa kawaida na kuwa mwana familia wa mfalme !! Rais Obama alikuwa ana nduguze wakenya na alienda kuwatembelea na wao wakamtembelea pia !! Na kuhusu wanyama sio Oman Bali ni UAE NDIO WENYE INTEREST NA MASUALA YA UWINDAJI ! (United Arab Emirates)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…