Ni kweli Rais Samia ana nasaba na familia ya Mfalme wa Oman?

Ni kweli Rais Samia ana nasaba na familia ya Mfalme wa Oman?

ni kawaida kwa wanzanzibar wenye asili ya pemba kuwa na unasaba wa kindungu na waarabu wa oman.

hata marehemu jiwe anadaiwa alikuwa na unasaba na wahutu wa burundi, mkapa na wamakonde wa msumbiji.

lakini pia nyerere wanasema naye alikuwa na ndg zake kati ya rwanda na burundi.
Tunajua Sana !sema hao ndio ndugu zetu KWA Hali na mali!!

Waarabu sio ! TUNAISHI nao bongo kama wapo kwao huko uarabuni!!
 
MKUU

Pole

Kumbe we muarabu!!?

Uzao wa nyoka ni nyoka tu Mkuu

Hauwezi ukawa wa njiwa!!

Hata sasa ndugu zako BADO wanaubaguzi sana Hadi leo!

Roho ya kimasikini inakusumbua I am Black and I am proud
Sina uarabu wala wajomba waarabu ila sio mbaguzi pia kama wewe

Una akili mbovu sana na ubaguzi wa kijinga sana
Utakuta asubuhi anaekununulia chai ni mwarabu na ukiwa na dhiki zako na njaa unaenda kuwaomba hao hao na hapa unajifanya kuwakandia

Watu kama nyie tunawajua mna ndimi mbili za kinafiki
Inaonekana wewe ni mwanamke mwenye wivu sana na hao waarabu au umepigwa buti na mmoja wao

Bado umedumaa spastic
 
Mkuu

Tetesi

Kuwa mama atoka kwenye kiuno cha ruksa na pia mama yake mama ni muoman!!pia Dada yake mama yaani Mtoto wa Mzee ruksa kaolewa huko KWA mwanamfalme wa uarabuni!!!ni ukoo mkubwa Sana tu kwakweli kama tetesi ni za kweli!!
Nilikuwa nakuchukulia mtu smart unavyotoa madini kwenye uzi wa Yoga kumbe umefika kiwango hiki cha ujinga?
 
Habarini

Nimeona hii kitu ikanistua, naomba kujuzwa juu ya huu undugu na kama kweli, wanyama wetu watabaki kweli?

Maana enzi za awamu ya mzee ruksa mkewe alituhumiwa/shutumiwa kusafirisha wanyama hai kwenda arabuni.

Nijuzeni kuhusu hili swala.
View attachment 2260879

Kwani Nani aliwaambia mtuvamie, mngalibaki Na Tanganyika yenu yasingalitokea haya, Wacha karma ifanye vitu vyake
 
We
Husikii
Mabinti wa kazi wanaoenda huko wananyanyaswa hata kuipoteza uhai!!?
Uongo!!?hata passport zao hunyang'anywa!!?

Hao jamaa Sio wa kuw achukulia poa!
Uongo!!?
Nina marafiki type hiyo lakini sishoboki kihivyo coz nawapata!!
Vipi King Leopard wa ubeligiji umesomea historia alifanya nini Kongo DRC ?

Search gugo kijana Ota Benga aliwekwa makumbusho ya Sokwe na wazungu akawa anafanywa kama kivutio chawatalii.

Unamjua mwana Mama mwenye makalio makubwa yule aliyesafirishwa mpk ulaya kwa ajili ya maonyesho akiwa uchi , kutumia na kuchezewa na kutumika kimwili ?

Una jua yanayoendelea duniani na yanayofanyika nyuma ya pazia ?
 
Roho ya kimasikini inakusumbua I am and I am proud
Sina uarabu wala wajomba waarabu ila sio mbaguzi pia kama wewe

Una akili mbovu sana na ubaguzi wa kijinga sana
Utakuta asubuhi anaekununulia chai ni mwarabu na ukiwa na dhiki zako na njaa unaenda kuwaomba hao hao na hapa unajifanya kuwakandia

Watu kama nyie tunawajua mna ndimi mbili za kinafiki
Inaonekana wewe ni mwanamke mwenye wivu sana na hao waarabu au umepigwa buti na mmoja wao

Bado umedumaa spastic
MKUU
Umepaniki Sana!

Povu lote la nini!!?

Hayo ni maoni kama maoni mengine jukwaani!!

Kwani lazima tuwaze sawa!!?

Kutofautiana ndio ubinadamu!!

Ulitaka vichwa vifanane!!?

Humu ndio jf sio lazima wote tuwe sawa!!
 
Habarini

Nimeona hii kitu ikanistua, naomba kujuzwa juu ya huu undugu na kama kweli, wanyama wetu watabaki kweli?

Maana enzi za awamu ya mzee ruksa mkewe alituhumiwa/shutumiwa kusafirisha wanyama hai kwenda arabuni.

Nijuzeni kuhusu hili swala.
View attachment 2260879
Mungu ibariki Jf.

Siku ukimjua baba mzazi wa Rais utazimia , ngoja tuendelee kuperuzi
 
Habarini

Nimeona hii kitu ikanistua, naomba kujuzwa juu ya huu undugu na kama kweli, wanyama wetu watabaki kweli?

Maana enzi za awamu ya mzee ruksa mkewe alituhumiwa/shutumiwa kusafirisha wanyama hai kwenda arabuni.

Nijuzeni kuhusu hili swala.
View attachment 2260879
Mbona Wazilankende wana mahusiano na warundi na hatukutia neno? Jifunze uhimilivu kama deni la Taifa
 
Mkuu
Yote nayajua


Sijawahi kuwa na imani Sana na race hizi zinzojiona superior kuliko sisi weusi!!

TAHADHARI inahitajika sana kuishi na hawa jamaa!!!

Ni vigumu kujiachia Sana ki hivyo tuna mashaka na jinsi wanavotuchukulia!!!

Kuishi na watu wanahisi WAO ni superior kuliko sisi kuna hitajika tahadhari!!

Ni kweli ukarimu wetu ulituponza Hadi Hadi leo!

Na bado Hadi leo sisi ni wakarimu na hatujaacha lakini ukarimu wetu unatusaliti Baadae kwa Hawa jamaa!!!

Wasiwasi ndio akili


Hatuwabagui!!!
 
Kitu muhimu kwa nyakati hizi ni kuwafundisha watu wetu kuishi kwa akili. Waafrika waishi kiafrika wakijilinda, waarabu, wahindi na wazungu vivyo hivyo.

Jamii zimeingiliana , zimezaliana na hivyo watoto, wajukuu na vitukuu hawana shida yoyote.

Watu wetu waishi kwa utayari wa ushindani na kutumia akili za kawaida kulinda taifa letu.

Kelele na maandishi ya kipropaganda ni zilipendwa. Tupambane katika hali halisi. Uwezo wa kumshinda yeyote duniani tunao.

Haya yote ya ubaguzi wa wazi ni woga unatokana na fikra za kizamani.
Wakati viongozi wa kiafrica wKipishana kwenda kuombaomba na kugawa rasilimali Taifa free of charge ,BBC eye imetoa investigation jinsi hawa wa asia wanavyotuona wanajichimbia kufanya documentary za watu wetu hasa watoto na kufanya kila aina ya ufirauni .
 
Na Hawa ndiyo watanzania,naamini kabisa comments za hapa jamvini ndiyo akili za watanzania wengi walioko ndani ya nchi kwa namna tunavyofikiri na kuchambua Mambo.
 
MKUU
Umepaniki Sana!

Povu lote la nini!!?

Hayo ni maoni kama maoni mengine jukwaani!!

Kwani lazima tuwaze sawa!!?

Kutofautiana ndio ubinadamu!!

Ulitaka vichwa vifanane!!?

Humu ndio jf sio lazima wote tuwe sawa!!

Sija panic kabisa ila huwa sipendi kuongea utumbo najua tunatofautiana kila kitu kuanzia fikra mawazo na mambo mengi sana

Unasumbuliwa na chuki na unaumia bure kwani hata ukiandika kitu gani duniani watu hawawezi kuacha kuhamia nchi zingine kisa watu kama nyie mlio na wivu wa kijinga

Unawachukia waarabu sawa, huna imani nao sawa hizi ni fikra zako na ulivyo wewe lakini at the end of the day kila mmoja anaendelea na maisha yake

Hivi ungekuwa mzawa wa baadhi ya nchi Latin America ambapo waarabu walienda huko kuishi na kufanya biashara na mwisho kuwa Marais na kutawala Mbona ungekufwaaaa kwa wivu?

Jisomee kidogo uone watu waliotembea na mwisho kuwa Maraisi au Mawaziri katika nchi ambazo hawa kuwahi hata kuwa na ndoto

Nisamehe kwa maneno kuntu ila nakuomba acha ubaguzi kwani wewe sio chochote katika dunia hii na utakufa uwaache au watakuacha
 
Habarini

Nimeona hii kitu ikanistua, naomba kujuzwa juu ya huu undugu na kama kweli, wanyama wetu watabaki kweli?

Maana enzi za awamu ya mzee ruksa mkewe alituhumiwa/shutumiwa kusafirisha wanyama hai kwenda arabuni.

Nijuzeni kuhusu hili swala.
View attachment 2260879
Huyo mfalme,ni mtanzania mwenzetu
screengrab-20220614-223554~2.jpg
 
Back
Top Bottom