Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Wakuu naomba tuchambue jambo hili limekuwa linaongelewa sana kwenye media
Ni Kwamba inasemekana Simba tu ndio hukutana na upinzani mkubwa kwenye ligi..... tofauti na timu zingine kama Yanga na Azam.....hii Ina maanisha kuwa. ....Simba ni rahisi kupata ushindi mechi za kimataifa lkn sio mechi za NBC premier league
Mtazamo wangu kama mchambuzi
Nadhalia hii ni dhahania (idealistic) Kwani haya malalamiko yanatokea tu pale Simba ikifanya vibaya ......(ii) Mpira ni mchezo wa wazi Kila mtu anaona Nini kinaendela hivyo hakuna ushindi (!!!) Simba walisema wanajenga timu ....so kujenga timu ni process... it's not a one night stand
Je ni kweli Simba wanakamiwa sana NBC premier league....if yes weka ushahidi ....if no weka ushahidi
Nakala iwafikie
Kalpana
Tate Mkuu
Mshana Jr
Isanga family
Proved
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Ni Kwamba inasemekana Simba tu ndio hukutana na upinzani mkubwa kwenye ligi..... tofauti na timu zingine kama Yanga na Azam.....hii Ina maanisha kuwa. ....Simba ni rahisi kupata ushindi mechi za kimataifa lkn sio mechi za NBC premier league
Mtazamo wangu kama mchambuzi
Nadhalia hii ni dhahania (idealistic) Kwani haya malalamiko yanatokea tu pale Simba ikifanya vibaya ......(ii) Mpira ni mchezo wa wazi Kila mtu anaona Nini kinaendela hivyo hakuna ushindi (!!!) Simba walisema wanajenga timu ....so kujenga timu ni process... it's not a one night stand
Je ni kweli Simba wanakamiwa sana NBC premier league....if yes weka ushahidi ....if no weka ushahidi
Nakala iwafikie
Kalpana
Tate Mkuu
Mshana Jr
Isanga family
Proved
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app