Ni kweli Simba wanakamiwa sana kwenye ligi tofauti na timu nyingine?

Ni kweli Simba wanakamiwa sana kwenye ligi tofauti na timu nyingine?

Hilo hakuna ubishi kwamba nyuma mwiko wanawalipa au kuweka ahadi ya pesa Kwa timu zinaczocheza na Simba.

Na wao pia wanatoa BAHASHA kuhakikisha timu pinzani wanazocheza nazo wanafungwa tena goal zaidi ya 5
Na kuwatengenezea wachezaji wao record za mchongo mfano ufungaji bora nk.

Ubora wa ukwl wa Simba na yanga upo kwenye mechi za kimataifa.

Pia nyuma mwiko watahakikisha kucheza mechi za Simba kimataifa nje ya uwanja na uwanjani ili Simba isiifikie record ya yanga shirikisho..

Amini maneno yangu kwamba Simba asipokuwa makini atajikuta anapoteza mechi zote za shirikisho na ubingwa asahau.
Fear for unknown
 
Ufatilii mpira Simba kacheza mwanza na singida na mechi zote limewekwa dau ili wamfunge Simba kwanini timu hizo hizo zilipocheza na yangu hawakuwekewa dau?. Alafu unasema nadharia Kuna nadharia gani hapo?
Lakini wanaoweka dau sio Yanga .....ni viongozi wa timu husika

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Nadhani hakuna timu underdog bongo isiyokamia Yanga au kolowizard, maana ni sehemu ya wachezaji kujiuza, tatizo ni kiwango, Mbeleko Simba fc uwezo wake ni mdogo , quality ya timu ni ya kawaida sana kwahiyo timu ndogo zikikaza zinamudu kupishana nayo, inaonekana zinakamia kumbe mzani unabalance tu, kiufupi simba ina jina kubwa ila uwezo wake ni sawa na timu zingine za ligi, sasa underdogs wakikomaa kukabia juu inaonekana wamekamia kumbe uwezo wao na simba ni sawa na tunaona mchezo mkali ambao marefa tu ndio huharibu balance kwa kupendelea mbeleko fc. Timu yoyote ndogo ikakaza Simba inapasuka vizuri tu kama refa hajapokea muamala!

Timu hizo hizo ndogo zikicheza na Yanga mlima unakuwa mrefu sana too much quality and talents za Pacome, Ki Aziz na Max zinaua ukamiaji maana hawakabiki na tunaona mpira ni mchezo rahisi.

Hakuna cha kukamia mpira ni mchezo wa wazi, quality inaonekana kwa macho, hata timu ikamie Yanga inafungwa kwa kuzidiwa uwezo, muulizeni Mauya lile goli la Dube ilikuwaje!!
Lkn mbna walisema Yanga Ina wachezaji wazee.......huku Simba ikiwa na damu changa .....???

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Hilo hakuna ubishi kwamba nyuma mwiko wanawalipa au kuweka ahadi ya pesa Kwa timu zinaczocheza na Simba.

Na wao pia wanatoa BAHASHA kuhakikisha timu pinzani wanazocheza nazo wanafungwa tena goal zaidi ya 5
Na kuwatengenezea wachezaji wao record za mchongo mfano ufungaji bora nk.

Ubora wa ukwl wa Simba na yanga upo kwenye mechi za kimataifa.

Pia nyuma mwiko watahakikisha kucheza mechi za Simba kimataifa nje ya uwanja na uwanjani ili Simba isiifikie record ya yanga shirikisho..

Amini maneno yangu kwamba Simba asipokuwa makini atajikuta anapoteza mechi zote za shirikisho na ubingwa asahau.
MKuu unahisi Kwann Yanga apoteze energy kubwa kisa hayo mambo ya hovyo

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Hilo hakuna ubishi kwamba nyuma mwiko wanawalipa au kuweka ahadi ya pesa Kwa timu zinaczocheza na Simba.

Na wao pia wanatoa BAHASHA kuhakikisha timu pinzani wanazocheza nazo wanafungwa tena goal zaidi ya 5
Na kuwatengenezea wachezaji wao record za mchongo mfano ufungaji bora nk.

Ubora wa ukwl wa Simba na yanga upo kwenye mechi za kimataifa.

Pia nyuma mwiko watahakikisha kucheza mechi za Simba kimataifa nje ya uwanja na uwanjani ili Simba isiifikie record ya yanga shirikisho..

Amini maneno yangu kwamba Simba asipokuwa makini atajikuta anapoteza mechi zote za shirikisho na ubingwa asahau.
MKuu unahisi Kwann Yanga apoteze energy kubwa kisa hayo mambo ya hovyo

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Ufatilii mpira Simba kacheza mwanza na singida na mechi zote limewekwa dau ili wamfunge Simba kwanini timu hizo hizo zilipocheza na yangu hawakuwekewa dau?. Alafu unasema nadharia Kuna nadharia gani hapo?
Hata hiyo mechi ya Fountain kulikuwa na dau kutoka kwa RC wa Manyara.
 
Wakuu naomba tuchambue jambo hili limekuwa linaongelewa sana kwenye media

Ni Kwamba inasemekana Simba tu ndio hukutana na upinzani mkubwa kwenye ligi..... tofauti na timu zingine kama Yanga na Azam.....hii Ina maanisha kuwa. ....Simba ni rahisi kupata ushindi mechi za kimataifa lkn sio mechi za NBC premier league

Mtazamo wangu kama mchambuzi
Nadhalia hii ni dhahania (idealistic) Kwani haya malalamiko yanatokea tu pale Simba ikifanya vibaya ......(ii) Mpira ni mchezo wa wazi Kila mtu anaona Nini kinaendela hivyo hakuna ushindi (!!!) Simba walisema wanajenga timu ....so kujenga timu ni process... it's not a one night stand

Je ni kweli Simba wanakamiwa sana NBC premier league....if yes weka ushahidi ....if no weka ushahidi

Nakala iwafikie
Kalpana
Tate Mkuu
Mshana Jr
Isanga family
Proved View attachment 3228864

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Naomba uniache kwanza..
 
Hilo hakuna ubishi kwamba nyuma mwiko wanawalipa au kuweka ahadi ya pesa Kwa timu zinaczocheza na Simba.

Na wao pia wanatoa BAHASHA kuhakikisha timu pinzani wanazocheza nazo wanafungwa tena goal zaidi ya 5
Na kuwatengenezea wachezaji wao record za mchongo mfano ufungaji bora nk.

Ubora wa ukwl wa Simba na yanga upo kwenye mechi za kimataifa.

Pia nyuma mwiko watahakikisha kucheza mechi za Simba kimataifa nje ya uwanja na uwanjani ili Simba isiifikie record ya yanga shirikisho..

Amini maneno yangu kwamba Simba asipokuwa makini atajikuta anapoteza mechi zote za shirikisho na ubingwa asahau.
Ubingwa ni habari ingine, sidhani kama lile la kufunga goli dkk za refa litajirudia maana dunia nzima iliona zile vurugu, kolo kamaliza mwendo robo fainali
 
Hakuna kitu kama hicho mkuu Timu zinacheza vizuri tu na zimekua bora sema marefa mara nyingi wanakua upande wa hizi Timu zetu kubwa hata tuta litatoka kirahisi huku kuliko kwenye Timu ndogo ikipata tuta..
 
Wakuu naomba tuchambue jambo hili limekuwa linaongelewa sana kwenye media

Ni Kwamba inasemekana Simba tu ndio hukutana na upinzani mkubwa kwenye ligi..... tofauti na timu zingine kama Yanga na Azam.....hii Ina maanisha kuwa. ....Simba ni rahisi kupata ushindi mechi za kimataifa lkn sio mechi za NBC premier league

Mtazamo wangu kama mchambuzi
Nadhalia hii ni dhahania (idealistic) Kwani haya malalamiko yanatokea tu pale Simba ikifanya vibaya ......(ii) Mpira ni mchezo wa wazi Kila mtu anaona Nini kinaendela hivyo hakuna ushindi (!!!) Simba walisema wanajenga timu ....so kujenga timu ni process... it's not a one night stand

Je ni kweli Simba wanakamiwa sana NBC premier league....if yes weka ushahidi ....if no weka ushahidi

Nakala iwafikie
Kalpana
Tate Mkuu
Mshana Jr
Isanga family
Proved View attachment 3228864

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Na sisi wana Simba hatulalamiki kukamiwa na vitimu vidogo,waendelee kufanya hivyo maana ndio wanaimarisha timu yetu.
Wale wanaoahidiwa mamilioni na hawana uwezo ndio wanaishiaga kucheza rafu mbaya tu

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Ulishawahi kusikia timu pinzani na Yanga wanawekewa pesa ili waifunge Yanga?
Kama uliwahi kusikia sema humu ni timu gani ?
Simba wapinzani walikuwa wanasema hadharani, ila juzi waliweka siri.
Na ni kwanini iwe kwa Simba tu ?
 
Lkn mbna walisema Yanga Ina wachezaji wazee.......huku Simba ikiwa na damu changa .....???

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Hilo lina ukweli na wala halina kificho. Ndiyo Maana timu yenye wachezaji wazee imeshindwa kuvuka hata hatua ya makundi kwenye mashindano ya CAF huku ile yenye wachezaji vijana ikitinga robofainali.
IMG-20241105-WA0001.jpg
IMG-20241107-WA0151.jpg
 
Back
Top Bottom