Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
- Thread starter
- #81
Nlimuuliza...hivyo ndo kanijibuMuulize alichomaanisha akupe ukweli
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nlimuuliza...hivyo ndo kanijibuMuulize alichomaanisha akupe ukweli
Hizo ni sababu rahisi ku draw conclusion....Mwalimu rama alisema ametolewa Caf champions league kwasababu league kuu hapati ushindani na ni kweli mechi za yanga mabanda hayajai kama mechi za simba kwasababu yanga haina mvuto wapinzani hawakazi kama wakikutana na simba nenda YouTube angalia highlights za magoli yao utaelewa.
Wewe mwiko nyuma ulisikia wapi simba wakisema wanakamiwa?
Labda ituzidi kujifungaMkiacha propaganda na roho mbaya Simba inawazidi parefu sana
Makolo wanalalamika sana Kwa mediaWewe mwiko nyuma ulisikia wapi simba wakisema wanakamiwa?
Dozi imekuingia sawia...Labda ituzidi kujifung