Ni kweli Simba wanakamiwa sana kwenye ligi tofauti na timu nyingine?

Ni kweli Simba wanakamiwa sana kwenye ligi tofauti na timu nyingine?

Mwalimu rama alisema ametolewa Caf champions league kwasababu league kuu hapati ushindani na ni kweli mechi za yanga mabanda hayajai kama mechi za simba kwasababu yanga haina mvuto wapinzani hawakazi kama wakikutana na simba nenda YouTube angalia highlights za magoli yao utaelewa.
Hizo ni sababu rahisi ku draw conclusion....

Fanya research kamili

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom