Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
- Thread starter
- #41
Lawama mpeni chasambi [emoji23][emoji23]Naomba uniache kwanza..
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lawama mpeni chasambi [emoji23][emoji23]Naomba uniache kwanza..
Mkuu... Ushari wako Kwa Simba ni upiHakuna kitu kama hicho mkuu Timu zinacheza vizuri tu na zimekua bora sema marefa mara nyingi wanakua upande wa hizi Timu zetu kubwa hata tuta litatoka kirahisi huku kuliko kwenye Timu ndogo ikipata tuta..
Nimeona Makolo wanalalamika sana. kuhusu jambo hiliUlicholeta kichambuliwe ni strong tea, hakuna hoja hapa.
Wachezaji vijanaKwa wachezaji gani ilionao mpaka wakamiwe
Unaamini kuwa jambo Hilo lipo?Na sisi wana Simba hatulalamiki kukamiwa na vitimu vidogo,waendelee kufanya hivyo maana ndio wanaimarisha timu yetu.
Wale wanaoahidiwa mamilioni na hawana uwezo ndio wanaishiaga kucheza rafu mbaya tu
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Lkn sio Yanga wanaoweka dau ....ni viongozi wa timu husikaUlishawahi kusikia timu pinzani na Yanga wanawekewa pesa ili waifunge Yanga?
Kama uliwahi kusikia sema humu ni timu gani ?
Simba wapinzani walikuwa wanasema hadharani, ila juzi waliweka siri.
Na ni kwanini iwe kwa Simba tu ?
Timu yenyye wazee imekiwasha huko CAF....na Leo inaongoza ligiHilo lina ukweli na wala halina kificho. Ndiyo Maana timu yenye wachezaji wazee imeshindwa kuvuka hata hatua ya makundi kwenye mashindano ya CAF huku ile yenye wachezaji vijana ikitinga robofainali. View attachment 3229495View attachment 3229496
Timu 7 zinadhaminiwa na GSM,unategemea nini?
Mbona hao viongozi wa timu husika hawaweki dau wakati wa kucheza na Yanga?Lkn sio Yanga wanaoweka dau ....ni viongozi wa timu husika
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Simba ni habari ingine mkuu,,kinachofanyika ni nyuma mwiko kufanya fitna na figisu ili Simba asiende .nusu fainali.Ubingwa ni habari ingine, sidhani kama lile la kufunga goli dkk za refa litajirudia maana dunia nzima iliona zile vurugu, kolo kamaliza mwendo robo fainali
Na bado Kila timu itakayochez na Simba anaweka pesa Simba afungwe.Timu 7 zinadhaminiwa na GSM,unategemea nini?
Wivu na chuki ni hatua anazopitia mwanadamu kabla ya kuwa mchawi.MKuu unahisi Kwann Yanga apoteze energy kubwa kisa hayo mambo ya hovyo
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Anayebebwa na marefa na anayetumia bahasha kupata ushindi ameshaondolewa kimataifa CAF./CAFCC.Hakuna kitu kama hicho mkuu Timu zinacheza vizuri tu na zimekua bora sema marefa mara nyingi wanakua upande wa hizi Timu zetu kubwa hata tuta litatoka kirahisi huku kuliko kwenye Timu ndogo ikipata tuta..
Yaani kiongozi aweke dau kuifunga Simba anapata faida gn?Lakini wanaoweka dau sio Yanga .....ni viongozi wa timu husika
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Hapo sasaNa bado Kila timu itakayochez na Simba anaweka pesa Simba afungwe.
Lkn GSM sio mdhamini wao mkuuTimu 7 zinadhaminiwa na GSM,unategemea nini?
Suala la uwanja...kina impact vp matokeo?Mbona hao viongozi wa timu husika hawaweki dau wakati wa kucheza na Yanga?
Ndio tunaamini kuwa viongozi na wadau wa Yanga ndio wanaoweka hizo dau.
Kuanzia leo Simba kila mechi tunajua tunacheza na Yanga.
Yanga wanachukua ubingwa kwa mbini nyingi za nje ya uwanja.
Na wanawatumia hadi wachezaji wa Simba.
Kama
Chama
Baleke
Kijiri
Muhamedi Kazi
Chasambi
Balake Simba tunafungwa 5 mwisho wa mechi anaenda kushangilia na wachezaji wa Yanga huku Shabalala na Kapombe wanalia.
Video zipo.
Video za Sindano zipo na hawajafafanua hadi leo zaidi ya kuuhama uwanja.
Simba wanatakiwa kuhama kwenye uwanja wa KMC.
La sivyo ubingwa watausikia Redioni.
Simba twendeni uwanja wa Azamu mapema sana.
Tukibaki KMC hata ubingwa wa pili hatuta upata.
Nawasilisha
[emoji23][emoji23]Simba ni habari ingine mkuu,,kinachofanyika ni nyuma mwiko kufanya fitna na figisu ili Simba asiende .nusu fainali.
Kwa Sasa Uto sio mtani wa jadi tena bali ni adui na mchawi mkubwa wa maendeleo ya soka Kwa mnyama.